The looting machine of Africa

marcoveratti

JF-Expert Member
Sep 21, 2017
968
1,695
"The problem with Africa is those with power have no idea, and those with idea have no power"
By proffesor lumumba

Recent Nilikua nasoma kitabu kimoja kimaitwa THE LOOTING MACHINE OF AFRICA kimeandikwa na Tom Borgis, tofauti na maandiko mengi sana niliyo wahi kuyasoma yakizungumzia utajiri na umasikini wa Africa na namna ya kuepukana nao kwenye hiki kitabu nimeikuta sababu za kwanini we are the way we are now..
hatupo hivi accidentally !.

Yapo mambo matatu ambao ndio msingi wa maendeleo huko ulaya pia ndio msingi wa umasikini wa Afrika.

MALEZI: ukitazama hata filamu za kizungu utaona mara nyingi hua wane kwenda kwenye mafunzo ya kua baba au kua mama pale anapo kua anakaribia kua na mtoto, Malezi ni kitu kinacho enda kuitengeneza nchi ya kesho(next generation).

Malezi ya mtoto wa sasa ndio mustakabari wa taifa la kesho.
Mtoto akilele %wa kihuni leo basi hata watoto wake atawalea kihuni na taifa litaendeshwa na kujaa wahuni kila kona.
Wakoloni walituandaa kutojua namna bora ya kulea na kuandaa kizazi kojacho ili uhuni usiishe na kama uhuni hauishi basi ni rahisi kitawalika.

Elimu: kimsingi hii hata mimi Nilikua naifahamua kabla hata ya Tom Borgis kuniambia, wa Africa tunapigwa szna m kwenye hii Elimu feki tunayo pewa.
Mechanics, electrical, health education tunayo pewa sisi leo ni ya miaka zaidi ya 200 nyuma unategemea kua na maendeleo?.

Mwisho kabisa na ndio mzizi mkuu ulio pelekea mpaka kitabu kuitwa the looting machine ni
Historia:
Wakoloni walihakikisha hakuna historia nzuri inabaki kuwahusu wa Africa.
Historia ilio andikwa ni kufanya Africa na muafrica kuona kua yeye sio lolote si chochote kwa mtu mweupe, historia tulio tengenezewa haituambii nguvu zetu zilipo ile stick kwenye weakness na mateso yetu utumwani
Tumeaminishwa kua sisi ni wakufata na kuletewa.

Mwandishi Anasema Africa is not poor accidentally they planed and looted Africa to be poor for their own benefit!.
images%20(94).jpg
 
Tunachokijua;
Ng'ombe siku akizitambua nguvu zake, ndio siku mchungaji na mmiliki watakuwa mashakani.
20221213_065647.jpg
 
ila usipojua Historia yako ni rahisi Sana kuichukia jamii yako na ukaiona sio mbele ya jamii zingine.
Tumejidharau Sana kupitia vitabu vyao vya uongo walivyoandika kutuhusu sisi.
Kama haya tunayoyaona sasa kupitia media yamejaa uongo vipi yaliyotupita na kuwa historian.
#Maponga Joshua... FARM OF THOUGHTS ❤️
 
ila usipojua Historia yako ni rahisi Sana kuichukia jamii yako na ukaiona sio mbele ya jamii zingine.
Tumejidharau Sana kupitia vitabu vyao vya uongo walivyoandika kutuhusu sisi.
Kama haya tunayoyaona sasa kupitia media yamejaa uongo vipi yaliyotupita na kuwa historian.
#Maponga Joshua... FARM OF THOUGHTS
Wakoloni walifanikiwa kuweka vikundi vya waafrika wenzetu kututawala.Na wana visapoti kwa kila namna.Hivi vikundi haviwezi kuamini unachoandika hapa.Vikundi hivi ndivyo vinaendeleza hii elimu ya kipumbavu tuliyoachiwa.
Bahati mbaya wasomi wetu asilimia kubwa,maprof ndio wanasaidiana na vikundi hivi vya watawala kuendeleza upumbavu wa elimu tuliyorithi.

Usitarajie tutakuja kujinasua siku moja maana adui yetu,ni miongoni mwetu.Yeye anakula vizuri na anahakikishiwa maisha mazuri na vizazi vyake.Tutabaki tunalalamika lakini hatuna jinsi.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Wakoloni walifanikiwa kuweka vikundi vya waafrika wenzetu kututawala.Na wana visapoti kwa kila namna.Hivi vikundi haviwezi kuamini unachoandika hapa.Vikundi hivi ndivyo vinaendeleza hii elimu ya kipumbavu tuliyoachiwa.
Bahati mbaya wasomi wetu asilimia kubwa,maprof ndio wanasaidiana na vikundi hivi vya watawala kuendeleza upumbavu wa elimu tuliyorithi.

Usitarajie tutakuja kujinasua siku moja maana adui yetu,ni miongoni mwetu.Yeye anakula vizuri na anahakikishiwa maisha mazuri na vizazi vyake.Tutabaki tunalalamika lakini hatuna jinsi.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Niliona mahali Kenya Walikuwa wakiongelea Colonial seed of corruption ilivyopandikizwa kwa waasisi wao ... Wakagaiwa mashamba na vitu vingine vingi Kama mtego wa kuonesha kuwa wanawajali ili Nia zao ovu zimee hata kwa vizaz vitatu TU then balaa liendelee lenyewe.
#Program recurring
 
ila usipojua Historia yako ni rahisi Sana kuichukia jamii yako na ukaiona sio mbele ya jamii zingine.
Tumejidharau Sana kupitia vitabu vyao vya uongo walivyoandika kutuhusu sisi.
Kama haya tunayoyaona sasa kupitia media yamejaa uongo vipi yaliyotupita na kuwa historian.
#Maponga Joshua... FARM OF THOUGHTS ❤️
Ukute kuna wenzetu wamepata vidigirii na vidipuloma wanajifanya kujua na kuleta dharau.
 
The problem with Africa is those with power have no idea, and those with idea have no power"
By proffesor lumumba
 
The problem with Africa is those with power have no idea, and those with idea have no power"
By proffesor lumumba
 
Back
Top Bottom