Mnawavalisha watoto magwanda hata mgambo hawajapita.
Kweli arumeru kiboko kwa kutekeleza sera ya Chadema(Arsenal au Barca!!!?)kuwa na youth academy.Hawa vijana wanafaa kuwa madiwani au wenyeviti wa mitaa/vitongoji/vijiji
as the twig is bent, so shall the tree grow..Hawa ndio viongozi wetu wajao wa chadema. Naona Chadema wameamua kuwakunja hawa watoto wangali wabichi kwa kuwanywesha damu ya chadema.
Mbonakama watoto hawana furaha ,hau wamelazimishwa?
Wana chuki na magamba ya CCMMbonakama watoto hawana furaha ,hau wamelazimishwa?