jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
- Thread starter
- #121
Gaddafi aliwapigisha foleni benki kujichukulia fedha zao, leo wanaandamana kudai fedha ambazo waliahidiwa lakini imekuwa dana dana tu.
Nimeiopoa hapa Libye
Teh teh teh!
Hivi ni kweli hawa watu ni wajinga kiasi hiki?
Ama ilikuwa ni upofu uliosababishwa na chuki waliyopandikiziwa na wahuni wa Benghazi?
Hivi kweli walikuwa wanadhani kwamba baada ya NATO kuwasaidi basi ndo maisha yatakuwa bora?
Hawajui maana ya ubepari hawa, ngoja wapate joto sawasawa, walidekezwa na Gaddafi wakawa majinga kama makinda!
Last edited by a moderator: