Kwa hiyo na wewe ulikuwa "average performer" mwenye "Ntimanyongo" kwa wale walioingia UDSM (and what the hell is that anyway?)
Mazee vipi ilikuwaje kile kibano mazee...........BTW nilisema wengi.........na sio wote......lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo na wewe ulikuwa "average performer" mwenye "Ntimanyongo" kwa wale walioingia UDSM (and what the hell is that anyway?)
Kutambua vyeti vya diploma inategemea sana level ya syllubus husika ili-cover nini na kw amuda gani..............na ili ujiunge na kozi fulani kuna minimum requirements zake........sio ili mradi inaitwa diploma.............
Hii ina apply kwenye vyuo vingi vya kueleweka.
Diploma ya Imperial College ni "moto"..........pamoja na kutambulika kuwa ni sawa na Bachelor degree.....still watu hujitambilisha kuwa ni holders wa Dip Imperial College...........
Nyumbani enzi zile...........ni waliofaulu tu ndio walikwenda shule za serikali na kujiunga Chuo Kikuu DSM ilikuwa lazima ufaulu A'Level...........average performers (not to disrespect anybody) wengi waliishia Ardhi (ukiondoa Architecture course), Mzumbe, Chuo cha Ushirika nk nk...............kuna watu (average performers) walipitia hizo colleges na wakabadilika kuwa VIPANGA kweli kweli.............LAKINI bado wana aina fulani ya "Ntimanyongo" kwa wale walioingia UDSM na chuo chenyewe...........huu ndio ukweli.
Binafsi sikupata bahati ya kuingia pale UDSM.......lakini ninakiheshimu kile chuo.......nalikuwa najivunia kuwa tuna Chuo maridhawa.....recently kimeanza kuporomoka "quality"...........kwa kweli inasikitisha.......na huu sio wakati wa kukibeza.........ila wanaowajibika nacho inabidi wachukue hatua ili kurudisha hadhi yake............Prof Mukandara unatakiwa ujenge hoja chuo kirudi kwenye hadhi yake
Prof Mukandara
Ni upuuzi kusema eti keki kubwa wanapewa UDOM...............unatakiwa upunguze matumizi ambayo ni un-necessary............hivi ukitumia saloon car (4 cylinders) kile kibao pale Hill kuonyesha kuwa hayo ni makazi yako kitaondolewa?..........au u-VC utakuvuka?....anzisha policy za kubana matumizi by offsetting un-necessary cost kwa mambo muhimu tu..............
Kutambua vyeti vya diploma inategemea sana level ya syllubus husika ili-cover nini na kw amuda gani..............na ili ujiunge na kozi fulani kuna minimum requirements zake........sio ili mradi inaitwa diploma.............
Hii ina apply kwenye vyuo vingi vya kueleweka.
Diploma ya Imperial College ni "moto"..........pamoja na kutambulika kuwa ni sawa na Bachelor degree.....still watu hujitambilisha kuwa ni holders wa Dip Imperial College...........
Nyumbani enzi zile...........ni waliofaulu tu ndio walikwenda shule za serikali na kujiunga Chuo Kikuu DSM ilikuwa lazima ufaulu A'Level...........average performers (not to disrespect anybody) wengi waliishia Ardhi (ukiondoa Architecture course), Mzumbe, Chuo cha Ushirika nk nk...............kuna watu (average performers) walipitia hizo colleges na wakabadilika kuwa VIPANGA kweli kweli.............LAKINI bado wana aina fulani ya "Ntimanyongo" kwa wale walioingia UDSM na chuo chenyewe...........huu ndio ukweli.
Binafsi sikupata bahati ya kuingia pale UDSM.......lakini ninakiheshimu kile chuo.......nalikuwa najivunia kuwa tuna Chuo maridhawa.....recently kimeanza kuporomoka "quality"...........kwa kweli inasikitisha.......na huu sio wakati wa kukibeza.........ila wanaowajibika nacho inabidi wachukue hatua ili kurudisha hadhi yake............Prof Mukandara unatakiwa ujenge hoja chuo kirudi kwenye hadhi yake
Prof Mukandara
Ni upuuzi kusema eti keki kubwa wanapewa UDOM...............unatakiwa upunguze matumizi ambayo ni un-necessary............hivi ukitumia saloon car (4 cylinders) kile kibao pale Hill kuonyesha kuwa hayo ni makazi yako kitaondolewa?..........au u-VC utakuvuka?....anzisha policy za kubana matumizi by offsetting un-necessary cost kwa mambo muhimu tu..............
Waliokwenda ktk vyuo vengine siyo kwa sababu walifeli, ni kwa sababu kulikuwa hakuna nafasi za kutosha. Tanzania nzima ilikuwa na vyuo vikuu 3 tu!! Shame.
Mkandara mwenyewe ndo kakiuaaa kabisaaaa baada ya kuingia madarakani na kuanza kusema "chuo hakihitaji pesa nyingi kiasi hicho" matokeo yake anarudi kule Luhanga alikokuwa anatoka.
Prof Luhanga alikuwa anawaambia serikali kama hakuna pesa naenda kufunga chuo, mbona walikuwa wanatoa. But now, the politics is killing everything. Hakuna mipango ya maana.
Unachoshauri ndicho mnachokifanya na kushauriana kukifanya kwenye State Universities zenu huko Marikani?
Kutambua vyeti vya diploma inategemea sana level ya syllubus husika ili-cover nini na kw amuda gani..............na ili ujiunge na kozi fulani kuna minimum requirements zake........sio ili mradi inaitwa diploma.............
Hii ina apply kwenye vyuo vingi vya kueleweka.
Diploma ya Imperial College ni "moto"..........pamoja na kutambulika kuwa ni sawa na Bachelor degree.....still watu hujitambilisha kuwa ni holders wa Dip Imperial College...........
Nyumbani enzi zile...........ni waliofaulu tu ndio walikwenda shule za serikali na kujiunga Chuo Kikuu DSM ilikuwa lazima ufaulu A'Level...........average performers (not to disrespect anybody) wengi waliishia Ardhi (ukiondoa Architecture course), Mzumbe, Chuo cha Ushirika nk nk...............kuna watu (average performers) walipitia hizo colleges na wakabadilika kuwa VIPANGA kweli kweli.............LAKINI bado wana aina fulani ya "Ntimanyongo" kwa wale walioingia UDSM na chuo chenyewe...........huu ndio ukweli.
Binafsi sikupata bahati ya kuingia pale UDSM.......lakini ninakiheshimu kile chuo.......nalikuwa najivunia kuwa tuna Chuo maridhawa.....recently kimeanza kuporomoka "quality"...........kwa kweli inasikitisha.......na huu sio wakati wa kukibeza.........ila wanaowajibika nacho inabidi wachukue hatua ili kurudisha hadhi yake............Prof Mukandara unatakiwa ujenge hoja chuo kirudi kwenye hadhi yake
Prof Mukandara
Ni upuuzi kusema eti keki kubwa wanapewa UDOM...............unatakiwa upunguze matumizi ambayo ni un-necessary............hivi ukitumia saloon car (4 cylinders) kile kibao pale Hill kuonyesha kuwa hayo ni makazi yako kitaondolewa?..........au u-VC utakuvuka?....anzisha policy za kubana matumizi by offsetting un-necessary cost kwa mambo muhimu tu..............
Udsm will never fall
Ogah:
Kusoma ni talent tu. Na mpaka sasa sijaona correlation yoyote ya high school performance iliyowafanya watu wachaguliwe kwenda UDSM na performance zao za kazi. Lakini zipo studies zinazoonyesha high school performance inasababisha waalimu na wanafunzi watumie muda mwingi kujiandaa na mitihani.
Kujiandaa na mitihani na kupata maarifa ni vitu viwili tofauti.
Kiflie mbali tuu si wanaendekeza wizi na ubinafsi
Na ingenuity ni nini? Kisomo?