mchambawima1
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 2,487
- 738
- Thread starter
- #81
Bongolala ana mawazo yake na mimi nina mawazo yangu. Yeye kasema "Safi rwanda,tanzania bla bla tuu". Mimi nikajiuliza mbona raia wa hiyo Rwanda "safi" wanakimbilia Tanzania nchi "blah blah"? Huo ni uwongo au fact mkuu? Mi nadhani wewe ndio mwenye povu kwa sababu unachotakiwa kufanya ni either kubisha the fact kuwa Wanyarwanda wanakimbilia bongo na fact kuwa HAKUNA watanzania wanakimbilia Rwanda. Ukiweza kupangua hiyo fact kwa uthibitisho, i will gladly accept mimi natokwa povu, otherwise basis ya kusema hoja zangu ni povu ili hali huwezi kuzipinga ni nini? Mahaba na Kagame?
cc: MK254
we wacha kumtisha, hoja zako ni povu mwanzo misho! we jMali na Interahamwe wenzako ndio mmeyaleta haya yote... tokea mkimbie mpaka leo Rwanda mmemifanya iwe ya "breaking news" kila siku, mtu hata akifa kwa ajali magazeti yenu lazima ya rukie na kumchomeka Kagame na RPF... wacha nikupe mfano wa karibu, unakumbuka tarehe 14-12-2015 msichana wetu mwanafunzi Lynker Kabera RIP alipo fariki kwa ajali kule Texas? hata hamkuchelewa kumpakazia Kagame... lakini ukweli ukawa ndio huu Rwandans in the Diaspora unite in loving memory Lynker Kabera and Sandra Ineza we jMali na mafra wenzako kwa kusudi, mmewafanya wanyarwanda wenzenu wafanikiwe kupata ukimbizi popote waendapo, hata kipindi nilikuwa ulaya kimasomo nilikutana na wabongo wengi walioomba ukimbizi kwa kujifanya wanyarwanda! upo hapo? wakimbizi wa kibongo tulionao ni wakiuchumi, wenye pesa na vyeti vyao... kwa kifupi ni kama wale ndugu zako wanyarwanda wanaokuja huko kutafuta malisho ya ng'ombe zao...