Herzogg JF-Expert Member Joined Apr 17, 2024 Posts 4,573 Reaction score 1,389 Jun 8, 2025 #33,523 Uwezekano ni mkubwa sana tutaenda USA bila Cherki.
Herzogg JF-Expert Member Joined Apr 17, 2024 Posts 4,573 Reaction score 1,389 Jun 8, 2025 #33,524 Kuna article nimeona imechambua kwamba midfield yetu ilikuwa weak sana kiasi kwamba hata wakati wa kushambulia, zile runs kwenye box zilikuwa chache. Ujio wa mtu kama Reijnders utasaidia ku unlock potential ya wingers wetu (doku, savinho) sababu ni mzuri kwenye kufanya hizo runs kwenye box.
Kuna article nimeona imechambua kwamba midfield yetu ilikuwa weak sana kiasi kwamba hata wakati wa kushambulia, zile runs kwenye box zilikuwa chache. Ujio wa mtu kama Reijnders utasaidia ku unlock potential ya wingers wetu (doku, savinho) sababu ni mzuri kwenye kufanya hizo runs kwenye box.
Herzogg JF-Expert Member Joined Apr 17, 2024 Posts 4,573 Reaction score 1,389 Jun 8, 2025 #33,526 Ait-Nouri kakabidhiwa jezi namba 21
Herzogg JF-Expert Member Joined Apr 17, 2024 Posts 4,573 Reaction score 1,389 Jun 8, 2025 #33,527 Huyu cherki wa moto.
Herzogg JF-Expert Member Joined Apr 17, 2024 Posts 4,573 Reaction score 1,389 Jun 8, 2025 #33,528 Is Nunes underated?
Waterbender JF-Expert Member Joined Oct 2, 2018 Posts 7,913 Reaction score 10,727 Jun 8, 2025 #33,529 Herzogg said: Is Nunes underated? View attachment 3361272 Click to expand... Ni version mpya ya cancelo maestro
Herzogg said: Is Nunes underated? View attachment 3361272 Click to expand... Ni version mpya ya cancelo maestro
Herzogg JF-Expert Member Joined Apr 17, 2024 Posts 4,573 Reaction score 1,389 Jun 8, 2025 #33,530 Rayan Ait-Nouri akiondoka Manchester baada ya kukamilisha vipimo.
Herzogg JF-Expert Member Joined Apr 17, 2024 Posts 4,573 Reaction score 1,389 Jun 9, 2025 #33,539 Nuno Mendes, hapa PSG wana mtu.
Herzogg JF-Expert Member Joined Apr 17, 2024 Posts 4,573 Reaction score 1,389 Jun 9, 2025 #33,540 Dias kashinda kombe kila mwaka toka aje City.