Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Ni wazi kulingana na mazoea ya Chama cha Mapinduzi, Rais Magufuli atasimamishwa kugombea 2020 nafasi hiyo tena. Tujaribu kutabiri mpambano huo wa 2020 kama Wapinzani ndani ya UKAWA wakimsinamisha Lissu kama mgombea hali itakuwaje? Ikumbukwe kuwa UKAWA bado hawajampendekeza mtu yeyote kusimama hivyo bado sio dhambi kuwajadili watu tofauti na anayefit tunamshawishi asimame.
Kwa vile wasifu wa JPM tayari unajulikana basi tukiweka wa Lissu italeta raha.
Hii itakuwa vita kati ya HAPA KAZI TUU na HAKI NA UTU KWANZA
Kwa vile wasifu wa JPM tayari unajulikana basi tukiweka wa Lissu italeta raha.
Hii itakuwa vita kati ya HAPA KAZI TUU na HAKI NA UTU KWANZA