"The Camera can't be started", naomba msaada

anjnr

JF-Expert Member
Dec 13, 2010
539
208
Ni ujumbe unaotokea kwenye simu yangu kila napojaribu kufungua app ya camera, ni simu aina ya blackberry Q5. Wakati wote nimekuwa nikitumia line ya voda, kabla tatizo hili halijaanza siku 2 zilizopita niliweka line ya halotel kwa muda fulani..sijui kama hii ndiyo yawezakuwa sababu lakini hata baada ya kurejesha line ya voda na ku-restart simu mara kadhaa camera inagoma kufunguka. Naombeni msaada wazoefu, nifanye nini. Natanguliza shukrani
 
Dah hata mm cm yangu inatatizo kama hilo,ila ilidondoka cm ni aina ya techo h6,wataalam tunaomba msaada wenu jamani
 
Ni technical issue attachment ya camera imelegea Simu inabidi kufunguliwa na ku reattach camera vizuri, same issue found on bb9900 inakua kwenye camera app afu huoni kitu hiyo message ikiwa juu, ukiwaza gandamiza camera sana then restart
 
Camera threads zimelegea so unatakiwa ufungue cm uzikaze

Muundo wa simu hata betri imefungiwa ndani moja kwa moja, namaanisha hata ku-replace battery ni kwenda kwa fundi. Nachoweza kubadili mwenyewe muda wowote ni line ya simu na memory card tu
 
Back
Top Bottom