The most efficient Governments

The most efficient Governments

Na Tanzania kichwa cha mwendawazimu inashika nafasi ya ngapi? Hawa waliuana kwa maelfu miaka 21 iliyopita (1994) lakini pamoja na "amani" ya miaka 54 na utajiri mkubwa wa rasilimali tunarudi nyuma kimaendeleo, lakini kwa wajinga walio wengi Tanzania hawalioni hili bado wanataka kuendelea kuchagua hawa wahuni waliosababisha hali ya nchi kuzidi kudidimia ukilinganisha na baadhi ya nchi za Afrika.

1. Historia yao haianzii 1994, inaanzia 1958, Rwanda sio nchi mpya.
2. Soma ripoti inaelekea hata hujui kilichoshindanishwa ni kitu gani. Kwa taarifa yako kwenye orodha, pamoja na Tanzania, Rwanda imezipiku Marekani, Uingereza, Ujerumani, China, Korea, Russia......HAO NAO NI VICHWA VYA WENDAWAZIMU?
 
Kuna watu hapa jukwaani hunifurahisha sana, wao hupinga kila jema la rwanda na hushabikia kila baya la rwanda yaani wenyewe ni rwanda tu!, we ngoja watakuja hapa labda waogope kwa kuwa nimeshawasema.

Na kuna watu kazi yao kutuletea propaganda za Rwanda, yaani wenyewe ni Rwanda tu, ngoja watakuja hapa labda waogope kwa kuwa nimeshawasema. :teeth:
 
Tanzania tunnajivunia kudaiwa tumeshika nafasi ya tatu kwa kudaiwa
 
Kuna watu hapa jukwaani hunifurahisha sana, wao hupinga kila jema la rwanda na hushabikia kila baya la rwanda yaani wenyewe ni rwanda tu!, we ngoja watakuja hapa labda waogope kwa kuwa nimeshawasema.

Hehehe!! huwa hawakawii na tayri keshakujibu mmoja wao jMali
Subiri uone watakavyotiririka humu na mitusi ya kila aina. Mungu awasaidiea Warwanda na kuwaepusha kutoka kwa hawa watu
 
Aliyekwambia sijui hilo ni nani! Acha kukurupuka! Mie kulinganisha na nchi za nje ya Afrika kunanihusu nini? Kwani hatuwezi kulinganisha nchi zetu za Kiafrika tu kwa ufanisi? Kwa vile hata mataifa nje ya Afrika yamepitwa na Rwanda basi na sisi tukubaliane na hali hiyo! Oh! Rwanda katika ufanisi wamewapita hata USA! Unaonyesha jinsi ulivyo na akili fupi eti kwa sababu USA wamepitwa na Rwanda basi nasi kama Taifa tukubaliane na hali hiyo! Kwanini na Tanzania isizipite Rwanda na hata hayo mataifa makubwa? Acha tabia za kukurupuka na kuropoka.

1. Historia yao haianzii 1994, inaanzia 1958, Rwanda sio nchi mpya.
2. Soma ripoti inaelekea hata hujui kilichoshindanishwa ni kitu gani. Kwa taarifa yako kwenye orodha, pamoja na Tanzania, Rwanda imezipiku Marekani, Uingereza, Ujerumani, China, Korea, Russia......HAO NAO NI VICHWA VYA WENDAWAZIMU?
 
Aliyekwambia sijui hilo ni nani! Acha kukurupuka! Mie kulinganisha na nchi za nje ya Afrika kunanihusu nini? Kwani hatuwezi kulinganisha nchi zetu za Kiafrika tu kwa ufanisi? Kwa vile hata mataifa nje ya Afrika yamepitwa na Rwanda basi na sisi tukubaliane na hali hiyo! Oh! Rwanda katika ufanisi wamewapita hata USA! Unaonyesha jinsi ulivyo na akili fupi eti kwa sababu USA wamepitwa na Rwanda basi nasi kama Taifa tukubaliane na hali hiyo! Kwanini na Tanzania isizipite Rwanda na hata hayo mataifa makubwa? Acha tabia za kukurupuka na kuropoka.

Wewe huelewi maana ya kinachojadiliwa na ripoti ndio maana nikakuwekea nchi hizo kubwa ambazo Rwanda imezipita ili kukuonyesha jinsi ulivyokurupuka kudhani kuwa tumepitwa kwa sababu hizo ulizotaja za sijui kuchagua wahuni na blah blah zingine juu ya "ujinga" wa watanzania. Je nchi kama marekani na wenyewe wamechagua wajinga ndio maana wamepitwa na Rwanda? One look at the report itakuonyesha sifa za nchi zinazoongoza ni nini.
Nimeelezea zaidi kwenye thread orijino: https://www.jamiiforums.com/international-forum/885113-the-most-efficient-governments.html
 
Rwanda imeorodheshwa kuwa nchi ya 7 duniani kwa kutoa huduma za haraka na rahisi za serikali. Ripoti iliyotolewa na baraza la Uchumi duniani imeiorodhesha Rwanda mbele ya Malaysia, Uswisi na Luxembourg ambazo zilichukua nafasi za 8, 9 na 10. Utafiti wa baraza hilo pia umeonesha kuwa serikali ya Qatar ndio iliyo na utendaji bora zaidi ikifuatiwa na Singapore na Finland.

Akiongea na waandishi wa habari Mkurugenzi wa Bodi ya utawala ya Rwanda Bwana Anastase Shyaka amesema Nchi yake inafanya juhudi kubwa kukuza uwazi na uwajibikaji kwenye mfumo wake, na raia wengi wana habari kuhusu jinsi serikali inavyofanya kazi na kutoa maamuzi. Kwingineko barani Afrika Mauritius iko kwenye nafasi ya 26 na Afrika Kusini iko katika nafasi ya 32.

Swali la kujiuliza; Tanzania je, kunani?

CHANZO: Cloudsfm Radio
 
jMali

Pia taja kati ya hizo zilizomo kwenye kumi bora ambayo imetokea Afrika. Cha msingi ni kwamba Rwanda inaongoza kwenye ufanisi, iwe wanapokea misaada au la, muhimu ni jinsi wanavyotumia hiyo misaada. Kuna nchi ndogo ndogo Afrika na hazijapata fursa ya kunusia hata kwenye hamsini bora.
 
Last edited by a moderator:
Acha ujinga wewe wa kutaka kudhani wewe ndiye unayejua kila kitu humu na wengine hawajui lolote. Ndio nyinyi mnaotukuza wazungu na kujidharau. Eti kwa kuwa USA na mataifa mengine makubwa yamepitwa na Rwanda basi na Tanzania tuone hali hiyo ni sawa. Rwanda wamewapita hata wazungu hivyo sisi hatuwezi kushindana nao kwenye hili. Unaonyesha jinsi ulivyo na akili ya kushikiwa. Pumbaff


Wewe huelewi maana ya kinachojadiliwa na ripoti ndio maana nikakuwekea nchi hizo kubwa ambazo Rwanda imezipita ili kukuonyesha jinsi ulivyokurupuka kudhani kuwa tumepitwa kwa sababu hizo ulizotaja za sijui kuchagua wahuni na blah blah zingine juu ya "ujinga" wa watanzania. Je nchi kama marekani na wenyewe wamechagua wajinga ndio maana wamepitwa na Rwanda? One look at the report itakuonyesha sifa za nchi zinazoongoza ni nini.
Nimeelezea zaidi kwenye thread orijino: https://www.jamiiforums.com/international-forum/885113-the-most-efficient-governments.html
 
Non-Shatter

Asante sana. huyu jamaa amejiteua kuwa "special anal ist" wa Rwanda baada ya kufanya madudu yake huku halafu akakimbilia huko..huku hakuna cha msalia mtume
 
Last edited by a moderator:
Ingekuwa Burundi instead of Rwanda usingeona thread hii. Except of course rais wa Burundi angekuwa Mtutsi.

Mbona zipo post zinahusu mafanikio ya kenya, tz, ethiopia na uganda, afu ktk nchi zaidi ya 100 duniani kwa nini ww unapenda sana mada za rwanda na kagame?! Tena kwa kuponda wanaposifiwa! Ukinambia kwa nini MK254 anapenda sana mada za kenya jibu ni kwa sababu ni mkenya, kunani wewe na rwanda, watusi na kagame?
 
Last edited by a moderator:
Non-Shatter

Unashindwa kuona sifa common za nchi zinazoongoza kwenye hiyo orodha badala yake unatunga sababu zako. Na ujinga ni kushindwa kutetea hoja yako. Hebu eleza uchaguzi wa viongozi wetu una uhusiano gani na orodha hiyo? Ukishindwa then wewe ndio mjinga, maana hiyo hoja umeileta wewe!
 
Last edited by a moderator:
Mbona zipo post zinahusu mafanikio ya kenya, tz, ethiopia na uganda, afu ktk nchi zaidi ya 100 duniani kwa nini ww unapenda sana mada za rwanda na kagame?! Tena kwa kuponda wanaposifiwa! Ukinambia kwa nini mk254 anapenda sana mada za kenya jibu ni kwa sababu ni mkenya, kunani wewe na rwanda, watusi na kagame?

Ngoja nimsaidie. Yeye ni interahamwe. Thats why anaichukia Rwanda
 
Mbona zipo post zinahusu mafanikio ya kenya, tz, ethiopia na uganda, afu ktk nchi zaidi ya 100 duniani kwa nini ww unapenda sana mada za rwanda na kagame?! Tena kwa kuponda wanaposifiwa! Ukinambia kwa nini MK254 anapenda sana mada za kenya jibu ni kwa sababu ni mkenya, kunani wewe na rwanda, watusi na kagame?

I can argue the same about you too. Kwa nini wewe unapenda sana kujadili mada za Rwanda na kagame kwa kusifia? Watu hujadili lile wanalolijua, mimi najua kuhusu Rwanda na Kagame sio lazima kwangu kujadili ethiopia kwa sababu sina ufahamu nako. Hoja ya msingi inatakiwa iwe ukweli au uongo wa hoja zangu juu ya Rwanda au Kagame, si vinginevyo.
Huyu MK254 amekaa bongo ndio maana anaweza kujadili some issues kuhusu bongo bila shida, kwa nini iwe tofauti kwa mtu aliyekaa Rwanda?
 
Last edited by a moderator:
Mpumbavu ni wewe ambaye unaona sawa kwa Rwanda kuwashinda wazungu, lakini huoni sawa kwa wale wanaohoji kwanini Tanzania isiwashinde Rwanda na hayo mataifa makubwa. Punguani wewe umeridhika na mediocre performance ya Tanzania ambayo ipo katika kila sekta. Umebaki kutoa povu kuonyesha ujinga wako na kutaka kulazimisha watu wakubaliane nawe kwenye huo ujinga wako uliokithiri.

Nimeshaelezea kwenye original thread kwa nini Tanzania haimo. Lakini wewe unaona sifa kulaumu kwa nini Tanzania haimo kwa sababu zako za kutunga. Ndio maana nikakuchallenge kuonyesha how does "mediocre perfomance" of Tanzania matter wakati ziko nchi kama South Korea na Canada zimepitwa as well? Are they mediocre too? Jibu yes or no please.
Na unaonyesha hujui hata kinachojadiliwa ni nini. Government efficiency ya Rwanda ni zaidi ya marekani. Do you think wamarekani wana matatizo ya "mediocrity" katika serikali kama Tanzania? Sasa kwa nini unalazimisha kuwa tumepitwa kwa sababu ya "uzembe" wetu na sio sababu zile zile zinazofanya MATAIFA YOTE YANAYOIPA RWANDA MISAADA YAPITWE AS WELL? Nenda shule ujifunze jinsi ya kujadili takwimu kabla ya kuanza kubwabwaja!
 
Kwani kama Tanzania haimo Watanzania hatuwezi kuhoji? Jithamini acha kuthamini wazungu huku ukijidharau. Kama Rwanda wanaweza kufanya vizuri hata kuwapita wazungu wa nchi kubwa na Tanzania pia tunaweza kufanya hivyo kama tukiwa na viongozi wenye vision, hard working na wenye mapenzi ya kweli na nchi yetu sio hawa wahuni na mafisadi.

Nimeshaelezea kwenye original thread kwa nini Tanzania haimo. Lakini wewe unaona sifa kulaumu kwa nini Tanzania haimo kwa sababu zako za kutunga. Ndio maana nikakuchallenge kuonyesha how does "mediocre perfomance" of Tanzania matter wakati ziko nchi kama South Korea na Canada zimepitwa as well? Are they mediocre too? Jibu yes or no please.
Na unaonyesha hujui hata kinachojadiliwa ni nini. Government efficiency ya Rwanda ni zaidi ya marekani. Do you think wamarekani wana matatizo ya "mediocrity" katika serikali kama Tanzania? Sasa kwa nini unalazimisha kuwa tumepitwa kwa sababu ya "uzembe" wetu na sio sababu zile zile zinazofanya MATAIFA YOTE YANAYOIPA RWANDA MISAADA YAPITWE AS WELL? Nenda shule ujifunze jinsi ya kujadili takwimu kabla ya kuanza kubwabwaja!
 
Kwani kama Tanzania haimo Watanzania hatuwezi kuhoji? Jithamini acha kuthamini wazungu huku ukijidharau. Kama Rwanda wanaweza kufanya vizuri hata kuwapita wazungu wa nchi kubwa na Tanzania pia tunaweza kufanya hivyo kama tukiwa na viongozi wenye vision, hard working na wenye mapenzi ya kweli na nchi yetu sio hawa wahuni na mafisadi.

Sasa kidooogo unakwenda kwenye mstari, ulichotakiwa kuhoji ni hilo swali KWA NINI TANZANIA IPO CHINI? Hilo ndio la msingi. Sio jinsi ulivyofanya wewe kuuliza swali hilo halafu unaunga sababu zako unazoshindwa kuzithibitisha.
 
Back
Top Bottom