The dirt paka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 371
- 66
Wanasema tu mapenzi huja na kukaa au kuondoka yakitaka.
Na akupendae mpende lakini hii hutegemea na type yenyewe.
Mimi nashangaa, najiuliza sipati jibu.
Ninapoishi kwasasa nimezungukwa na wasichana wengi mno. Ila binafsi ni kijana mkimya sana nazaidi kwa wanawake hasa ambao sina jambo linalotuunganisha hata salamu kuitoa huwa shida muda mwingi huwa namambo yangu sina habari na mtu na kimotion changu cha haraka na katabasamu maramojamoja. Sasa nashangaa wasichana hawa wanaponiona kuna baadhi huniangalia sana hadi nahisi aibu naweza hata kujikwa na kila nikipishana nao huwa wanajadilijadili vitu fulani. je humaanisha nini?
Na akupendae mpende lakini hii hutegemea na type yenyewe.
Mimi nashangaa, najiuliza sipati jibu.
Ninapoishi kwasasa nimezungukwa na wasichana wengi mno. Ila binafsi ni kijana mkimya sana nazaidi kwa wanawake hasa ambao sina jambo linalotuunganisha hata salamu kuitoa huwa shida muda mwingi huwa namambo yangu sina habari na mtu na kimotion changu cha haraka na katabasamu maramojamoja. Sasa nashangaa wasichana hawa wanaponiona kuna baadhi huniangalia sana hadi nahisi aibu naweza hata kujikwa na kila nikipishana nao huwa wanajadilijadili vitu fulani. je humaanisha nini?