Hakuna namna, Kova ana red, Rodri bado hayupo fiti kuanza.Leo nico ndio dm, huyu jamaa huwa naona hana positinal awareness kabisa, plus no kdb game inaweza kuwa tight hii.
Sema sio mbaya kwavile sisi tunatafuta droo tu twende CLHakuna namna, Kova ana red, Rodri bado hayupo fiti kuanza.
Nafikiri itakuwa double pivot ya yeye na Bernado ili kumsapoti.
Huu msimu kabla ya ile injury alikua bado anafunga.Halafu hii inakuwa pattern sasa, haaland mwanzoni mwa ligi anafunga magoli ya kutosha then mwishoni anapotea msimu wa tatu huu linatokea hili swala.