Wana JF naomba msaada mtu anayeifahamu hiyo idara husika hapo juu (THE COMMISSION FOR MEDIATION AND ARBITRATION)
....Ni Taasisi iliyoanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Taasisi za kazi Namba 7/2004 kwa mujibu wa kifungu cha 12 cha Sheria husika.(THE COMMISSION FOR MEDIATION AND ARBITRATION)