Bongo kote kubaya tu, labda uniambie sehemu zenye 'kujitahiditahidi'
aisee nimeishi maeneo mengi, ila labda maeneo ya hovyo zaidi naweza kukutajia, maana mengi ni yakawaida sana ila basi tu.
maeneo ya hovyo zaidi ni mtoni azizi ally-huku ni kuchafu sana, hakuna mifumo ya maji taji taka, watu wanakojoa hovyo, vinyesi vipo kwenye rambo.
buguruni kwa mnyamani plus eneo linaloitwa tapa, huku kulikua na da,po zamani , maana mifumo ya vyoo vyote imeelekezwa kwenye mfereji ya maji machafu, huku kunanuka sana, vyoo vyote vimejaa.
tandale plus manzase kuelekea zamani waliita uwanja wa fisi, huku ni mavi yaliyotapakaa mitaroni, kunammbu wakubwa kama vifaranga, kuna maralia sana, kipindupindu kimepiga kambi hapo.
maeneo ya hatari kuishi ni maeneo ya kuzunguka kabi za jeshi kama kule kunduchi.
huyu nadhani anaongelea sehemu iliyokaa kimikogo zaidi! Teh teh, ndy maana amekomalia dating!! Wabongo bwana!...............
.........mimi binafsi napendeleea zaidi kuishi mbali sana na mji, sehemu ambayo nyumba haijazungushiwa uzio na jirani yako wa karibu ni nusu kilomita lakini bado unaweza kulala milango wazi, napenda muonekano wa nchi, napenda kuona mabonde, milima tena karibu na mto, ndege wanalia kwa uzuri, bila shaka sehemu tulivu na salama ni kijiji, unajichagulia shamba kuubwa na kkuboresha makazi maji ni rahisi tu, umeme ni solar na standby generator, muhimu karibu na barabara.
sinza ndio poa.....
Vigezo...
Baada ya nyumba 4 unakutana na grocery,pub,bar na nightclub hamna vibaka (wakabaji),maji ya uhakika (line ya ikulu),jirani na mlimani city ambayo ni one stop shop,madada poa kwa saana.... Etc bar ukiamua kujilipua mpaka asubuhi kuna meeda night club,corner bar etc...
hizi huduma hata suka zipo!CHAWOTE BAR INAKESHA MARA KIBAO!unakula taska huku unahesabu magari ya mkoani!Sinza ndio poa.....
Vigezo...
Baada ya Nyumba 4 unakutana na Grocery,Pub,Bar na Nightclub Hamna vibaka (wakabaji),Maji ya Uhakika (Line ya Ikulu),Jirani na Mlimani City ambayo ni One stop Shop,Madada poa kwa saana.... Etc Bar ukiamua kujilipua mpaka asubuhi kuna Meeda Night Club,Corner Bar etc...
hizi huduma hata suka zipo!CHAWOTE BAR INAKESHA MARA KIBAO!unakula taska huku unahesabu magari ya mkoani!
hizi huduma hata suka zipo!chawote bar inakesha mara kibao!unakula taska huku unahesabu magari ya mkoani!
hakuna, wewe niambie ni sehemu gani dar unweza kufungua bomba la maji na kunywa au uliyo na umeme wa uhakika namaanisha haukatiki kamwe
Hali kadhalika Basihaya campsite, Boko View Hotel, Tegeta By Night, Zero pub. Unakula bia huku unaangalia watalii wanaenda kushangaa bagamoyo. Karibuni kwetu Boko.