goswe
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 4,880
- 5,752
Kuna mchezaji ananiumiza kichwa sana huyu sterling.
Naona siku zinavyozidi kwenda hawezi tena ku improve.
Amefika mwisho wa kuimprove.
Uwezo wake wakufanya maamuzi ndo unanipa hofu zaidi.
Amekuwa kama vile point isiyounganika na system ya pep kwa sasa.
Mipira kupotea kwake, kushindwa kupita beki wake.
Na finishing.
Sterling anapoteza stambulizi wakati akijaribu kufanya basics, sio ata useme amepoteza kam kdb akiwa anajaribu through ball.
Kweli tumreplace kun, fenrnandinho, mendy.
Lkn sehem itayoleta matunda sana ni pale kwa sterling.
Naona siku zinavyozidi kwenda hawezi tena ku improve.
Amefika mwisho wa kuimprove.
Uwezo wake wakufanya maamuzi ndo unanipa hofu zaidi.
Amekuwa kama vile point isiyounganika na system ya pep kwa sasa.
Mipira kupotea kwake, kushindwa kupita beki wake.
Na finishing.
Sterling anapoteza stambulizi wakati akijaribu kufanya basics, sio ata useme amepoteza kam kdb akiwa anajaribu through ball.
Kweli tumreplace kun, fenrnandinho, mendy.
Lkn sehem itayoleta matunda sana ni pale kwa sterling.
Pep Guardiola: "Because we were not there in the last 30/40 years with elite clubs, people still think 'what are we doing here'? To be there, you have to spend. When Manchester United won, won, and won it was because they spent more money than others. FC Barcelona and Real Madrid C.F. was the same.. "