The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

IMG-20250608-WA0002.jpg
 
Kuna article nimeona imechambua kwamba midfield yetu ilikuwa weak sana kiasi kwamba hata wakati wa kushambulia, zile runs kwenye box zilikuwa chache.
IMG-20250607-WA0013.jpg


Ujio wa mtu kama Reijnders utasaidia ku unlock potential ya wingers wetu (doku, savinho) sababu ni mzuri kwenye kufanya hizo runs kwenye box.
 
Rayan Ait-Nouri akiondoka Manchester baada ya kukamilisha vipimo.

IMG-20250608-WA0012.jpg
 
Back
Top Bottom