WISDOM SEEDS
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 841
- 282
Osama kafa miaka mingi kabla ya Obama kujidai kaamuwa auliwe. Fumbo mfumbie mjinga babu wee.
Kwa maana hiyo wewe ndo unajua sana kuliko hata viongozi wa al Qaida siyo? Pole sana
Osama kafa miaka mingi kabla ya Obama kujidai kaamuwa auliwe. Fumbo mfumbie mjinga babu wee.
Osama kafa miaka mingi kabla ya Obama kujidai kaamuwa auliwe. Fumbo mfumbie mjinga babu wee.
Obama ni wa chama cha Democrats, kama ingekua ni mbinu za kampeni angepingwa vibaya na kuumbuliwa dakika moja tu na Republicans wasingemwacha hata sekunde moja na vile m-black asingefikisha hata saa moja baada ya kutangaza habari za kuuwawa kwa Osama, nimeona kwenye news ex Vice President Dick Chiney akimpomgeza Obama, pia Congressmen wameoneshwa ushahidi wa picha tayari.
Inasemekana watoto wake walikua wakilalamika kutopewa maiti ya baba yao, kama ni vinginevyo wange dai hivyo?
Pointi ingine, jee hao walioanza kulipiza kisasi huko Pakistan nao wangefanya hivyo ? Hayo ni maswali ya kujiuliza! Zaidi ni hili la Republicans wamwache Obama hivi hivi na "UJIKO" huu wakati kipindi cha kampeni za Urais zinakaribia, inaingia akilini hapo wakuu kweli?
Waangalieni CCM na CDM wanatafuta kosa hata tone la mchanga waumbuane... Jee Republicans watamwacha M-democrat Obama apande chat hivi hivi kweli ?
Obama ni wa chama cha Democrats, kama ingekua ni mbinu za kampeni angepingwa vibaya na kuumbuliwa dakika moja tu na Republicans wasingemwacha hata sekunde moja na vile m-black asingefikisha hata saa moja baada ya kutangaza habari za kuuwawa kwa Osama, nimeona kwenye news ex Vice President Dick Chiney akimpomgeza Obama, pia Congressmen wameoneshwa ushahidi wa picha tayari.
Inasemekana watoto wake walikua wakilalamika kutopewa maiti ya baba yao, kama ni vinginevyo wange dai hivyo?
Pointi ingine, jee hao walioanza kulipiza kisasi huko Pakistan nao wangefanya hivyo ? Hayo ni maswali ya kujiuliza! Zaidi ni hili la Republicans wamwache Obama hivi hivi na "UJIKO" huu wakati kipindi cha kampeni za Urais zinakaribia, inaingia akilini hapo wakuu kweli?
Waangalieni CCM na CDM wanatafuta kosa hata tone la mchanga waumbuane... Jee Republicans watamwacha M-democrat Obama apande chat hivi hivi kweli ?
Osama kafa miaka mingi kabla ya Obama kujidai kaamuwa auliwe. Fumbo mfumbie mjinga babu wee.