Ni kweli mkuu, Madrid kwenue uefa sio ile ya kwenye ligi. wanampira tofauti kabisa.Ukiangalia mpira anaochezaga madrid hatua za mtoano utajiona mdogo kuzitaja timu za kiarabu hapo
Totenham juma mosihabari zenu wapendwa? Nina shida ninahitaji kuuliza hasan kuhusu Ligi ya england inayoendelea .swali langu ni je kati ya Man u, Asernal, Chelsea, na Totenham, ni timu ipi ambayo haijakutana na man city bado? kuna siku nilikuwa nabishana na rafiki yangu. Naomba mnjuze tafadhari
oh powa kumbe hawajakutana bado na totenham na ndio wanakutana jumamosi .ahsanteTotenham juma mosi
Powa mkuuoh powa kumbe hawajakutana bado na totenham na ndio wanakutana jumamosi .ahsante