Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 91,919
- 112,291
Kwikwikwi, hapo niko puzzled mkuu. Mtoto wa high school au first year hapa viwanja anaweza kuacha masomo na kuanzisha Microsoft, napter au facebook. Na mtu anaondoka na first class bongo anashindwa kutengeneza spoku ya biskeli.
Hapo sasa.....na ukifikiri sana mwishowe utarudi kulekule kwenye kauli mbiu yangu ingawa najua kwa wengi ni vigumu kukubali