kayeke
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,600
- 1,748
Kabisa nilifurahi sana tena sana.Gabriel alisaidia sana hilo jambo kutimia, pongezi nyingi kwake
Kabisa nilifurahi sana tena sana.Gabriel alisaidia sana hilo jambo kutimia, pongezi nyingi kwake
Muhimu kufurahi record kubwa sana ile sijui itakuja vunjwa lini tu?Kabisa nilifurahi sana tena sana.
Duh!!! Itachukuw muda kabisa.Muhimu kufurahi record kubwa sana ile sijui itakuja vunjwa lini tu?
Kama toka ligi ianze haijawahi tokea basi ni ngumu kufikiwa au kuvunjwa kabisaDuh!!! Itachukuw muda kabisa.
Hata barca naona ataishia kwenye 95 tu. 100 kwenye ligi ya EPL ni kazi ngumu.Kama toka ligi ianze haijawahi tokea basi ni ngumu kufikiwa au kuvunjwa kabisa
Barca 100 hawafiki tena jana wamenitibua kweliHata barca naona ataishia kwenye 95 tu. 100 kwenye ligi ya EPL ni kazi ngumu.
Pole sana mkuu.Barca 100 hawafiki tena jana wamenitibua kweli
Asante sana chief...Pole sana mkuu.
Tupohivi haka katimu nako kana washabiki huku bongo hahahahahhahahahaha
Kwa nini mkuu? Kamekuw katimu tena? Mbona tupo wengi tu!!!hivi haka katimu nako kana washabiki huku bongo hahahahahhahahahaha
Hazard wa nini tena Pep nae haridhiki tuManchester City wanampango wa kumsajili kiungo wa kati wa Chelsea Eden Hazard,27, kwa mkataba wa £100m baada ya meneja Pep Guardiola kumuweka mchezaji huyo kuwa kiungo muhimu anayemlenga wakati wa uhamisho.(Star)