Moja ya game zilizoniuma sana,ukiacha ile ya madrid tuliyofanyiwa ukatili na rodrygo.Barcelona vs Inter milan ni moja kati ya game bora za hii decade. Imenikumbusha game ya City vs Tottenham ile tunampiga Llorente anakuja kufunga tunatolewa kwa aggregate.
Hio siku sikulala 🙁Moja ya game zilizoniuma sana,ukiacha ile ya madrid tuliyofanyiwa ukatili na rodrygo.
Nae kafurushwaa janaa, 😂😂😂😂😂Kuna mahala niliona arsenal amepewa nafasi kubwa ya kuchukua UEFA akifuatiwa na barca.
Barca out, bado arsenal.