kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,186
- 4,887
oya mbona kama kuna ujuma flani hivi wanangu
first half
first half
Waheshimiwa hali sio shwari huku. Half time tumepigwa mbili moja. Hatupo vuzuri kwenye ushambuliaji. Maybe second half.thanks
cityzen chairman am here
Sio hujuma. City alitakiwa awe ameshamtandika jamaa za kutosha. Kweli city ni wakuwa na goli moja tu kwa kikosi chake? Ila second half wataamka.oya mbona kama kuna ujuma flani hivi wanangu
first half
oya mwanangu yule referee ajiamin mbonaSio hujuma. City alitakiwa awe ameshamtandika jamaa za kutosha. Kweli city ni wakuwa na goli moja tu kwa kikosi chake? Ila second half wataamka.
Refa ametubana kiaina. Penalt ya kwanza mpira unafuata mkono. Pamoja na jitihada za kuukwepa mpira. Ila VAR wakawapa penalt. Ila tumewachana.oya mwanangu yule referee ajiamin mbona
mimi nina mashaka nae yule k♥ma
what goal for leroy saneRefa ametubana kiaina. Penalt ya kwanza mpira unafuata mkono. Pamoja na jitihada za kuukwepa mpira. Ila VAR wakawapa penalt. Ila tumewachana.
sio mbaya nafikili ni mawazo yako si eti eeehcity ilikua lzm ashinde.. timu aliy kutana nayo mbovu at kweny ligi yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi alie assist goal la sterling ni nani?sio mbaya nafikili ni mawazo yako si eti eeeh
cityzen chairman am here
Timu bora ndiyo iliyoshinda. Hao Schalke hakuna jambo la kutisha walilofanya. Hata magoli waliyopata sio Kw juhudi zao.city ilikua lzm ashinde.. timu aliy kutana nayo mbovu at kweny ligi yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
hakushangilia kuonesha respect coz kaifunga timu yake y zamani..Timu bora ndiyo iliyoshinda. Hao Schalke hakuna jambo la kutisha walilofanya. Hata magoli waliyopata sio Kw juhudi zao.
Sane amebadilisha mchezo dakika za mwishoni, piga free kick moja matata mpaka wavuni. Wala hakushangilia na ktk dakika za majeruhi Sterling akaipa ushindi City.
Mkuu ulizimia tarehe 17 nini, na leo ndio umezinduka?Manchester City tunatamani sana leo chelsea amfunge Man U. Ili man u apate hasira za kumfunga liverpool.
ha ha ha ha ha ha daah ha haMkuu ulizimia tarehe 17 nini, na leo ndio umezinduka?
Mbona unaongelea historia ambayo ilkuwa tofauti na maombi yako
Lakini usijali, tumemfunga Chelsea, tutamfunga Liverpool kisha tutakufunga na wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hata huogopi?ha ha ha ha ha ha daah ha ha
sijui hata niaze wapi ila umenichekesha
maana kipigo nitachokupa kama mwizi
cityzen chairman am here
ujasiri ni nini
Kunifunga ni ngumu kama kumfunga liverpool. Man U hana mpira wa know mfunga liverpool, japo tunawaombea mshinde. Tatizo hamna huo mpira. Keep mfunga liverpool kama mnacheza kitimu mtaweza ila kwa mchezo wenu wa pogba pekee sahauni.Mkuu ulizimia tarehe 17 nini, na leo ndio umezinduka?
Mbona unaongelea historia ambayo ilkuwa tofauti na maombi yako
Lakini usijali, tumemfunga Chelsea, tutamfunga Liverpool kisha tutakufunga na wewe
Sent using Jamii Forums mobile app