The committee of 300

The committee of 300

Si kweli,Shetani amekudanganya.Kambi ziko mbili,ya Shetani na Mungu,the almighty.Shetani hawezi kufunua uovu wake,ni kambi ya Mungu tu inayoweza kufunua uovu wake.It's common sense,ufalme ukijifitini hauwezi kusimama.

Si kweli,you are suffering from misinformation.Ninao waponda ni NWO.Naomba uelewe kwamba ufalme ukijifitini hauwezi kusimama.You can't preach love and at the same time practise depopulation/eugenics/euthanasia,things which the NWO is advocating.That is hypocrisy,characteristic of the Devil.The B ible on the other hand presches love of one another.

Si kweli,you are suffering from misinformation.Ninao waponda ni NWO.Naomba uelewe kwamba ufalme ukijifitini hauwezi kusimama.You can't preach love and at the same time practise depopulation/eugenics/euthanasia,things which the NWO is advocating.That is hypocrisy,characteristic of the Devil.The B ible on the other hand presches love of one another.
Hawatakuelewa ni ngumu mtumishi 1kor 2:11-16. Zaidi sana sana utaishia kuraruriwa Mt 7:6
 
Serikali moja inawezekana endapo mfumo wa wenye dunia yao yaani mataifa yenye nguvu yatakubaliana nao.

Changamoto kubwa ni wanasiasa, je watakubali kunyang'anywa ulaji na ile pride ya mimi ndiye rais au mfalme wa nchi hii then wakubali kuwa sawa na magavana?

Wananchi siku zote hawanaga noma maana utawaliwa na hawa wanaowazid akili yaani wanasiasa so hata likija hili la serikali moja ya dunia propaganda sikishaenezwa, wananchi watapangwa na wataeleweka.

Swali ni je, uwepo wa serikali ya namna hii ni strength na suluhisho la matatizo tuliyonayo au ni majanga matupu bora na tulivyo sasa.

1. Je, serikali hiyo itaweza kumaintain amani ya dunia kuliko ilivyo sasa?

2. Je, serikali hiyo itaweza kufutilia mbali kabisa umasikini nakuondosha matabaka?

3. Je, serikali hiyo itadumisha usawa kati ya nchi zote pasipo kupendelea upande wowote kati ya mataifa yale tajiri zaidi na maskini?

4. Je, serikali hiyo itaweza hakikisha inathibiti uzalishaji wa silaha za maangamizi na kuwajibika kikamilifu kwa dosari zake?

5. Je, serikali hiyo itawajibishwa na chombo kipi endapo ikienda ndivyo sivyo?

6. Je, itatumia muundo upi kuongoza watu ambao hauna dosari?

7. Ikiwa sasa hivi chanjo ya corona tunalazimishana, viwanda vimekuwa kero kwenye athari za kimazingira na tabia ya nchi au waamiaji toka Afrika na Asia wanawekewa vizuizi wasiingie Europe, je siku wakitawala wao kwa asilimia 100% maamuzi yao yataiathiri vipi dunia?

8. Kwa miaka yote dunia imeendelea sababu ya ushindani, sasa tukiondoa nchi tukazibadilisha kuwa na cheo cha mikoa/states, je uhakika wa maendeleo upo au yale yale tu kama tulivyo sasa?

9. Je, usalama, uhuru, usawa, haki, maamuzi ya haraka,kuheshimu imani za watu wote na tamaduni zao utadumishwa kwenye nyanja zote za kijamii na kiuchumi ikiwemo biashara?
Mfano; Leo wewe ni mfanyabiashara umekuja bongo tumezingua unaondoka na kutafuta eneo lingine kuwekeza, pata picha ni serikali hiyo hiyo hata kama imekuminya hapa hamna pa kuchomokea hata uende wapi.

10. Je, serikali hiyo itaruhusu upinzani? Vp ikitokea waliopo madarakani wakagoma kutoka nani atawaondoa? Na kama ni jeshi la dunia limepindua uongozi wa dunia nani atawachomoa?

11. Je, serikali hiyo ikiamua kuingilia uhuru wetu wa maamuzi,afya,faragha,imani,n.k au kutuongoza kidikteta au ukatokea mpasuko wa kisiasa ndani ya serikali hiyo moja nini hatima yake?

12. Je, utawala huo utatofautiana vipi na tawala zakishenzi zilizopita kama ajemi,mesopotamia,rumi na nyinginezo ambazo licha ya kutawala dunia ziliishia kulipisha kodi kubwa, kuishi luxury, kupendelea mabara yao na kudumisha ubaguzi wa rangi,utamaduni mpaka imani?

Kiufupi kuna maswali mengi nahisi yanapaswa kujibiwa kabla ya kuunga sera ya serikali moja ambayo badala ya kuwa na faida inaweza ishia kuwa jehanamu kwa dunia yetu.
Kiukweli maswali yako ni ya msingi na yana hoja, ila wangekuwa wanajitokeza kuyajibu ingefaa zaidi. Mimi ntakujibu kadhaa , kuhusu tawala za kirumi n.k hizo zilikuwa ni tawala za kifalme ambazo mtu mmoja anafanya maamuzi kutokana na matakwa yake, katika serikali moja ya ulimwengu, hapa maamuzi yanatokana na wanachama wote, na siyo serikali ya mtu mmoja au nchi moja.

Kuhusu silaha za maangamizi, hizo zitaendelea kuwepo,ila zitapunguzwa na itakuwa ni rahisi kuendesha uzalishaji na usimamizi wa hizo silaha.

Kuhusu umasikini, inawezekana kuutokomeza au kuendelea kuwepo, vyote inawezekana, ila utaweza kupungua kwa kiasi chake kwa sababu mifumo ya uendeshaji wa serikali za nchi itakuwa centralized, kwahiyo itakuwa ni rahisi kutekeleza na kutimiza mikakati ya kupambana na umasikini.

Kuhusu uwajibishwaji wa serikali, inaweza kuwepo katiba bora, ambayo itatoa mwongozo juu ya uwajibishwaji wa hiyo serikali endapo itaenda kinyume na katiba.

Kuwepo kwa Jeshi moja, itasaidia kuyadhibiti majeshi mengine yanayofanya uasi na kuyadhibiti majeshi ya ndani ya nchi yasilete mapinduzi. Kwa kuangalia mifano ya serikali ya USA, Chini na Russia, ambayo ndani yake kuna visiwa na baadhi ya mamlaka za serikali ambazo zinajiendesha zenyewe ila zipo chini ya usimamizi wa serikali kuu na hatujaona zimerudi nyuma kimaendeleo bali zinazidi kuchanja mbuga, hata hili la serikali moja ya ulimwengu linawezekana.

Hata Afrika tungekuwa na serikali kuu moja tungekuwa mbali kimaendeleo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom