The fact: Osama is dead, who doubts?

Obama ni wa chama cha Democrats, kama ingekua ni mbinu za kampeni angepingwa vibaya na kuumbuliwa dakika moja tu na Republicans wasingemwacha hata sekunde moja na vile m-black asingefikisha hata saa moja baada ya kutangaza habari za kuuwawa kwa Osama, nimeona kwenye news ex Vice President Dick Chiney akimpomgeza Obama, pia Congressmen wameoneshwa ushahidi wa picha tayari.
Inasemekana watoto wake walikua wakilalamika kutopewa maiti ya baba yao, kama ni vinginevyo wange dai hivyo?
Pointi ingine, jee hao walioanza kulipiza kisasi huko Pakistan nao wangefanya hivyo ? Hayo ni maswali ya kujiuliza! Zaidi ni hili la Republicans wamwache Obama hivi hivi na "UJIKO" huu wakati kipindi cha kampeni za Urais zinakaribia, inaingia akilini hapo wakuu kweli?
Waangalieni CCM na CDM wanatafuta kosa hata tone la mchanga waumbuane... Jee Republicans watamwacha M-democrat Obama apande chat hivi hivi kweli ?

You have said it all Bro! pia wenyewe alghaida wangekanusha kwamba Osama hajafa au, alikufa zamani na tulishamzika, hawa waamerica ni waongo, au alghaida hawapo?, na kwa nini Rais wa USA audanganye ulimwengu kwa lipi?, kushinda awamu ya pili? then waprove aludanganya ulimwengu na kumshushia hadhi yake baadae?

Kweli! jaribuni kuona ukweli na sio kuweka ushabiki wa kijinga, Osama aliuawa na operation ambayo Obama aliisimamia mwenyewe na yeye ndiye aliaprove kuuwawa kwa Osama, hiyo ndiyo kweli.
 
Obama ni wa chama cha Democrats, kama ingekua ni mbinu za kampeni angepingwa vibaya na kuumbuliwa dakika moja tu na Republicans wasingemwacha hata sekunde moja na vile m-black asingefikisha hata saa moja baada ya kutangaza habari za kuuwawa kwa Osama, nimeona kwenye news ex Vice President Dick Chiney akimpomgeza Obama, pia Congressmen wameoneshwa ushahidi wa picha tayari.
Inasemekana watoto wake walikua wakilalamika kutopewa maiti ya baba yao, kama ni vinginevyo wange dai hivyo?

Pointi ingine, jee hao walioanza kulipiza kisasi huko Pakistan nao wangefanya hivyo ? Hayo ni maswali ya kujiuliza! Zaidi ni hili la Republicans wamwache Obama hivi hivi na "UJIKO" huu wakati kipindi cha kampeni za Urais zinakaribia, inaingia akilini hapo wakuu kweli?
Waangalieni CCM na CDM wanatafuta kosa hata tone la mchanga waumbuane... Jee Republicans watamwacha M-democrat Obama apande chat hivi hivi kweli ?

Hiyo siasa ya waamerika ni ya Ufisadi tuu wanawekana hapo uraisi ni sawa na CCM. Unaweza zania nimepungukiwa akili, hebu angalia kwanza wana vyama viwili tuu alafu watu ni wale wale ni sawa na ccm yetu huku. Wajuu tuu ndo anatoka lakini sio kwamba yeye ndo mwenyenguvu ya maamuzi yote.

Kuna walewatu wanaowaweka watu kwenye vyama hao ndo wenye veto huko america ni ma CIA operatives kama baba yake Bush alikuwa kiongozi mkubwa kabisa wa CIA. Alafu kama wewe unazania amerika kuna democrasia zaidi ingewezekanaje baba yake bushi afanye madudu miaka kumi iliyopita alivyo kuwa raisi alafu mwanaye aingie tena afanye madudu kurudia vita babaake aliyoanzisha na kuanzisha nyingine zaidi.

Huoni kunakitu hapo hapajatulia, hata kwa mahesabu ya haraka haraka kwa nchi yenye watu zaidi ya milioni 300 baba atoke kuwa raisi alafu mwana aingie chansi yake ni ndogo sana ni kama moja kati ya watu milioni miatatu.

Hebu fikiria tena huko USA awe republican au democrat kibaraka white house uzi ni ule ule kufisadi , na kufanya mavita tuu, kuweka oili yale mamashine yao ya zamani kabla hawajatuuzia. Angalia obama ameenda Libya bila hata ruhusa ya nchi yake, huyo ndo mtu alikuwa anatoa ahadi za kumaliza mavita.

Yeye ameenda kuanzisha huko libya kwa kuwasaidia waasi ambao ni aqaeda. Badala ya kuwasaidia wananchi sehemu nyingine kama syria ambako serikali inawapiga risasa kwa mamia wato waliochoka na utawala wa kifalme.
 
MEET THE AXIS OF EVIL 11 YEARS OF HARD WORK HAS LED US TO

Tonite, the HBO series Newsroom did a whining and utterly fictional story about the death of Osama bin Laden. For those of us of the intelligence community, bin Laden was a top CIA asset who died of kidney disease in 2001 after having consistently denied involvement in 9/11.

He said the US government and the Israelis did it. Years of investigation has proven this beyond any doubt with thousands of pages of testimony, engineering studies and years of many of us tracking down the real killers.
 
Osama kafa miaka mingi kabla ya Obama kujidai kaamuwa auliwe. Fumbo mfumbie mjinga babu wee.

Dah Huyu Mama Alikuwa na MAjibu Balaa ila hakuniweza Japo alikuwa anachangamsha balaza ban yake sijui inaisha lini najua wengi Tunammiss
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom