Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,270
- 670
Source Prof Mkandara
Leo Mkandara ameudhihirisha umma kuwa sasa UDSM wanatembeza bakuri cake wanayopewa haitoshi kutoka serikalini, mpaka sasa cake wanakula UDOM. hii imesababisha mgogoro mkubwa katika colledge tofauti tofauti(coet etc). Akiongea katika TBC1 leo Prof mkandara amesema UDSM walikuwa wanapokea cake kubwa lakini kwa sasa inaenda UDOM
1.kwanini serikali imekitupa udsm?
2. kwanin serkali haijali raslimali watu?
3 Miaka 50 chuo kinaenda nyuma sio mbeli
penye ukweli nakosoa serikali yangu
Leo Mkandara ameudhihirisha umma kuwa sasa UDSM wanatembeza bakuri cake wanayopewa haitoshi kutoka serikalini, mpaka sasa cake wanakula UDOM. hii imesababisha mgogoro mkubwa katika colledge tofauti tofauti(coet etc). Akiongea katika TBC1 leo Prof mkandara amesema UDSM walikuwa wanapokea cake kubwa lakini kwa sasa inaenda UDOM
1.kwanini serikali imekitupa udsm?
2. kwanin serkali haijali raslimali watu?
3 Miaka 50 chuo kinaenda nyuma sio mbeli
penye ukweli nakosoa serikali yangu