masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,119
Kwa tuliopita Development Studies wakati wa kuchukua digree zetu za kwanza, kwa sasa tunaingia kipindi cha ubepari ambapo kuna a direct class struggle kati ya the haves and the have nots.
Kwa miaka sasa tumeona ubepari mzito mzito ukiingia, na sera nzuri nzuri za kuremba uwekezaji, ili mabepari waweze kufaidika maradufu na fedha zao nchini kwetu.
Na kweli uwekezaji umeingia kwa kasi, na tunaambiwa hata uchumi unakua kwa kasi ya 7%.
Kitu tunachokiona kwa macho ni majengo marefu yanayokua kama uyoga hasa jijini Dsm na miji mingine kama Mwanza.
Hata hivyo kwa upande wa pili, sera za kuwaendeleza wananchi (social participation policies) zimekuwa haziendani na kukua huko kwa uchumi.
Wananchi wa kawaida wanazidi kuachwa nyuma kimapato na haionekani kama wanafaidika sana na maendeleo wanayoyaona.
Kwa sasa ni dhahiri, ruling class imeji align na the bourgeoise(the wealthy class), wakati sera za kuzatiti kundi la wenyeji na wafanyakazi wa hali ya chini(proletariat) zinazidi kutopata kipaumbele kinachohitajika.
Dalili za kupinga mgawanyiko huu kati ya the haves na the have nots, ndo tunapata vijana walio katika extreme end ya the have nots: Panya Road.
Katika hii struggle nguvu ya polisi haitasaidia sana mpaka hapo the have nots nao watakaposhirikishwa katika kufaidika na maendeleo ya jamii.
Mahsusi hili ndio bomu lenyewe ambalo limekuwa likiongekewa kwa miaka sasa kutokana na kutoshughulikiwa na matatizo ya kushirikisha kwa makini matatizo ya wanyonge , hususan vijana katika mipango ya maendeleo.
Mimi sioni mwisho mwema katika hii struggle maana hata wakiwepo kina Kova kumi, vijana wale wasio na kazi wako pake pale.
Suluhisho ni kwa kuanzia tu, ipatikane miradi mikubwa ya maendeleo sehemu zote nchini, itakayo buniwa mahsusi ku ajiri hii idle resource kwa maana ya vijana, ili waweze kuchangia uchumi na vile vile wajipatie kazi, hivyo kutoka katika vikundi vya kihalifu kama Panya Road.
Kwa miaka sasa tumeona ubepari mzito mzito ukiingia, na sera nzuri nzuri za kuremba uwekezaji, ili mabepari waweze kufaidika maradufu na fedha zao nchini kwetu.
Na kweli uwekezaji umeingia kwa kasi, na tunaambiwa hata uchumi unakua kwa kasi ya 7%.
Kitu tunachokiona kwa macho ni majengo marefu yanayokua kama uyoga hasa jijini Dsm na miji mingine kama Mwanza.
Hata hivyo kwa upande wa pili, sera za kuwaendeleza wananchi (social participation policies) zimekuwa haziendani na kukua huko kwa uchumi.
Wananchi wa kawaida wanazidi kuachwa nyuma kimapato na haionekani kama wanafaidika sana na maendeleo wanayoyaona.
Kwa sasa ni dhahiri, ruling class imeji align na the bourgeoise(the wealthy class), wakati sera za kuzatiti kundi la wenyeji na wafanyakazi wa hali ya chini(proletariat) zinazidi kutopata kipaumbele kinachohitajika.
Dalili za kupinga mgawanyiko huu kati ya the haves na the have nots, ndo tunapata vijana walio katika extreme end ya the have nots: Panya Road.
Katika hii struggle nguvu ya polisi haitasaidia sana mpaka hapo the have nots nao watakaposhirikishwa katika kufaidika na maendeleo ya jamii.
Mahsusi hili ndio bomu lenyewe ambalo limekuwa likiongekewa kwa miaka sasa kutokana na kutoshughulikiwa na matatizo ya kushirikisha kwa makini matatizo ya wanyonge , hususan vijana katika mipango ya maendeleo.
Mimi sioni mwisho mwema katika hii struggle maana hata wakiwepo kina Kova kumi, vijana wale wasio na kazi wako pake pale.
Suluhisho ni kwa kuanzia tu, ipatikane miradi mikubwa ya maendeleo sehemu zote nchini, itakayo buniwa mahsusi ku ajiri hii idle resource kwa maana ya vijana, ili waweze kuchangia uchumi na vile vile wajipatie kazi, hivyo kutoka katika vikundi vya kihalifu kama Panya Road.