The Most Evil Men in History: Idi Amin

The Most Evil Men in History: Idi Amin

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,141
Reaction score
951







FULL VERSION DOCUMENTARY OF AMIN

 
Last edited by a moderator:
Hiyo history imeanza lini hadi huyu ndo akawa the most evil of them all?
 
Hiyo history imeanza lini hadi huyu ndo akawa the most evil of them all?

Huna haja ya kushangaa mkuu, hawa humeza kila kisemwacho- akili huwa likiza kwa kipindi kirefu cha mwaka!!
 
Hiyo history imeanza lini hadi huyu ndo akawa the most evil of them all?

Ndivyo ilivyokuwa published may be na wale ambao wanahisi kuwa hivyo (Americans, Israel, or British)
 
Na sie Waafrika tunapokea tu kila tunachoambiwa na "wanao-publish"


We may rephrase to "read the most evil Man in history of Uganda or EA??!" does it sound better?

ahaaha sio kupokea, au!
 
Hiyo history imeanza lini hadi huyu ndo akawa the most evil of them all?


Mwalimu hujambo,

ngoja nikuhabarishe na hio title to put you in perspective.

Hii ni mojapo ya kanda katika History Channel ambayo main title ni "The Most Evil Men of The World".
Kuna orodha ya watu kibao tangia medieval times kama Attila the Hun mpaka hawa modern day
dictators kama Pot Pot na Idi Amin.

Kwa ufupi hii ni mojapo tu ya kanda kibao tu na sio Idi Amin pekee yake.

Good day.
 
Mwalimu hujambo,

ngoja nikuhabarishe na hio title to put you in perspective.

Hii ni mojapo ya kanda katika History Channel ambayo main title ni "The Most Evil Men of The World".
Kuna orodha ya watu kibao tangia medieval times kama Attila the Hun mpaka hawa modern day
dictators kama Pot Pot na Idi Amin.

Kwa ufupi hii ni mojapo tu ya kanda kibao tu na sio Idi Amin pekee yake.

Good day.

Habari nzuri Ticha.

Hizo documentaries nazijua pamoja na ndugu zake "The Most Evil Women in History"

Hoja yangu kuu ni kwamba hizi documentaries zimejaa perspective za Kimagharibi

Jee sisi Waafrika tunakubaliana na hizo "Tittles"?

Tunapoambiwa Iddi Amin alikula watu, tumetafuta ukweli au tunakubaliana tu na hao publishers wa Magharibi?

Na ili mtu aingie kwenye orodha hiyo ya "The Most Evil Men in History" awe amefanya nini?
 
Habari nzuri Ticha.

Hizo documentaries nazijua pamoja na ndugu zake "The Most Evil Women in History"

Hoja yangu kuu ni kwamba hizi documentaries zimejaa perspective za Kimagharibi

Jee sisi Waafrika tunakubaliana na hizo "Tittles"?

Tunapoambiwa Iddi Amin alikula watu, tumetafuta ukweli au tunakubaliana tu na hao publishers wa Magharibi?

Na ili mtu aingie kwenye orodha hiyo ya "The Most Evil Men in History" awe amefanya nini?
kumbuka Mandela walimwita terrorist
 
na wewe soon watakuita a racist name.
 
Mwalimu hujambo,

ngoja nikuhabarishe na hio title to put you in perspective.

Hii ni mojapo ya kanda katika History Channel ambayo main title ni "The Most Evil Men of The World".
Kuna orodha ya watu kibao tangia medieval times kama Attila the Hun mpaka hawa modern day
dictators kama Pot Pot na Idi Amin.

Kwa ufupi hii ni mojapo tu ya kanda kibao tu na sio Idi Amin pekee yake.

Good day.

angalau umetoa muongozo maana nilikua nshaanza kumuona mleta uzi ananiharibia siku...
 
George Bush naye na vita yake ya kutafuta mafuta Iraq wanamwitaje huko mnakoangalia vya kizungu ?

Hamuitafuti historia halisi ya Tanganyika na mkaijua Historia yenu ?

Vita ya kagera ilikuwa vita kati ya UISLAM na UKRISTO
 
George Bush naye na vita yake ya kutafuta mafuta Iraq wanamwitaje huko mnakoangalia vya kizungu ?

Hamuitafuti historia halisi ya Tanganyika na mkaijua Historia yenu ?

Vita ya kagera ilikuwa vita kati ya UISLAM na UKRISTO

Hii kali aisee. Ebu nihabarishe historia ya hili jambo umeisoma wapi au ulifanya research ndugu?
Any way kila mtu ana mtazamo wake lakini
 
Habari nzuri Ticha.

Hizo documentaries nazijua pamoja na ndugu zake "The Most Evil Women in History"

Hoja yangu kuu ni kwamba hizi documentaries zimejaa perspective za Kimagharibi

Jee sisi Waafrika tunakubaliana na hizo "Tittles"?

Tunapoambiwa Iddi Amin alikula watu, tumetafuta ukweli au tunakubaliana tu na hao publishers wa Magharibi?

Na ili mtu aingie kwenye orodha hiyo ya "The Most Evil Men in History" awe amefanya nini?

Mkuu nadhani sio kwamba sisi waafrika tunkubali kile kilichotafitiwa na kuandikwa na wamagharibi ila kwa kuwa hatuna mbinu za "ku-counter ", tafsiri yake ni kuwa labda ipo sahihi...na kama ilivyo "Title" nadhani ni " very subjective" na kwa upande wa waganda walioathirika na utawala wa Amini inawezekana kwao wakakubali kabisa Amin kuwa "[h=2]The Most Evil Men in History"[/h]
 
Hizo ni Propaganda, The Last King of Scotland sio Iddi Amin wa Uganda..
 
Back
Top Bottom