The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

GOAL! Haaland dinks the ball over Bayindir to double lead! Man City 2-0 Man Utd

1757875802865.gif
 
GOAL! United lose the ball and Haaland slots home! Man City 3-0 Man Utd


1757876150779.gif
 
Bado team hamna
Ni mimbwambwa tu uwanjan
Pep anaondoka msimu huu hawezi vumilia aibu
Bingwa tena ni Liverpool
Bado hamyaogopi majogoo?
 
Timu haina mashabiki hii, hata watoto wa afu mbili nao wamepotea hawaon

Tanzania sio kipimo cha dunia nzima
Kama kipimo cha mashabiki, kwahiyo wewe ukiina mashabiki wa chesea TZ basi unadhani aaaah dunia nzima ipo na chelsea... basi hata timu kubwa duniani zingeshindwa kupimika. Mpira ni wa dunia, si wa mtaa wako
 
Manchester City wamelazimishwa sare ya 0–0 ugenini dhidi ya Sunderland, katika mchezo ambao City walitawala kwa nafasi nyingi lakini wakashindwa kuzitumia.
City walicheza vizuri zaidi kipindi cha pili, wakitengeneza nafasi nyingi ndani ya boksi dogo (six-yard box).
Licha ya takwimu kuonyesha walipaswa kufunga (xG karibu 3.0), walikosa umaliziaji.
Sunderland waliendelea kuwa hawajafungwa nyumbani, wakipata clean sheet yao ya saba nyumbani msimu huu.
Matokeo haya yanawaacha City wakiwa nyuma kwa pointi 4 dhidi ya Arsenal katika nusu ya kwanza ya msimu.
 
UZi umehamwa na mashabiki.. rudi bana mvumilie hivyo hivyo. Burnely leo wanataka point kwa man u.

Aisee weken kocha haraka mtashuka daraja
 
Ni kweli Guadiola anataka aondoke Januari hii hio sio mpk mwisho msimu? Maana media nazo Kwa kutia presha, mtu kufungwa mechi mbili tu
 
Back
Top Bottom