Fujo
Fujo zaidi
Fujo tena
Fujo , fujo
Nlikuwa nimepanga niwaalike
kwenye Sherehe itakayofana kwenye ukumbi
wa saba saba arusha... lakini sasa mmmmhhh
naona fujo zimezidi....
Khaaa! kwa niaba ya hii internet cafe nilokuwepo ambayo inachaji nusu saa buku naomba niombe razi!
hakyababu sirudii tena.
hahahahahahaha lohhh
wewe embu acha kunichekesha
umeanzaa aee.. sasa hata hukuni karibisha
naona unanitafutia tu wachumba khaaa..
hehehe kile kibanda changu kimepigwa na mafuriko aisee! mie mwenyewe nimekula sikukuu mama ntilie leo! balaa tupu walahi!
hapa nipo mitaani nasubiria mlevi adondoke niondoke na wallet