The most efficient Governments

The most efficient Governments

Kwa bahati mbaya mods wamefanya mambo yao sioni ume-quote hoja gani niliyoitoa maybe unaweza kunikumbusha.

Watoto wa Dar wamekupa za uso mpaka uko chali mbaya unakimbilia kwa mods....sexer,NOBU,MK254,non starter etc thanks for schooling the interahamwe and it was beautiful.
 
I can argue the same about you too. Kwa nini wewe unapenda sana kujadili mada za Rwanda na kagame kwa kusifia? Watu hujadili lile wanalolijua, mimi najua kuhusu Rwanda na Kagame sio lazima kwangu kujadili ethiopia kwa sababu sina ufahamu nako. Hoja ya msingi inatakiwa iwe ukweli au uongo wa hoja zangu juu ya Rwanda au Kagame, si vinginevyo.
Huyu MK254 amekaa bongo ndio maana anaweza kujadili some issues kuhusu bongo bila shida, kwa nini iwe tofauti kwa mtu aliyekaa Rwanda?

Huyu MK254 huwa hapingi kila kitu kuhusu bongo, kwa mfano hizi takwimu zinazotolewa na taasisi za kimataifa bongo tunapokuwa juu ya kenya huwa anatupongeza, mi mwenyewe huwa sisifii rwanda wala nchi yoyote kama unavyosema bali hukubaliana na takwimu zilivyo, kwa mfano WEF ndo wametoa hizo takwimu mimi nasema jamaa wanajitahid, wewe unatoka povu na vitu ambavyo havihusiani kabisa ili utimize haja yako ya kupinga. Ni kama mtu aseme marekani ina uchumi mkubwa zaidi afu mtu aanze kutoka povu qatar ni nchi tajiri zaidi duniani!
 
Last edited by a moderator:
Mahesabu yako mbona makali mno, iweje utumie fedha nyingi kuzalisha ndogo? pili, hata kama tukichukulia mahesabu yako yamekaa sawa, kuna factors nyingi umeruka chiefly bado utarudi kwenye eneo/size ya nchi. Ndio maana mataifa yanayoongoza hapo ni madogo madogo. Mfano ukizungumzia infrastructure, utalinganishaje efficiency ya matumizi ya maintainance ya barabara za TZ na Rwanda? Statistically barabara zote za Rwanda kama zingekuwa TZ zingekuwa zimetiwa lami! Ni rahisi kuwa effient kwenye taifa dogo kuliko kwenye taifa kubwa.
Pili, Rwanda inategemea misaada kutoka nje ya nchi ambazo imezipita kwenye gov efficiency, hilo linamaanisha nini? obviously kuwa gov efficiency alone sio kila kitu. Ndio maana Rwanda inaongoza kwa gov efficiency lakini raia wake wanakamatwa kila siku wakitaka kujiorodhesha kwenye daftari la wapiga kura ili wawe watanzania, kwa nini wanakimbia efficiency ya serikali yao kuja kwenye nchi isiyo na ufanisi ya Tanzania?

Kama udogo wa nchi ni inshu kwa nini south africa ni ya 3 afrika wakiizidi burundi?! Ama s. Africa ni ndogo zaidi ya burundi
 
Kama udogo wa nchi ni inshu kwa nini south africa ni ya 3 afrika wakiizidi burundi?! Ama s. Africa ni ndogo zaidi ya burundi

huyoooooo...kakimbia . hutamsikia tena hapa. namuona kakimbilia Kenyan Forum....hahaha
 
Hawa wakina murutongore ni warwanda kwa hiyo si ajabu kutetea sana nchi yao kuliko zingine, kwa nini ww hutetea kabila 1 ktk nchi yako na kuliponda lile jingine?! Si nasikia yale mambo yalishaisha!

Kwani mimi nimemtaja murutongore au mtu yoyote yule? mbona kama unajishtukia? wewe umesema kuna watu wanaiponda Rwanda, hukuwataja, na mimi nikasema kuna watu wanaisifia rwanda sikuwataja. Murutongore kaingiaje?
 
Huyu MK254 huwa hapingi kila kitu kuhusu bongo, kwa mfano hizi takwimu zinazotolewa na taasisi za kimataifa bongo tunapokuwa juu ya kenya huwa anatupongeza, mi mwenyewe huwa sisifii rwanda wala nchi yoyote kama unavyosema bali hukubaliana na takwimu zilivyo, kwa mfano WEF ndo wametoa hizo takwimu mimi nasema jamaa wanajitahid, wewe unatoka povu na vitu ambavyo havihusiani kabisa ili utimize haja yako ya kupinga. Ni kama mtu aseme marekani ina uchumi mkubwa zaidi afu mtu aanze kutoka povu qatar ni nchi tajiri zaidi duniani!

Onyesha ni wapi katika thread hii nzima ambapo nimepinga hii takwimu. Ukishindwa then wewe utakuwa ni mtu wa mapovu unayonisingizia
 
Kama udogo wa nchi ni inshu kwa nini south africa ni ya 3 afrika wakiizidi burundi?! Ama s. Africa ni ndogo zaidi ya burundi

Sijawahi kusema udogo ni ishu pekee, ingekuwa hivyo nchi ya kwanza ingekuwa Vatican. Ninachorudia ni kuwa udogo ni major factor, je UNABISHA HILO?
 
Statistics zinatengenezwa kwa ajili ya wanaojua kuzitafsiri na kuzitumia zinapohitajika, na sio kwa kila "intore" (a.k.a POPOMA).
Wenye akili wanajua effiency ya jambo lolote inakwenda na ukubwa. Of course efficiency ya serikali inakwenda sambamba na ukubwa wa nchi. Ndio maana hiyo orodha inaongozwa na vijinchi ambavyo ni vidogo kuliko baadhi ya wilaya za Tanzania! Ndio maana huoni super-powers zinazoongoza kwenye uchumi na teknolojia kwenye hiyo top 10, huoni marekani, China, Russia, Japan, s.korea etc. Zote zinapitwa na Finland! Ni mpumbavu peke yake atakayeangalia kuwa hivyo vinchi vina more gov efficiency than US and China halafu akaishia hapo! Kwa mfano unaisifiaje Rwanda kwamba imo kwenye hiyo top 10 ya most efficent governments lakini ukafeli kuona kuwa Rwanda ndio PEKE YAKE kwenye hiyo top 10 INAYOTEGEMEA MISAADA, na tena misaada kutoka nchi kama US, UK etc, ambazo HAZIMO KWENYE HIYO TOP 10! Yaani Rwanda pamoja na efficiency ya serikali yake inapokea misaada toka US na UK ambazo serikali zake zina efficiency ndogo kuliko Rwanda! Sasa hapo efficiency ina faida gani?
Narudia tena statistics ni kwa ajili ya akili kubwaz, hiyo ripoti inabidi iwekwe katika context inayoleta maana sio tu kufanyia mashindano yasiyo na msingi kwani it would'nt make sense :glasses-nerdy:

Swaziland, lesotho, equtorial guenea, gabon nazo ni nchi ndogo mbona hazipo!? Nauliza tu nijuzwe nipate kuelewa zaidi,

Nikipata ufafanunuzi nitafurahibsana na pia nitakuwa nimejifunza kitu
 
Safi rwanda,tanzania bla bla tuu

Sijui kwa nini wanyarwanda ni wahamiaji haramu TZ kwenye bla blah, lakini sio watanzania kwenda Rwanda ambako hata visa kwa watanzania haihitajiki, mi huwa nachoka kweli :teeth:
 
Sijawahi kusema udogo ni ishu pekee, ingekuwa hivyo nchi ya kwanza ingekuwa Vatican. Ninachorudia ni kuwa udogo ni major factor, je UNABISHA HILO?

HAHAAHAHAHAHAHAH......Shifting goal post....hahahahahaha...kalale wewe
 
Swaziland, lesotho, equtorial guenea, gabon nazo ni nchi ndogo mbona hazipo!? Nauliza tu nijuzwe nipate kuelewa zaidi,

Nikipata ufafanunuzi nitafurahibsana na pia nitakuwa nimejifunza kitu

Mkuu...hawezi kukujibu manake hana. Bankrupt upstairs. You know what i mean?
 
Kwani mimi nimemtaja murutongore au mtu yoyote yule? mbona kama unajishtukia? wewe umesema kuna watu wanaiponda Rwanda, hukuwataja, na mimi nikasema kuna watu wanaisifia rwanda sikuwataja. Murutongore kaingiaje?

Usinitaje kabisa. Sihitaji nuksi zako sasa hivi. Endelea kunipiga ban manake tangu umefanya hivyo mambo yangu yanaenda vizuri.
 
Sijui kwa nini wanyarwanda ni wahamiaji haramu TZ kwenye bla blah, lakini sio watanzania kwenda Rwanda ambako hata visa kwa watanzania haihitajiki, mi huwa nachoka kweli :teeth:
The reason ni wewe na interahamwe wenzako mlioifanya Rwanda kijiji kichafu maskini na genge la wauaji,now things are getting better compared na kile kijiji mlichokiacha nyuma na maelfu ya interahamwe wenzako wamerudi na wanaishi maisha mazuri na kusaidia kujenga nchi,even big Tanzanian business men/women kama AZAM,Mengi etc wanapiga deal Kigali,usisahau Tanzanians intellectuals and academics waliojaa Kigali kila sector na usianze kuongea Kenyans and Ugandans walivyojaa maana utakimbia humu.
 
jMali
Biblia inanifundisha kwamba, nitumie kidogo nilicho nacho kabla sijapata kikubwa. Rwanda wamedhihirisha hicho kidogo walichopewa, wanakitumia kwa ufanisi.
Kwamba kuna Warwanda wanakimbilia Tanzania, inafaa ifahamike Tanzania kuna raslimali nyingi ikilinganishwa na Rwanda, Kenya, Burundi na Uganda hata zikiungana.
Mimi binafsi nimeishi Bongo na kuona fursa nyingi sana, mtu akijituma vizuri tu, anaondoka kwenye lindi la umaskini. Ni hizi fursa ndizo zinafanya mnaona wageni wakija huko Tanzania. Nchi wanazotoka zina ufanisi, hata fursa za uwekezaji zipo, lakini raslimali ni kiduchu.


Sasa mtaendelea kuona nchi zinatajwa kuwa bora katika kila kitu, lakini bado wanakuja Tanzania kwa ajili ya wingi wa raslimali Bongo.
 
Last edited by a moderator:
Sijui kwa nini wanyarwanda ni wahamiaji haramu TZ kwenye bla blah, lakini sio watanzania kwenda Rwanda ambako hata visa kwa watanzania haihitajiki, mi huwa nachoka kweli :teeth:
BONGOLALA kasoma post na kuipongeza rwanda huku akiilalamikia nchi yake bongo, afu wewe unamjibu kwa suala la wahamiaji haramu na tukikuambia unatokwa povu unabisha!
 
Last edited by a moderator:
jMali
Biblia inanifundisha kwamba, nitumie kidogo nilicho nacho kabla sijapata kikubwa. Rwanda wamedhihirisha hicho kidogo walichopewa, wanakitumia kwa ufanisi.
Kwamba kuna Warwanda wanakimbilia Tanzania, inafaa ifahamike Tanzania kuna raslimali nyingi ikilinganishwa na Rwanda, Kenya, Burundi na Uganda hata zikiungana.
Mimi binafsi nimeishi Bongo na kuona fursa nyingi sana, mtu akijituma vizuri tu, anaondoka kwenye lindi la umaskini. Ni hizi fursa ndizo zinafanya mnaona wageni wakija huko Tanzania. Nchi wanazotoka zina ufanisi, hata fursa za uwekezaji zipo, lakini raslimali ni kiduchu.


Sasa mtaendelea kuona nchi zinatajwa kuwa bora katika kila kitu, lakini bado wanakuja Tanzania kwa ajili ya wingi wa raslimali Bongo.

Chief hakuna mtu anapinga ufanisi wa Rwanda, i myself can attest to the efficiency of RDB few years ago. Ninachopinga ni hawa watu wanaotukana nchi yangu kwa kutumia hii takwimu kijinga. Hawajui hata hii kitu inamaanisha nini lakini wanajifanya experts wa kujua why Tanzania haimo kwenye top 10. Imagine mtu anadai Tanzania is not on the top 10 kwa sababu ni "wendawazimu"! Ukimuelewesha afafanue hataki! Kenya pia imepitwa na Rwanda just the same, but i doubt it kama the same people wanaweza kudai sababu ni hizi hizi wanazotulaumu bongo. Jitihada za kuwaonyesha fallacy ya argument yao kwa kupoint kuwa hata Marekani inayowapa misaada wanayotumia "efficiently" pia imepitwa bado haifui dafu...
 
BONGOLALA kasoma post na kuipongeza rwanda huku akiilalamikia nchi yake bongo, afu wewe unamjibu kwa suala la wahamiaji haramu na tukikuambia unatokwa povu unabisha!

Bongolala ana mawazo yake na mimi nina mawazo yangu. Yeye kasema "Safi rwanda,tanzania bla bla tuu". Mimi nikajiuliza mbona raia wa hiyo Rwanda "safi" wanakimbilia Tanzania nchi "blah blah"? Huo ni uwongo au fact mkuu? Mi nadhani wewe ndio mwenye povu kwa sababu unachotakiwa kufanya ni either kubisha the fact kuwa Wanyarwanda wanakimbilia bongo na fact kuwa HAKUNA watanzania wanakimbilia Rwanda. Ukiweza kupangua hiyo fact kwa uthibitisho, i will gladly accept mimi natokwa povu, otherwise basis ya kusema hoja zangu ni povu ili hali huwezi kuzipinga ni nini? Mahaba na Kagame?
cc: MK254
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom