The Most Stupid

The Most Stupid

4

Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
 
Nieleweshe wapi nimekosea / sijaelewa wewe ambaye ni genius.
Kutokuelewa swali haimaanishi aliyeelewa ana akili kuliko wewe, jiamini mkuu. Ni hivi, maelezo yako ni mazuri ila ni majibu ya swali tofauti na lililoulizwa.

Umeulizwa mpumbavu kuliko wote ni yupi? Wewe umeelezea kuhusu the "most vulnerable". Most vulnerable and the stupidest (post imetumia "most stupid") are not the same thing!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokuelewa swali haimaanishi aliyeelewa ana akili kuliko wewe, jiamini mkuu. Ni hivi, maelezo yako ni mazuri ila ni majibu ya swali tofauti na lililoulizwa.

Umeulizwa mpumbavu kuliko wote ni yupi? Wewe umeelezea kuhusu the "most vulnerable". Most vulnerable and the stupidest (post imetumia "most stupid") are not the same thing!

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi nilitoa sababu zangu hayo ni maoni yangu, they can right or wrong. Wewe pia tuambie yupi ambaye ni Most Stupid na tupe sababu zako.
 
Namba 1 ndio mjinga kupita wote. Hao wengine kwa mujibu wa hiyo picha ni watoto na yeye mtu mzima tena mzee. Anaweza kuwakataza wasiendelee na uharibifu lakini ametulia tu.
 
Its about being stupid and not vulnerable. No 4 is leading by being stupid, his awareness could save him.
 
Namba 4 naona anataka kujiua, Lakini anaweza kuamua kuishi kwa kuacha kukata. His fate is in his own hand.
Namba 3 is smart guy, amna mtu anaweza kumuua. Lakini yeye anaweza kuwaua wengine.
Namba 2 anaweza kuuwa na namba 1. lakini pia yeye anaweza kuuliwa na namba 3.

Namba 4 yeye hana uwezo wowote, anaoana mtu anataka kumuua lakini bado amekaa pale. Kwanini hata ajaribu kumshambulia, au kuondoka, try to do something, anything.

Ni kama mtu anakwambia ninataka kukuua leo, Halafu anachochesha msumemo halafu unaona anajaribu kukushambulia kidogo kidogo halafu wewe ndio umekaa pale kimya. Kwanini hata auwezi kukimbia. Ananza kukata mkono wako wewe bado uko kimya, mguu wewe kimya, anaamua kukukata shingo bado uko kimya. You must be extremely stupid. But i might be wrong.

Haya ni maoni yangu. This is supposed to be fun thing and light entertainment. Sisi wote tuna maoni tofauti. Maoni yoyote yanaweza kuwa sawa kutokana tulipotokea. Respect, peace and harmony to one and all. I am out.
 
Back
Top Bottom