Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 9,332
- 13,784
Watanzania husani vijana tuendelee kuchapa kazi nchi iko salama kwa vyombo vya ulinzi jinsi vinavyofanya kazi kwa sasa mpaka kwa muuza kahawa na mcheza bao mtaani.
Nimesikia mwanaharakati mmoja anasema bunduki hazina Risasi ndugu za kuambiwa changanya na zako mwenzio yuko Marekani wa kuicha Familia yako ni wewe kwa kifupi yule Dada ni Kinjekitile Ngwale wa kizazi hiki.
Yaani zile Assault rifles na sophisticated weapons kama AK47, M5 ziwe hazina Risasi mnaenda kufa vibaya sana naona 1,000,000 mkimwaga mchuzi mwekundu kwenye Lami.
Achana na F16 kuna mzigo wa F-35 umeingia juzi moja silaha nzuri sana.
Nimesikia mwanaharakati mmoja anasema bunduki hazina Risasi ndugu za kuambiwa changanya na zako mwenzio yuko Marekani wa kuicha Familia yako ni wewe kwa kifupi yule Dada ni Kinjekitile Ngwale wa kizazi hiki.
Yaani zile Assault rifles na sophisticated weapons kama AK47, M5 ziwe hazina Risasi mnaenda kufa vibaya sana naona 1,000,000 mkimwaga mchuzi mwekundu kwenye Lami.
Achana na F16 kuna mzigo wa F-35 umeingia juzi moja silaha nzuri sana.