Babu kumbe bado upo! Nikadhani Corona ishakufikia ulipo lolTatuzo ni wewe laanakum unayechezea mabinti za watu kwa kisingizio cha kuoa. Kesho naenda mlimani kufanya ibada. Ole wako nakuambia... ole wako
Hivi humu kuna couples nyingine iliyo strong km hii
Najua zipo za kijanja janja ,ila km hii sidhani
Hahahaha ,wanapendezea
Picha ya nini sasauzi bila picha
Mmeshaoana...mana ni miaka sasa? Au mnabanduana tu...mpaka mchokaneMy dear brother, thank you
Sent from my iPhone using JamiiForums
Walishaachana muda sana😀Mmeshaoana...mana ni miaka sasa? Au mnabanduana tu...mpaka mchokane
Na mm nlikuwa niulize hiliWalishaachana muda sana
Kwahiyo ze bord hujaoa bikira tehe teheMungu wanguuuuuu! Hivi tumeshafikisha miezi 6 baba?
Umenifanya nikapekue diary na uko sahihi kabisa,hadi tarehe kumbe bado unaikumbuka? Umetisha kichwa wangu.
Well,nashukuru kwa kila kitu mpenzi wangu. Nashukuru kwa kunipenda kiasi ambacho sikuwahi kudhani kama nitakuja kumpata mwanaume wa kunipenda hivi!
Yani unanipenda hadi kila wakati najihisi ni mwenye deni,nitaulipa vipi upendo huu? Naona hakuna njia nzuri zaidi ya kukulipa kwa upendo my sweetlove...yaani ni upendo kwa upendo
Napenda kutumia fursa hii kuwapa ushauri wale wote wanaovutiwa na sisi kama couple.
Jamani mapenzi ya wazi yana changamoto nyingi mnoooo,sio mchezo.
The bold ni mwanaume haswa,mvumilivu kwelikweli.
Kapambana na mengi/wengi sana juu yangu na mapenzi yetu kiujumla.
Kaambiwa na bado anaambiwa mengi,lakini I thank God he is smart enough,hajatetereka ndio maana hadi sasa tuko pamoja.
Achana na maneno ya watu,ni wengi sana hawaamini kama sisi ni wapenzi.
Katika maswali ninayokumbana nayo humu (na hata kwa ndugu jamaa na marafiki wanaoijua ID yangu ) ni "Wewe na Bold ni wapenzi kweli?"
Nawaelewa sana kwanini wananiuliza swali hili. Sababu kuu ni HAWAAMINI kama inawezekana watu mkajuana kupitia mitandao/mtandao na mkapendana kweli.
Jamani,this is serious,sio maigizo wala hakuna chochote kile zaidi ya mapenzi.
Na haya mambo yanawezekana kabisa.
Ila sasa (naomba radhi kwa wale nitakaowakwaza) wale wanaoandika kabisa posts za kutafuta wachumba/wapenzi au wenzi ndio wanaotia ukakasi na kuondolea credibility ya mapenzi ya mitandaoni maana wengi hawako serious.
Haya mambo yanawezekana endapo yakijijenga yenyewe (kama mimi na Bold tulivyopendana)
Hii ndio ile wenzetu wanasema "Let love lead"
Baada ya kusema hayo naomba nihitimishe kwa haya "Nakupenda sana Bold wangu,asante kwa kunipenda namna hii,asante kwa kunivumilia,asante kwa vita zote zile ulizopambana na bado unaendelea kupambana kwa ajili yangu na mapenzi yetu kiujumla.
Mara nyingi huwa nakuambia kila wakati naumiza kichwa nikiwaza nikukeep vipi,natamani nifanye zaidi ya yale uniambiayo ndiyo pekee unayoyahitaji.
Nitakupenda Daima,that's a promise"
Happy six months anniversary my love
Serious?Walishaachana muda sana😀
Ndo kwanza mahaba yao yanazidi kushamiriSerious?
Happy 6 years anniversary mkuuMungu wanguuuuuu! Hivi tumeshafikisha miezi 6 baba?
Umenifanya nikapekue diary na uko sahihi kabisa,hadi tarehe kumbe bado unaikumbuka? Umetisha kichwa wangu.
Well,nashukuru kwa kila kitu mpenzi wangu. Nashukuru kwa kunipenda kiasi ambacho sikuwahi kudhani kama nitakuja kumpata mwanaume wa kunipenda hivi!
Yani unanipenda hadi kila wakati najihisi ni mwenye deni,nitaulipa vipi upendo huu? Naona hakuna njia nzuri zaidi ya kukulipa kwa upendo my sweetlove...yaani ni upendo kwa upendo
Napenda kutumia fursa hii kuwapa ushauri wale wote wanaovutiwa na sisi kama couple.
Jamani mapenzi ya wazi yana changamoto nyingi mnoooo,sio mchezo.
The bold ni mwanaume haswa,mvumilivu kwelikweli.
Kapambana na mengi/wengi sana juu yangu na mapenzi yetu kiujumla.
Kaambiwa na bado anaambiwa mengi,lakini I thank God he is smart enough,hajatetereka ndio maana hadi sasa tuko pamoja.
Achana na maneno ya watu,ni wengi sana hawaamini kama sisi ni wapenzi.
Katika maswali ninayokumbana nayo humu (na hata kwa ndugu jamaa na marafiki wanaoijua ID yangu ) ni "Wewe na Bold ni wapenzi kweli?"
Nawaelewa sana kwanini wananiuliza swali hili. Sababu kuu ni HAWAAMINI kama inawezekana watu mkajuana kupitia mitandao/mtandao na mkapendana kweli.
Jamani,this is serious,sio maigizo wala hakuna chochote kile zaidi ya mapenzi.
Na haya mambo yanawezekana kabisa.
Ila sasa (naomba radhi kwa wale nitakaowakwaza) wale wanaoandika kabisa posts za kutafuta wachumba/wapenzi au wenzi ndio wanaotia ukakasi na kuondolea credibility ya mapenzi ya mitandaoni maana wengi hawako serious.
Haya mambo yanawezekana endapo yakijijenga yenyewe (kama mimi na Bold tulivyopendana)
Hii ndio ile wenzetu wanasema "Let love lead"
Baada ya kusema hayo naomba nihitimishe kwa haya "Nakupenda sana Bold wangu,asante kwa kunipenda namna hii,asante kwa kunivumilia,asante kwa vita zote zile ulizopambana na bado unaendelea kupambana kwa ajili yangu na mapenzi yetu kiujumla.
Mara nyingi huwa nakuambia kila wakati naumiza kichwa nikiwaza nikukeep vipi,natamani nifanye zaidi ya yale uniambiayo ndiyo pekee unayoyahitaji.
Nitakupenda Daima,that's a promise"
Happy six months anniversary my love