The Computer Networks Crew

Bontowar

JF-Expert Member
Feb 21, 2009
520
52
Ninaianzisha thread hii kwa ajili ya kubadilishana pia kufundishana kuhusu Networking kuuliza mwaswali ili tusaidiane kwa woote tuanze na cofiguratiaon za rauter kwa yeyote anaweza akasaida
 
Last edited:
I like the idea of having threads of the type "xyz Crew".
Nilitumbukia haraka haraka humu nikidhani title inahusu kufanya networking kwenye jambo fulani hivi kama biashara.

Title iwe "Computer Networking crew"?
Wazo zuri bontowar.
 
Kazi ipo nami nimo count me inn....napenda sana networkings.....sijui wapi nitasoma hii kitu aisee
 
Hii powa sana...sasa tuanzishe maswali??? Maana kutwa kucha kuna vitu vipya vya kufunza na kujifunza.....
 
Nami nichomeke kwenye hub niingie ktk mjadala wa computer networking. Mkuu Bontowar hizo configuration za router nazisubiri kwa hamu, na nimeshainstall router simulator kwa ajili ya mazoezi.
 
Moja ya vitu vitakavyo zungumzwa sana tutakapoanza kutumia mikonga ya fiber ni firewall protection, ambapo utahitaji some sort of a software firewall solution kwenye PC yako. Hata hivyo, schools, Internet cafe and some organizations might need a better solution to suit their needs. Linux firewalls will come-in handy here.
Think of this as a business opportunity for you (QUESTION: Where to look for opportunities? ANSWER: Find problems in the society and solve them). :)

You can build a linux firewall from scratch by doing it yourself. Alternatively, you can use some linux distribution that are readily available which are designed to be used as firewalls.
I have used SmoothWall for quite some time now; it is very good. There are other flavors too that you may want to try out, for eg. ClarkConnect.

Later on, I will try to summarize this (click) review, so you can get a picture of how easy and what is needed for you to get started.



Pros

  • Ease of installation
  • Friendly WebGUI interface (You can play with configuration here, remotely, ie. from your PC browser)
  • Good support is available because so many people use it.
  • You can add new features easily along with a forum that has walkthroughs for installing MODS (add-ons)
  • You can use even cheap PC (500-900MHz range w/ 128-512MB of RAM)


Useful links kujifunza zaidi kuhusu Smoothwall:
A Summary of Mods
HomeBrew Customizations
Smoothwall community
Features comparison chart


Other Linux/unix firewall solutions













.
 
Last edited:
pia tunaweza kuanza na configuration za router za mwamzo na simulation dani ni nzuri atuweke hapa
 
pia tunaweza kuanza na configuration za router za mwamzo na simulation dani ni nzuri atuweke hapa
Nilidhani wewe ndiyo unaandaa ili kutuletea. :)
Wenye uzoefu watajitokeza. Hata hivyo bontowar, ni vyema ukaweka maswali hapa kama unayo
 
Just to spice things up, If you are into firewalls, Lazy Dog mentioned something about Smoothwall I have played with another firewall called pfsense and its good. Are you looking for something with the following Features: Perimeter Firewall pfSense accommodates networks with more complex needs, such as multiple Internet connections, multiple LAN networks, multiple DMZ networks, etc. Unlike many similar solutions, you can deploy systems with dozens of interfaces if needed. LAN Router WAN Router Wireless Access Point VPN Appliance Sniffer Appliance DHCP Server Appliance DNS Server Appliance Voice over IP (VoIP) Appliance Alafu , the best thing is ...It is Open source !!!!!!!!!!!!
 
Nihesabuni ndani.
Kabla hatujaanza kufanya configuration za hizo Routers / Switch ni vizuri tukajadiri ni Topology gani tutakayokuwa tunaifanyia kazi. Napendekeza tungeanzia na topology yenye routers atleast 3, Serial Linked together, halafu upande wa pili zipo connected kwenye Switch thru Ethernet, halafu computer / Servers nk zipo connected kwenye Switch. host kutoka Network "A" ikiweza kuongea na host wa Network "B" and "C" tutakuwa tumefaulu kutuma packets thru ambalo ndo lengo kubwa.
 
Nihesabuni ndani.
Kabla hatujaanza kufanya configuration za hizo Routers / Switch ni vizuri tukajadiri ni Topology gani tutakayokuwa tunaifanyia kazi. Napendekeza tungeanzia na topology yenye routers atleast 3, Serial Linked together, halafu upande wa pili zipo connected kwenye Switch thru Ethernet, halafu computer / Servers nk zipo connected kwenye Switch. host kutoka Network "A" ikiweza kuongea na host wa Network "B" and "C" tutakuwa tumefaulu kutuma packets thru ambalo ndo lengo kubwa.
Jua Kali,

Is this what you had in mind ? - Just a quick sketch i came up with while reading your post. Just to help out other people who might have no idea what we are talking about.

i548_1stsketchofproposednetwork.gif
 
Back
Top Bottom