The Caster Semenya Saga:Berlin and Beyond.

Ooh poor girl! I sympathise with her. Hermaphrodite ni kwamba ana reproductive organs za kiume na kike pia. Mi naona kama wazazi wameona ana uke wakati tangu akiwa mdogo kibinaadam tunamtambua kama mwanamke. Suala la testerone kuzidi na uwepo wa internal male organs za kiume ambazo kwa nje labda hatuzioni naona lisitumike kama kigezo cha kumpokonya uchampion wake. Ila ngojen tusubir hiyo official habar itakakapotoka.
Thanx
 
Gender-row runner Caster Semenya 'is a hermaphrodite with no womb or ovaries'




Last updated at 10:26 PM on 10th September 2009



The runner at the centre of the 'is she or isn't he?' gender controversy has both male and female organs, it was reported last night.
Caster Semenya, the 18-year-old South African women's world champion, is a hermaphrodite, according to an Australian newspaper.
It said the world governing body, the International Association of Athletics Federations, is expected to disqualify Semenya from future events and advise an operation because the condition carries grave health risks.
article-1212562-061D1A40000005DC-427_468x309.jpg
Shock claims: Caster Semenya celebrates her 800m victory in Berlin last month amid an international row over whether she is a man or a woman

The runner, who was raised as a girl by her family, has undergone a series of tests to try to end the speculation about her sex following her gold medal win in Berlin last month.
Quoting a source closely involved with the IAAF, the Sydney Daily Telegraph claimed the tests showed the runner has no womb or ovaries.
Caster posed for a glamorous photoshoot in a South African magazine this week

It said she has three times more testosterone than a normal female and as a result of the discovery about her sex could have the gold medal taken away from her.
It added that Semenya had internal testes - male sexual organs which produce testosterone and which in turn produce muscle bulk, body hair and a deep voice.
Semenya, said the paper, is so far unaware of the tests identifying her as a hermaphrodite.
The tests examined her physical make-up as well as her chromosomes and DNA.
The process involved a physical medical evaluation and assessments by a gynaecologist, psychologist, internal medicine specialist and gender expert.
The IAAF confirmed it had received a report into the athlete's gender but refused to give details. A spokesman said the data would be studied by experts before Semenya was told, within a fortnight, of the outcome in a private call.
He added: 'It is likely that we will be in a position to then decide on the course of action and any public announcement.'


South Africa has strongly defended the runner against claims that she won her medal unfairly because she was really a man.
Leonard Chuene, president of Athletics South Africa, said the organisation would advise the teenager to ignore all speculation until she had been officially informed of the results of the tests.
He said: 'Our people will speak to Caster this evening and ensure that she puts these rumours from her mind. We stand fully behind her as our athlete.'
Semenya's uncle, Lesiba Rammabi, said her relatives had been 'very humiliated' by the newspaper report and added that whatever the outcome of the medical examinations, her family would never accept she was not female.

Kaaz kwer kwer...at least "her" athletic prowess wasn't due to performance enhancing drugs.
 
Ooh poor girl! I sympathise with her. Hermaphrodite ni kwamba ana reproductive organs za kiume na kike pia. Mi naona kama wazazi wameona ana uke wakati tangu akiwa mdogo kibinaadam tunamtambua kama mwanamke. Suala la testerone kuzidi na uwepo wa internal male organs za kiume ambazo kwa nje labda hatuzioni naona lisitumike kama kigezo cha kumpokonya uchampion wake. Ila ngojen tusubir hiyo official habar itakakapotoka.
Thanx

Sikubaliani na wewe. Ni vyema tukubaliane na uchunguzi na ushauri wa kitaalamu hata kwenye mambo ya michezo, ndio maana watu wanashinda maabara kuvumbua mambo mapya ili yatumike..sio yabaki vitabuni tu. Waafrika tuanze sasa kufuta dhana ya kulalama tunaonewa na ku-embrace scientific advancements na kuzitumia.

Hebu tazama maoni ya mwanafamilia:

Semenya's uncle, Lesiba Rammabi, said her relatives had been 'very humiliated' by the newspaper report and added that whatever the outcome of the medical examinations, her family would never accept she was not female.

Ni vigumu kuelewa hii kauli(reddish) ni dalili ya ukosefu wa elimu au ni frustration tu? I hope ni frustration tu.

Kwenye habari zilizovuja kwenye hilo gazeti, expert mmoja ametanabahisha kuwa kwa hali yake ya sasa inaweza ika-pose healthy risks kama hatafanyiwa operation, sasa ni vyema kuwa open na taratibu za kitabibu badala ya kuwa rude na kutafuta visingizio.
 
kama yeye ni hermaphrodite, je watamuachia hiyo medali yake au wataichukua coz upande mwingine ni mwanamke!
 
kwa maelezo ya hao wataalamu huyo dada/kaka ana upande mkubwa wa kiume na mdogo sana wa kike "uke", kwa kwa mtazamo wangu huyo dada/kaka ha-qualify kushiriki upande wowote, yeye ni abnormal na kuna mashindano ya abnomalz nadhani kule ndiko anakofiti zaidi
 
Huu ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Semanya ni msichana kwa kuwa ndivyo alivyo lelewa na kujijua toka awali. Haya mambo ya sayansi ni upuuzi mtupu. Itamuathiri sana kisaikolojia na hawa jamaa lazima wafunguliwe mshitaka.
 
@ Abdul nakubaliana na wewe 100%, but je tumueke ktk kundi gan sasa next time atakapotaka kushirik michezoni! Maana kwa wanaume pia hata fiti kwa kua ana uke according to her parents. Au unataka anyimwe kabisa ambitions zake za kuwa athlet?
@ pingpong nlishawahisoma habar moja BBC yule raisi wa riadha ameseme hawatampokonya gold medal yake coz halikuakosa lake kama ikibainika otherwise. Thanx buddies.
 
Huu ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Semanya ni msichana kwa kuwa ndivyo alivyo lelewa na kujijua toka awali. Haya mambo ya sayansi ni upuuzi mtupu. Itamuathiri sana kisaikolojia na hawa jamaa lazima wafunguliwe mshitaka.

Na wewe bwana, kwani kuna mashoga wangapi wamelelewa kama wanawake humu duniani lakini hatuwakubali kama wanawake!!!

Acheni sayansi ifanye kazi, la sivyo asingekubali kuingia kwenye mashindano yanayokuwa governed na maamuzi ya kisayansi
 
Sikubaliani na wewe. Ni vyema tukubaliane na uchunguzi na ushauri wa kitaalamu hata kwenye mambo ya michezo, ndio maana watu wanashinda maabara kuvumbua mambo mapya ili yatumike..sio yabaki vitabuni tu. Waafrika tuanze sasa kufuta dhana ya kulalama tunaonewa na ku-embrace scientific advancements na kuzitumia.
.

Kweli kabisa,

Hii saga yote isingekuwa kubwa kama wasauzi wasingeleta drama na protest kinamna ile; they thought everything ni siasa... sasa wameumbuka na wamemuumbua yule dada/kaka wa watu. si mara ya kwanza watu kufanyiwa test, na hapakuwa na drama kubwa namna hii

Kibaya zaidi imeonyesha kwamba athleteics body by wasauzi haikuwa makini kwenye kuwaandaa washiriki wao hasa kwenye masuala ya afya...

just feeling sorry for Caster, she didnt deserve this because she just got this present from God!!

upambe ni nuksi
 
the runner has no WOMB and no OVARIES,i think this abnormality effectively ends her career-Semenya will keep her medals but behind her back word will be she had an unfair advantage-i would suggest the south african government sponsor her in pursuit of a new career eg education-for whatever happened was no fault of her own making
 
wananionea...ila kiukweli saanyingine chama cha riadha cha SA kinaelekea kilijua ila kilidharau...so hamna kumtafta mchawi ni chama cha riadha SA......uwwwwiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Masikini "Samanya" isiyotangulia kama lilivyo jina lake "Semanya"
 
ni suala gumu kukubali ukweli huo,lakini ni tatizo ambalo lipo.nilipokuwa o-level hiki kitu niliwahi kukisoma kwenye topic moja ya genetics kuhusu watu wa aina hii.na nakumbuka ilieleza kuwa watu wa aina hii hawaruhusiwi kushiriki michezoni kwa sababu wanakuwa na added advantage.kama ni kweli nauona mwisho wa carrier yake.
 
ni suala gumu kukubali ukweli huo,lakini ni tatizo ambalo lipo.nilipokuwa o-level hiki kitu niliwahi kukisoma kwenye topic moja ya genetics kuhusu watu wa aina hii.na nakumbuka ilieleza kuwa watu wa aina hii hawaruhusiwi kushiriki michezoni kwa sababu wanakuwa na added advantage.kama ni kweli nauona mwisho wa carrier yake.

Hapo nilipo bold nimepata utata kidogo, au labla Biology hiyo ulisomea nje ya Tanzania which I think pia haitakiwi kuwa na tofauti. genetics ni subtopic tu katika "heredity and development of organisms" ambayo inaangalia zaidi genotype of an organism "that is the class to which that organism belongs as determined by the description of the actual physical material made up of DNA that was passed to the organism by its parents at the organism's conception". Sasa hebu tueleze je wazazi wa Semenya ni hermaphroids?.

Ningekubaliana na wewe kidogo kama ungeongelea another subtopic ya heredity and development, phenotype which is the class to which that organism belongs as determined by the description of the physical and behavioral characteristics of the organism, for example its size and shape, its metabolic activities and its pattern of movement.

 
Last edited:
Hapo nilipo bold nimepata utata kidogo, au labla Biology hiyo ulisomea nje ya Tanzania which I think pia haitakiwi kuwa na tofauti. genetics ni subtopic tu katika "heredity and development of organisms" ambayo inaangalia zaidi genotype of an organism "that is the class to which that organism belongs as determined by the description of the actual physical material made up of DNA that was passed to the organism by its parents at the organism's conception". Sasa hebu tueleze je wazazi wa Semenya ni hermaphroids?. May be unachanganya na topic ya Reproduction mkuu.

Inabidi wengi warudi kwenye basic biology, defects hutokea kwenye segregation and assortment of chromosomes from parents during meiosis....suala na wazazi kuwa hermaphroids is out of question!
 
kama yeye ni hermaphrodite, je watamuachia hiyo medali yake au wataichukua coz upande mwingine ni mwanamke!

IAAF walisema juzi watamuachia hiyo medali whatever the outcomes of the tests.. Hiyo medali ni yake milele
 
Inabidi wengi warudi kwenye basic biology, defects hutokea kwenye segregation and assortment of chromosomes from parents during meiosis....suala na wazazi kuwa hermaphroids is out of question!

Kwa level ya O-level topic hii mara nyingi hizi hufundishwa form four, tena unakuta karibia na mitihani, sasa uwezo ni mkubwa wa kuchanganya kama interest yako ni kuachana na biology at that level.

Umenikumbusha Mendel's Laws kwenye heredity mkuu. first law is "seggregation of characteristics" and Second law is "independent assortment"
 
Kweli waafrika ndivyo tulivyo....
South African officials have stepped up their defence of Caster Semenya, warning of a "third world war" if the row over her sex stops her competing.
The 18-year-old 800m world champion has had medical tests following doubts about whether she is actually female.
South Africa's sports minister, the Reverend Makhenkesi Stofile, said: "Caster is a woman, she remains our heroine. We must protect her."
 
@ Abdul nakubaliana na wewe 100%, but je tumueke ktk kundi gan sasa next time atakapotaka kushirik michezoni! Maana kwa wanaume pia hata fiti kwa kua ana uke according to her parents. Au unataka anyimwe kabisa ambitions zake za kuwa athlet?


Kiongozi, hilo swali lako ni gumu kama vita vya Afghanistan. Maana kiukweli duniani kuna jinsia 'rasmi' mbili tu, sasa hapo kidogo inakuwa utata kidogo. Mimi binafsi sina jibu kwa kweli. Ni ngumu!
 
Back
Top Bottom