Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,815
- 33,486
Mkuu hii ONE PLUS 5T mpya kwa bongo naweza pata kwa shs ngapi na maduka yapi?hizo zote tatu ni high end phones na zote ziko vizuri kwa upande wa specs...ila kilichonifanya kuiweka lg v30 kuwa ya kwanza ni jinsi walivyoweza kuoptimize matumizi yake ya battery...ukichunguza video nyingi zinazo onesha battery drainage comparisons kati ya hizo simu hapo juu lg v30 imekuwa ikishika no 1...
S8 nimeiweka ya pili kwasababu ya designing yake plus specs ,ijapokuwa kwa specs hawajaachana na v30..designing iliyonivutia ni jinsi walivyoweza kuzipunguza zile bezels bila kualter performance yake.
google pixel 2 XL nimeiweka ya tatu kwa ajili ya camera , S8 iko poa kwenye camera ila kwa selfie hamgusi huyu jamaa. (waweza fuatilia comparisons zilizoko mtandaoni ujionee hizo picha zilizopigwa na hizi simu)...
ONE plus 5T nimeikubali cuz haiko kwenye makundi ya price ya hizo simu tatu nilizozitaja hapo juu ila inakupa specs na performance karibia na hizo hapo juu naweza sema kwa asilimia 88% - 94% ....hata pia nashangaa kwanini mtu anachanganyikiwa na iphone X wakati hata huyu ONE PLUS 5T anaweza kupa performance nzuri kuliko iphone X ....
binafsi naona ni kejeli kufananisha (S8 , google pixel 2 au lg v30) na iphone X
mtazamo tu , sio sheria.[emoji12] [emoji12] [emoji12]
ila Nokia vision yake ni kuzirun Apps za computer kwenye simu yako, hii ni tofauti kidogo, unarun apps zile zile za simu au za linux ambazo zipo compiled na arm kwenye kioo kikubwa.Nokia ndio walionanzisha hii idea ya simu na computer kutumika pamoja
Mkuu hii tech radar naisikia leo ngoja nijiridhishe na gsm arena maana naikubali sana ktk haya mambo ya uchambuzi wa simu[emoji15]Mkuu Mimi sijatoa hoja kwa mapenzi binafsi nimetumia reference ya tech radar ambayo pengine ni reliable kuliko wengine labda mkuu Chief-Mkwawa atuambie kwake ni forum ipi ipo more accurate
imezinduliwa juz juz tu ndugu yangu, binafsi bado sijafanya utafiti kibongo bongo inapatikana wapi..ila kuna wadau hapa waweza kuwa na insight ya upatikanaji wake...brother Lusungo msaaada tafadhali .Mkuu hii ONE PLUS 5T mpya kwa bongo naweza pata kwa shs ngapi na maduka yapi?
Mkuu nami sifahamu na hata kwenye sites za nje sizioni naona mzigo bado haujaingia sokoniimezinduliwa juz juz tu ndugu yangu, binafsi bado sijafanya utafiti kibongo bongo inapatikana wapi..ila kuna wadau hapa waweza kuwa na insight ya upatikanaji wake...brother Lusungo msaaada tafadhali .
Nipo kaka. Majukumu yamebana sana.Mkuu tumepoteana mno
[emoji26] [emoji26] [emoji26] umeishawahi kuona kuna mdada kapiga selfie chooni na samasung,jibu unalo ni simu gani zinapendwa na wadada na zinawapendeza.usifananishe IOS na vitu i
vya kijinga Android Security ipo chini sana hata Camera Quality Samsung ni hewa kabisa Samsung kwa jina lingine ni simu za wadada Selfie ina filter zakutosha halafu simu Android ukinunua leo after 2 Years imepitwa na wakati tofauti Iphone 5s mpaka now inapokea Latest Ios Version
Ios flagship 2017 ina ram 3gb yanini wakati hata 1gb ya ios ni efficient???hata Ram na Processor za Android ni hewa simu ina Ram mpaka 6 Gb unanunua simu ina Apps 60 ya nini Iphone hakuna huo ujinga
Mkuu hii ONE PLUS 5T mpya kwa bongo naweza pata kwa shs ngapi na maduka yapi?
imezinduliwa juz juz tu ndugu yangu, binafsi bado sijafanya utafiti kibongo bongo inapatikana wapi..ila kuna wadau hapa waweza kuwa na insight ya upatikanaji wake...brother Lusungo msaaada tafadhali .
Nimeibamba kwa hawa jamaa huko zoom...Mkuu nami sifahamu na hata kwenye sites za nje sizioni naona mzigo bado haujaingia sokoni
We thinking the same kakakwa mtazamo wangu my top 3 ingekuwa hiv
1. LG V30
2. samsung s8
3. Google pxl 2 xl
ila for the best budget phone ONE PLUS 5T is the best.
[emoji26] [emoji26] [emoji26] umeishawahi kuona kuna mdada kapiga selfie chooni na samasung,jibu unalo ni simu gani zinapendwa na wadada na zinawapendeza.
Iphone 6 iwe bora kwa s7 unaota wewe.baada ya kuona samsung ni hewa wanahama taratibu nimetumia S7 edge ni hewa kabisa bora hata Iphone 6 hamna kitu
price please! je bongo zipo?samsung inakuja na accessory inaitwa dex, ni kikalio ambacho unachomeka simu yako na kukuwezesha kuitumia simu kama desktop.
hii dex unaiconect na display yoyote ya kisasa inaweza ikawa monitor au TV, hio display itageuka na kuwa desktop computer.
mwanzo ilikuwa inarun android tu ila sasa hivi samsung wanaongeza na linux distro.
kama una kazi ya kuchapa kwa simu inakuwa ngumu unaweza tumia keyboard na mouse na tv yako nyumbani ukachapa kazi yote hadi ikaisha.