The doubts of love

The dirt paka

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
371
66
Wanasema tu mapenzi huja na kukaa au kuondoka yakitaka.
Na akupendae mpende lakini hii hutegemea na type yenyewe.
Mimi nashangaa, najiuliza sipati jibu.
Ninapoishi kwasasa nimezungukwa na wasichana wengi mno. Ila binafsi ni kijana mkimya sana nazaidi kwa wanawake hasa ambao sina jambo linalotuunganisha hata salamu kuitoa huwa shida muda mwingi huwa namambo yangu sina habari na mtu na kimotion changu cha haraka na katabasamu maramojamoja. Sasa nashangaa wasichana hawa wanaponiona kuna baadhi huniangalia sana hadi nahisi aibu naweza hata kujikwa na kila nikipishana nao huwa wanajadilijadili vitu fulani. je humaanisha nini?
 
Labda wanakushangaa..labda ni hobby yao kuangalia wapita njia..labda unavutia kwahiyo wanajiburudisha!Wanayojadili unayajua?Kama sio hamna cha ajabu hapo..unawakuta tu katikati ya maongezi yao.Imewahi kunitokea..kuna sehemu karibu na nyumbani vijana walikua wanakaa mida ya mchana hivi mpaka jioni!Wanapiga story zao huku wakiangalia wapita njia.Ilikua nikifika pale napita haraka ila sikuwahi kua na mawazo kwamba wananiangalia na kuniñgelea nikipita mpaka nilipokua rafiki na mmoja wao...
 
Wanamaanisha wewe ni The Dirt Paka - ambapo it has to read - The Dirty Paka - Yaani Paka Mchafu............
 
Wanasema tu mapenzi huja na kukaa au kuondoka yakitaka.
Na akupendae mpende lakini hii hutegemea na type yenyewe.
Mimi nashangaa, najiuliza sipati jibu.
Ninapoishi kwasasa nimezungukwa na wasichana wengi mno. Ila binafsi ni kijana mkimya sana nazaidi kwa wanawake hasa ambao sina jambo linalotuunganisha hata salamu kuitoa huwa shida muda mwingi huwa namambo yangu sina habari na mtu na kimotion changu cha haraka na katabasamu maramojamoja. Sasa nashangaa wasichana hawa wanaponiona kuna baadhi huniangalia sana hadi nahisi aibu naweza hata kujikwa na kila nikipishana nao huwa wanajadilijadili vitu fulani. je humaanisha nini?
Chukua chako mapema zubaa mwishowe uje kuanza kupost sredi za natafuta mchumba
 
Labda wanakushangaa..labda ni hobby yao kuangalia wapita njia..labda unavutia kwahiyo wanajiburudisha!Wanayojadili unayajua?Kama sio hamna cha ajabu hapo..unawakuta tu katikati ya maongezi yao.Imewahi kunitokea..kuna sehemu karibu na nyumbani vijana walikua wanakaa mida ya mchana hivi mpaka jioni!Wanapiga story zao huku wakiangalia wapita njia.Ilikua nikifika pale napita haraka ila sikuwahi kua na mawazo kwamba wananiangalia na kuniñgelea nikipita mpaka nilipokua rafiki na mmoja wao...

Juzi nilikua nimevaa simple shoes zangu nilipokutana nao nikainamisha kichwa, nilipowapa mgongo wakaanza kudiscuss vile viatu kwasauti ambayo walihisi siwasikii ila nikapotezea maana sina mazoea nao. Jana nimekuta na wawili mmja alishawahi kuwa rafiki yangu mwaka jana almanusura tuwe wapenzi tulisalimiana nikachapa mwendo nikamsikia akimwambia mwenzie neno kama "ANAAIBU..., ANAISHI..., anaitwa..." nikapotezea huyo maana siku hizi alishakuwa paka wa mpishi. Hapo ndo nikawa najiuliza kunani? Leo nimekutana na wengine wawili ambao sina mazoea nao ila miezi kadhaa tumekuwa tukionana mmoja wao huwa akiniona ananitazama sana hata kutabasamu, mwezi wa 12 mwaka jana rafiki yangu aliniambia nimsindikize kwa rafiki zake kufika walikuwa wasichana hao walichobase nikujua jina langu huku huyo ambaye hunizoom sana na tuliwahi kusoma nae kozi moja chuoni akiniambia "leo mchana nilikuona ukichota maji juu ya ghorofa tankin nikatamani nikuombe unisaidie na mi nikaogopa", mara akaanza kunikumbusha sehemu tulizowahi kukutana kila mtu akiwa na tisin zake. Akanambia sehemu niliyokuwa sikumbuki eti tuliwahi kukutana library mi nikiwa na rafiki yangu tulichagua kitabu tukakosa sit nikatoa uamuz wakuondoka yeye ndiye tukampa kitabu hicho. Nilishangaa kuona anajua detail zangu nyingi hata nisizokumbuka. Baadae nkaambiwa na rafiki yangu huenda mrembo huyo ananiadmire sana si bure ila nikapotezea.
Leo mchana nimekutana nao sehemu akaniangaliaa nakumnong'oneza mwenzie jambo mwenzie akamjibu kwasauti "usinambie mtajuana wenyewe" lakini nikapotezea wakapita mbele yangu huku akilazimisha kunitingishia urojo wake nikajisemea maybe next time we gonna work together.
 
Juzi nilikua nimevaa simple shoes zangu nilipokutana nao nikainamisha kichwa, nilipowapa mgongo wakaanza kudiscuss vile viatu kwasauti ambayo walihisi siwasikii ila nikapotezea maana sina mazoea nao. Jana nimekuta na wawili mmja alishawahi kuwa rafiki yangu mwaka jana almanusura tuwe wapenzi tulisalimiana nikachapa mwendo nikamsikia akimwambia mwenzie neno kama "ANAAIBU..., ANAISHI..., anaitwa..." nikapotezea huyo maana siku hizi alishakuwa paka wa mpishi. Hapo ndo nikawa najiuliza kunani? Leo nimekutana na wengine wawili ambao sina mazoea nao ila miezi kadhaa tumekuwa tukionana mmoja wao huwa akiniona ananitazama sana hata kutabasamu, mwezi wa 12 mwaka jana rafiki yangu aliniambia nimsindikize kwa rafiki zake kufika walikuwa wasichana hao walichobase nikujua jina langu huku huyo ambaye hunizoom sana na tuliwahi kusoma nae kozi moja chuoni akiniambia "leo mchana nilikuona ukichota maji juu ya ghorofa tankin nikatamani nikuombe unisaidie na mi nikaogopa", mara akaanza kunikumbusha sehemu tulizowahi kukutana kila mtu akiwa na tisin zake. Akanambia sehemu niliyokuwa sikumbuki eti tuliwahi kukutana library mi nikiwa na rafiki yangu tulichagua kitabu tukakosa sit nikatoa uamuz wakuondoka yeye ndiye tukampa kitabu hicho. Nilishangaa kuona anajua detail zangu nyingi hata nisizokumbuka. Baadae nkaambiwa na rafiki yangu huenda mrembo huyo ananiadmire sana si bure ila nikapotezea.
Leo mchana nimekutana nao sehemu akaniangaliaa nakumnong'oneza mwenzie jambo mwenzie akamjibu kwasauti "usinambie mtajuana wenyewe" lakini nikapotezea wakapita mbele yangu huku akilazimisha kunitingishia urojo wake nikajisemea maybe next time we gonna work together.

kwikwikwikwiiiiiiiiii

sasa nimepata picha..yani ni kwamba unataka tujue kuwa wewe unavutia mtaani hakukaliki wanawake kila kukicha wanakuangalia

wanakusema wanatamani kuongea na wewe etc...duuh!

kumbe huna shida ya kutafuta
 
Wanasema tu mapenzi huja na kukaa au kuondoka yakitaka.
Na akupendae mpende lakini hii hutegemea na type yenyewe.
Mimi nashangaa, najiuliza sipati jibu.
Ninapoishi kwasasa nimezungukwa na wasichana wengi mno. Ila binafsi ni kijana mkimya sana nazaidi kwa wanawake hasa ambao sina jambo linalotuunganisha hata salamu kuitoa huwa shida muda mwingi huwa namambo yangu sina habari na mtu na kimotion changu cha haraka na katabasamu maramojamoja. Sasa nashangaa wasichana hawa wanaponiona kuna baadhi huniangalia sana hadi nahisi aibu naweza hata kujikwa na kila nikipishana nao huwa wanajadilijadili vitu fulani. je humaanisha nini?


Juzi nilikua nimevaa simple shoes zangu nilipokutana nao nikainamisha kichwa, nilipowapa mgongo wakaanza kudiscuss vile viatu kwasauti ambayo walihisi siwasikii ila nikapotezea maana sina mazoea nao. Jana nimekuta na wawili mmja alishawahi kuwa rafiki yangu mwaka jana almanusura tuwe wapenzi tulisalimiana nikachapa mwendo nikamsikia akimwambia mwenzie neno kama "ANAAIBU..., ANAISHI..., anaitwa..." nikapotezea huyo maana siku hizi alishakuwa paka wa mpishi. Hapo ndo nikawa najiuliza kunani? Leo nimekutana na wengine wawili ambao sina mazoea nao ila miezi kadhaa tumekuwa tukionana mmoja wao huwa akiniona ananitazama sana hata kutabasamu, mwezi wa 12 mwaka jana rafiki yangu aliniambia nimsindikize kwa rafiki zake kufika walikuwa wasichana hao walichobase nikujua jina langu huku huyo ambaye hunizoom sana na tuliwahi kusoma nae kozi moja chuoni akiniambia "leo mchana nilikuona ukichota maji juu ya ghorofa tankin nikatamani nikuombe unisaidie na mi nikaogopa", mara akaanza kunikumbusha sehemu tulizowahi kukutana kila mtu akiwa na tisin zake. Akanambia sehemu niliyokuwa sikumbuki eti tuliwahi kukutana library mi nikiwa na rafiki yangu tulichagua kitabu tukakosa sit nikatoa uamuz wakuondoka yeye ndiye tukampa kitabu hicho. Nilishangaa kuona anajua detail zangu nyingi hata nisizokumbuka. Baadae nkaambiwa na rafiki yangu huenda mrembo huyo ananiadmire sana si bure ila nikapotezea.
Leo mchana nimekutana nao sehemu akaniangaliaa nakumnong'oneza mwenzie jambo mwenzie akamjibu kwasauti "usinambie mtajuana wenyewe" lakini nikapotezea wakapita mbele yangu huku akilazimisha kunitingishia urojo wake nikajisemea maybe next time we gonna work together.

Wewe kila kitu una POTEZEA???? Utaendelea hivi mpaka lini??? At the same time inaonyesha HUPOTEZEI bali unasumbuliwa na hayo mawazo mpaka ukaleta thread kabisa hapa JF.

Kwa staili hii ya KUPOTEZEA itakufanya uonekane unawaogopa wanawake, na unafanya kila mbinu uendelee kuwakwepa.
Hakuna sehemu utakayokwenda utaishi bila kuonana na wanawake. Jaribu kujichanganya nao kimaongezi, wachukulie kiurafiki kama unavyowachukulia wanaume wenzako. Jichanganye na jamii.
 
Hii story mie hoi bin taabani, 2lkutana mchana..,..... Yaonekana unawarusha roho hao mabinti wanashndwa kukwambia coz co utamaduni we2, ila kweli cna mbav na haya maelezo yako.
Juzi nilikua nimevaa simple shoes zangu nilipokutana nao nikainamisha kichwa, nilipowapa mgongo wakaanza kudiscuss vile viatu kwasauti ambayo walihisi siwasikii ila nikapotezea maana sina mazoea nao. Jana nimekuta na wawili mmja alishawahi kuwa rafiki yangu mwaka jana almanusura tuwe wapenzi tulisalimiana nikachapa mwendo nikamsikia akimwambia mwenzie neno kama "ANAAIBU..., ANAISHI..., anaitwa..." nikapotezea huyo maana siku hizi alishakuwa paka wa mpishi. Hapo ndo nikawa najiuliza kunani? Leo nimekutana na wengine wawili ambao sina mazoea nao ila miezi kadhaa tumekuwa tukionana mmoja wao huwa akiniona ananitazama sana hata kutabasamu, mwezi wa 12 mwaka jana rafiki yangu aliniambia nimsindikize kwa rafiki zake kufika walikuwa wasichana hao walichobase nikujua jina langu huku huyo ambaye hunizoom sana na tuliwahi kusoma nae kozi moja chuoni akiniambia "leo mchana nilikuona ukichota maji juu ya ghorofa tankin nikatamani nikuombe unisaidie na mi nikaogopa", mara akaanza kunikumbusha sehemu tulizowahi kukutana kila mtu akiwa na tisin zake. Akanambia sehemu niliyokuwa sikumbuki eti tuliwahi kukutana library mi nikiwa na rafiki yangu tulichagua kitabu tukakosa sit nikatoa uamuz wakuondoka yeye ndiye tukampa kitabu hicho. Nilishangaa kuona anajua detail zangu nyingi hata nisizokumbuka. Baadae nkaambiwa na rafiki yangu huenda mrembo huyo ananiadmire sana si bure ila nikapotezea.
Leo mchana nimekutana nao sehemu akaniangaliaa nakumnong'oneza mwenzie jambo mwenzie akamjibu kwasauti "usinambie mtajuana wenyewe" lakini nikapotezea wakapita mbele yangu huku akilazimisha kunitingishia urojo wake nikajisemea maybe next time we gonna work together.
 
Wanasema tu mapenzi huja na kukaa au kuondoka yakitaka.
Na akupendae mpende lakini hii hutegemea na type yenyewe.
Mimi nashangaa, najiuliza sipati jibu.
Ninapoishi kwasasa nimezungukwa na wasichana wengi mno. Ila binafsi ni kijana mkimya sana nazaidi kwa wanawake hasa ambao sina jambo linalotuunganisha hata salamu kuitoa huwa shida muda mwingi huwa namambo yangu sina habari na mtu na kimotion changu cha haraka na katabasamu maramojamoja. Sasa nashangaa wasichana hawa wanaponiona kuna baadhi huniangalia sana hadi nahisi aibu naweza hata kujikwa na kila nikipishana nao huwa wanajadilijadili vitu fulani. je humaanisha nini?

Haha haaa mkuu, hawajakuomba vocha? maana sikuhizi vocha zipo juu! But anyway Usiwe serious saaana hawatakubaka ni makubariano tu, kuhusu kucheka huenda wanayao tu, usijihisi sana, be simple broda!
 
Amekuzimia...sasa amua kumzindua au kumpotezea!
we lizzy c ashasema huwa ANAPOTEZEA??? Tena haswa akivaa simple shoes??? Acha bana! Mi hata cjamwelewa anataka kusaidiwa nini manake naona anatupigshia story za mtaani kwao tuuuuuuuu!
 
Wanasema tu mapenzi huja na kukaa au kuondoka yakitaka.
Na akupendae mpende lakini hii hutegemea na type yenyewe.
Mimi nashangaa, najiuliza sipati jibu.
Ninapoishi kwasasa nimezungukwa na wasichana wengi mno. Ila binafsi ni kijana mkimya sana nazaidi kwa wanawake hasa ambao sina jambo linalotuunganisha hata salamu kuitoa huwa shida muda mwingi huwa namambo yangu sina habari na mtu na kimotion changu cha haraka na katabasamu maramojamoja. Sasa nashangaa wasichana hawa wanaponiona kuna baadhi huniangalia sana hadi nahisi aibu naweza hata kujikwa na kila nikipishana nao huwa wanajadilijadili vitu fulani. je humaanisha nini?

Pole sana. kupungua Self esteem (kujiamini) husababisha uonekane kituko mbele ya watu. Lakini hilo halitawezekana mpaka pale utapoonekana unafanya vituko, mfano kujikwaa kila unapoangaliwa na hao mabinti.
 
Wewe kila kitu una POTEZEA???? Utaendelea hivi mpaka lini??? At the same time inaonyesha HUPOTEZEI bali unasumbuliwa na hayo mawazo mpaka ukaleta thread kabisa hapa JF.

Kwa staili hii ya KUPOTEZEA itakufanya uonekane unawaogopa wanawake, na unafanya kila mbinu uendelee kuwakwepa.
Hakuna sehemu utakayokwenda utaishi bila kuonana na wanawake. Jaribu kujichanganya nao kimaongezi, wachukulie kiurafiki kama unavyowachukulia wanaume wenzako. Jichanganye na jamii.

Kaka umemaliza, tuko pamoja!
 
we lizzy c ashasema huwa ANAPOTEZEA??? Tena haswa akivaa simple shoes??? Acha bana! Mi hata cjamwelewa anataka kusaidiwa nini manake naona anatupigshia story za mtaani kwao tuuuuuuuu!
Umeona eee!
 
kwikwikwikwiiiiiiiiii

sasa nimepata picha..yani ni kwamba unataka tujue kuwa wewe unavutia mtaani hakukaliki wanawake kila kukicha wanakuangalia

wanakusema wanatamani kuongea na wewe etc...duuh!

kumbe huna shida ya kutafuta

Usinitanieee!
Hata kama ni mvuto sa ndo wananing'inia hadi madirishani wanazuga network inasumbua, ilimradi nisikie sauti mara nikipita usiku wanapiga miluzi, "ksiiiii" sijisifii hata kidogo this is a sign of dangerous... ilimradi yangu masikio yangu macho.
 
we lizzy c ashasema huwa ANAPOTEZEA??? Tena haswa akivaa simple shoes??? Acha bana! Mi hata cjamwelewa anataka kusaidiwa nini manake naona anatupigshia story za mtaani kwao tuuuuuuuu!

Alianza kwa kusema haelewi kinachoendelea kumbe anaelewa...nimeona nimpe samari kwa lugha nyepesi!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom