The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Au Tuombe gemu na nyie plastic fans 😂😂😂
20250415_184958.jpg
 
Kwa namna fixture za Newcastle na chelsea zilivyo, naona tuna uwezo wa kumaliza nafasi ya tatu kama tusipozingua mechi zetu.
 
Eti PSG in, Mbappe out
😂😂

PSG wakichukua hii ndoo ntacheka sana.
 
Katika sajili za hivi karibuni, sajili za Echeverri na Vitor Reis ndizo zimekaa ki pep zaidi kwa maana ya style of play.
 
Huyu Juma Bah ambaye yupo kwa mkopo Lens nilikua sijamfuatilia.

Ana miaka 18 ila ni beast kwelikweli.
Ni dominant force kwenye aerial balls na ana very strong presence kwenye penalty box.
 
Pamoja na pesa zote zilizomwagwa dirisha dogo, still summer tunahitaji sajili atleast 4, wachezaji ambao watakua tayari kudeliver.

Tunahitaji
fullbacks wawili
Box to box midfielder mmoja
Central Attacking Midfielder mmoja
 
Leo tuna uwezo wa kupata goli 2+

Shida ni kudefend sasa.

Nunes uchochoro
Gundo,Kdb na bernado hawana uwezo wa ku cover ground kubwa, tegemeo ni Gonzalez ambaye nae ni vyepesi kuzidiwa sababu sio natural DM.

Matatizo ni yaleyale kwahiyo tukitoa droo leo siwezi kushangaa.
 
Nafikiri kitu kitakachotusaidia leo ni kwamba tutakua more fluid kule mbele (no Haaland).

Bila localized striker ndipo quality ya mtu kama Gundogan huwa inaonekana hususani akiwa na mtu wa ku cover nyuma yake (Gonzalez) ili kumpa freedom ya kwenda mbele.

KDB, Gundo na Nico Gonzalez leo wakiwa na game nzuri tunachukua point 3 mapema sana.
 
Back
Top Bottom