The Skywalker
Member
- Aug 17, 2018
- 48
- 53
nilipenda michael alivompiga mkwara kaka yake freddie.asionyeshe wazi kuwa anapingana na familia yake kwa outsider.hatari sanaa
Kuna member humu kwa jamvi kasoma hyo novel au tazama movie yake. Tujikumbushie hapa! Welcome
Part two yake ni nzuri pia ila kwangu Mimi part 3 ni Bora kuliko 2Hatimae nimeitizama part1 na sasa nadownload part II yake
Finance is the gun,politics is knowing when to pull the triggerPolitics is knowing when to pull the trigger.
Luca brass alikuwa mnyama hatari Sana,,Kitu Luca brass, funaci, the tatanglia family, peter clemenza, tesio, na misemo ya don: a man who does not take care of his family is not a real man.
Luca brass alikuwa mnyama hatari Sana,,
Salvatore Tesio alikuwa very effective right hand man,sijui akaja kubugi mwishoni ikabidi afe ,
Peter clemenza Kama sikosei ndo alikuwa guadian Angel was Michael Corleone, the most trusted kwa Godfather
Luca brass alikua katili,alizaa na huyo,binti,ila alimwambia aitoe mimba binti akawa mgumu,Luca Brasi Kama alikufa kizembe hivi!! Kuna mwendelezo wa hizi novel zinaitwa
Godfather revenge's, Godfather returns na Family Corleone zimeandikwa na Ed Falco.
Hiyo Family Corleone Kuna plot Thom Hagen kipindi anasoma aligonga demu wa Luca Brasi yule ambaye alizaa mtoto halafu akaamrishwa yule mkunga amtie kwenye pipa.
Coming to Tesio, yeye alikuwa na Tamaa kwani aliona Michael hawapi chance ya kuform family zao so akaona amsnithch tu.
Hii kesi ikampeleka ndani Hadi ikafikia hatua ya kutaka kujiua.Don vitto alipopata hii story akaona hili jembe,akafight Hadi akatoka ndo akaanza kufanya naye kazi.Luca brass alikua katili,alizaa na huyo,binti,ila alimwambia aitoe mimba binti akawa mgumu,
Siku anazaa,Luka alimwambia mkunga,amtupie mtoto kwenye tanuru,
Luka brass alikufa kizembe,Kama sikosei aliitwa kwenye pub na watu aliowaamini maana wakifanya ishu pamoja,kufika anawakuta wawili,ile kumkaribisha kwa bashasha,akampa mgongo mmoja,kosa kubwa,jamaa alikua na garote,kamba,akamnasa nayo shingoni na kuanza kumkamua shingo,jamaa ulimi nje...
Mike alikuwa mtu wa visasi sana! Sikuelewa ni kwanini alimkataza Vincent asiwe na mahusiano na binti yake? Wakati demu alikolea kwa mchizi!!
Pia nilihuzunishwa na kifo cha mke wa kwanza wa Michael maana pale angepata pure Italian kids.