Kwemye mechi dhidi ya Nottingham tuliyoshinda 3-0, Grealish alianza kama Central attacking midfielder, akawa na perfomance nzuri then hakurudi tena kwenye hiyo role.
Game ya Leicester city pia akaja kuanza kama CAM na akatoa man of the match perfomance then game iliyofata akala benchi.
Nashindwa kuelewa why pep anakuwa mgumu kumu unleash Jack kwenye hilo eneo ambalo ndilo anaweza kuoffer more goals& assists.