Sir John Deere
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 14,246
- 27,502
Hivi unajua maana ya F16 na F35? Hiki chama chetu kimejaza vilaza wakiamini kabisa ndio nguzo.
Oh fuk off, tz doesnt have money to purchase even f-106, the old stuff, so give me a breakWe purchased the deadly weapon and is already in Tanzania 30units. Sisi hatuangalii nchi ngapi wanazo sisi tunawezesha jeshi letu litumie a very latest technology
Haueleweki unaandika kama umekalia muhogo wa Muliro.Watanzania husani vijana tuendelee kuchapa kazi nchi iko salama kwa vyombo vya ulinzi jinsi vinavyofanya kazi kwa sasa mpaka kwa muuza kahawa na mcheza bao mtaani.
Nimesikia mwanaharakati mmoja anasema bunduki hazina Risasi ndugu za kuambiwa changanya na zako mwenzio yuko Marekani wa kuicha Familia yako ni wewe kwa kifupi yule Dada ni Kinjekitile Ngwale wa kizazi hiki.
Yaani zile Assault rifles na sophisticated weapons kama AK47, M5 ziwe hazina Risasi mnaenda kufa vibaya sana naona 1,000,000 mkimwaga mchuzi mwekundu kwenye Lami.
Achana na F16 kuna mzigo wa F-35 umeingia juzi moja silaha nzuri sana.
Unapoteza muda bro kubishana na uyo tahira.Nigga pls, unajua what is sf? Unajua namna wanakuwa deployed?
Eti f-35? Unajua nchi ngapi mpaka sasa wanazo?
Stop talking trash here bro
Nadhani wewe ni miongoni mwa watanzania wachache ambao mmeifikisha nchi hapa ilipo, either kwa kujua ama kutokujua,Watanzania husani vijana tuendelee kuchapa kazi nchi iko salama kwa vyombo vya ulinzi jinsi vinavyofanya kazi kwa sasa mpaka kwa muuza kahawa na mcheza bao mtaani.
Nimesikia mwanaharakati mmoja anasema bunduki hazina Risasi ndugu za kuambiwa changanya na zako mwenzio yuko Marekani wa kuicha Familia yako ni wewe kwa kifupi yule Dada ni Kinjekitile Ngwale wa kizazi hiki.
Yaani zile Assault rifles na sophisticated weapons kama AK47, M5 ziwe hazina Risasi mnaenda kufa vibaya sana naona 1,000,000 mkimwaga mchuzi mwekundu kwenye Lami.
Achana na F16 kuna mzigo wa F-35 umeingia juzi moja silaha nzuri sana.
Sidhani kama hata anajua F-35 ni nini sana sana amejiandikia tu, anafikiri hiyo nayo inaagizwa kama Abdul anavyoagiza malaya kule Masaki.We kweli mbumbumbu, AK47 ni sophisticated weapon? Halafu hamna jeuri ya kuwa na F-16 achilia mbali F-35. Naona unaota ndoto za mchana.