The waste president ever!!!

deblabant

JF-Expert Member
Oct 7, 2022
896
1,328
Jpm was the worst president ever seen in this universe. How can one be everything. He paralysed the judiciary, parliament and all decisions were vested on him.

He banned all political rallies as if Tanzania was run without any constitution. In fact the rule of law was no longer adhered to.

This dude was ignorant in almost everything economically, politically and morally.

ECONOMICALLY
Almost every thing was jeopardized. Business men were crying because of their bank accounts being hijacked unnoticeably and some investors fleeing away because of horrible business environment.

POLITICALLY
One who has eyes cannot be told to see. It was only ccm which was allowed to exercise politics at the expense of other parties. It was an era where every youth was struggling to be part of chama Cha mambuzi in order to rescue life though in psychologically not in ccm pee see like Mayala.

MORALLY

Lots people were abducted and some found dead alongside the coastlines at Indian ocean and others were shot in the broad day light like Tundu lisu who till now no victim has been investigated a proof that he was the one who sent those bandits.
 
Zaman nilikuaga nadhan, mtu akiandika / kuongea kimombo ana Akili balaa.


Kumbe unakuta Jitu ni mbumbumbu, lilojaa unafiki na uzandiki .

Nani asojua kua Wafanyabiashara walokimbia Nchi ni wale walozoea Magendo, Rushwa na kukwepa Kodi??.

Nani asojua Mikutano mingi ya kisiasa hizi zinazoitwa demokrasia ilitumika katika kukwamisha Maendeleo na kuleta hofu Kwa Rais, isivyo na maana ?.

Mlizoea Kikwete akawa anawaita Ikulu, mna ridhiana, Kisha anawaingizia Mabilion ya Pesa, mnarudi kimyaa, ziliisha, mnaanzisha tena vurugu??.

Nani asojua Kuna Utakatishaji mkubwa wa Fedha na fedha za kigaidi zilikua katika Akaunti za watu, fedha zisio na maelezo ??.


Watu kufa ,Imeanza Leo ?? Au Leo ndo hawafi hamna Risasi ? Hawaokotwi ?.



Mjinga Mmoja wee!!.

JPM NDIO RAIS PEKEE AMBAYE KWA MIAKA MITANO TU, AMEIFANYIA MAKUBWA NCHI HII KIASI KWAMBA, VIZAZI NA VIZAZI HAVITAKAA KUSAHAU WEMA WA HAYATI JPM.
 
Kuna
Zaman nilikuaga nadhan, mtu akiandika / kuongea kimombo ana Akili balaa.


Kumbe unakuta Jitu ni mbumbumbu, lilojaa unafiki na uzandiki .

Nani asojua kua Wafanyabiashara walokimbia Nchi ni wale walozoea Magendo, Rushwa na kukwepa Kodi??.

Nani asojua Mikutano mingi ya kisiasa hizi zinazoitwa demokrasia ilitumika katika kukwamisha Maendeleo na kuleta hofu Kwa Rais, isivyo na maana ?.

Mlizoea Kikwete akawa anawaita Ikulu, mna ridhiana, Kisha anawaingizia Mabilion ya Pesa, mnarudi kimyaa, ziliisha, mnaanzisha tena vurugu??.

Nani asojua Kuna Utakatishaji mkubwa wa Fedha na fedha za kigaidi zilikua katika Akaunti za watu, fedha zisio na maelezo ??.


Watu kufa ,Imeanza Leo ?? Au Leo ndo hawafi hamna Risasi ? Hawaokotwi ?.



Mjinga Mmoja wee!!.

JPM NDIO RAIS PEKEE AMBAYE KWA MIAKA MITANO TU, AMEIFANYIA MAKUBWA NCHI HII KIASI KWAMBA, VIZAZI NA VIZAZI HAVITAKAA KUSAHAU WEMA WA HAYATI JPM.
Kuna mtu mwenye akili timamu Bado analikumbuka lile jamaa?
 
Zaman nilikuaga nadhan, mtu akiandika / kuongea kimombo ana Akili balaa.


Kumbe unakuta Jitu ni mbumbumbu, lilojaa unafiki na uzandiki .

Nani asojua kua Wafanyabiashara walokimbia Nchi ni wale walozoea Magendo, Rushwa na kukwepa Kodi??.

Nani asojua Mikutano mingi ya kisiasa hizi zinazoitwa demokrasia ilitumika katika kukwamisha Maendeleo na kuleta hofu Kwa Rais, isivyo na maana ?.

Mlizoea Kikwete akawa anawaita Ikulu, mna ridhiana, Kisha anawaingizia Mabilion ya Pesa, mnarudi kimyaa, ziliisha, mnaanzisha tena vurugu??.

Nani asojua Kuna Utakatishaji mkubwa wa Fedha na fedha za kigaidi zilikua katika Akaunti za watu, fedha zisio na maelezo ??.


Watu kufa ,Imeanza Leo ?? Au Leo ndo hawafi hamna Risasi ? Hawaokotwi ?.



Mjinga Mmoja wee!!.

JPM NDIO RAIS PEKEE AMBAYE KWA MIAKA MITANO TU, AMEIFANYIA MAKUBWA NCHI HII KIASI KWAMBA, VIZAZI NA VIZAZI HAVITAKAA KUSAHAU WEMA WA HAYATI JPM.
Pumbavu JPM alikuwa rais wa hovyo kupitiliza.
 
Zaman nilikuaga nadhan, mtu akiandika / kuongea kimombo ana Akili balaa.


Kumbe unakuta Jitu ni mbumbumbu, lilojaa unafiki na uzandiki .

Nani asojua kua Wafanyabiashara walokimbia Nchi ni wale walozoea Magendo, Rushwa na kukwepa Kodi??.

Nani asojua Mikutano mingi ya kisiasa hizi zinazoitwa demokrasia ilitumika katika kukwamisha Maendeleo na kuleta hofu Kwa Rais, isivyo na maana ?.

Mlizoea Kikwete akawa anawaita Ikulu, mna ridhiana, Kisha anawaingizia Mabilion ya Pesa, mnarudi kimyaa, ziliisha, mnaanzisha tena vurugu??.

Nani asojua Kuna Utakatishaji mkubwa wa Fedha na fedha za kigaidi zilikua katika Akaunti za watu, fedha zisio na maelezo ??.


Watu kufa ,Imeanza Leo ?? Au Leo ndo hawafi hamna Risasi ? Hawaokotwi ?.



Mjinga Mmoja wee!!.

JPM NDIO RAIS PEKEE AMBAYE KWA MIAKA MITANO TU, AMEIFANYIA MAKUBWA NCHI HII KIASI KWAMBA, VIZAZI NA VIZAZI HAVITAKAA KUSAHAU WEMA WA HAYATI JPM.

Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
 
Kuna
Zaman nilikuaga nadhan, mtu akiandika / kuongea kimombo ana Akili balaa.


Kumbe unakuta Jitu ni mbumbumbu, lilojaa unafiki na uzandiki .

Nani asojua kua Wafanyabiashara walokimbia Nchi ni wale walozoea Magendo, Rushwa na kukwepa Kodi??.

Nani asojua Mikutano mingi ya kisiasa hizi zinazoitwa demokrasia ilitumika katika kukwamisha Maendeleo na kuleta hofu Kwa Rais, isivyo na maana ?.

Mlizoea Kikwete akawa anawaita Ikulu, mna ridhiana, Kisha anawaingizia Mabilion ya Pesa, mnarudi kimyaa, ziliisha, mnaanzisha tena vurugu??.

Nani asojua Kuna Utakatishaji mkubwa wa Fedha na fedha za kigaidi zilikua katika Akaunti za watu, fedha zisio na maelezo ??.


Watu kufa ,Imeanza Leo ?? Au Leo ndo hawafi hamna Risasi ? Hawaokotwi ?.



Mjinga Mmoja wee!!.

JPM NDIO RAIS PEKEE AMBAYE KWA MIAKA MITANO TU, AMEIFANYIA MAKUBWA NCHI HII KIASI KWAMBA, VIZAZI NA VIZAZI HAVITAKAA KUSAHAU WEMA WA HAYATI JPM.
Kuna mtu mwenye akili timamu Bado analikumbuka lile jamaa lilikuwa linawadnganya na hamna room ya kuhoji chochote man vyombo vya habari vilikuwa avimefungiwa kabatini kwa hiyo hata akipiga fix hakuna wa kupinga. Hata akisema tumemuua mtu ni jambazi kumbe anagombana naye tu kwa interest zake binafsi hakuna mtu wakuhoji. Jpm aliwawini wajinga ambao wakidnganywa tu wao wanakubali kama mazuzu na hawajiuluzi kwa Nini vyombo vya habari vimezimwa Kam mshumaa
 
Zaman nilikuaga nadhan, mtu akiandika / kuongea kimombo ana Akili balaa.


Kumbe unakuta Jitu ni mbumbumbu, lilojaa unafiki na uzandiki .

Nani asojua kua Wafanyabiashara walokimbia Nchi ni wale walozoea Magendo, Rushwa na kukwepa Kodi??.

Nani asojua Mikutano mingi ya kisiasa hizi zinazoitwa demokrasia ilitumika katika kukwamisha Maendeleo na kuleta hofu Kwa Rais, isivyo na maana ?.

Mlizoea Kikwete akawa anawaita Ikulu, mna ridhiana, Kisha anawaingizia Mabilion ya Pesa, mnarudi kimyaa, ziliisha, mnaanzisha tena vurugu??.

Nani asojua Kuna Utakatishaji mkubwa wa Fedha na fedha za kigaidi zilikua katika Akaunti za watu, fedha zisio na maelezo ??.


Watu kufa ,Imeanza Leo ?? Au Leo ndo hawafi hamna Risasi ? Hawaokotwi ?.



Mjinga Mmoja wee!!.

JPM NDIO RAIS PEKEE AMBAYE KWA MIAKA MITANO TU, AMEIFANYIA MAKUBWA NCHI HII KIASI KWAMBA, VIZAZI NA VIZAZI HAVITAKAA KUSAHAU WEMA WA HAYATI JPM.
ALIELETA UZI NA WEWE WOTE MKO SAWA......
ALIKUWA MZURI= YUKO SAWA..
HAKUWA MZURI=YUKO SAWA..
INATEGEMEA UPANDE WA SHILINGI..........
 
Zaman nilikuaga nadhan, mtu akiandika / kuongea kimombo ana Akili balaa.


Kumbe unakuta Jitu ni mbumbumbu, lilojaa unafiki na uzandiki .

Nani asojua kua Wafanyabiashara walokimbia Nchi ni wale walozoea Magendo, Rushwa na kukwepa Kodi??.

Nani asojua Mikutano mingi ya kisiasa hizi zinazoitwa demokrasia ilitumika katika kukwamisha Maendeleo na kuleta hofu Kwa Rais, isivyo na maana ?.

Mlizoea Kikwete akawa anawaita Ikulu, mna ridhiana, Kisha anawaingizia Mabilion ya Pesa, mnarudi kimyaa, ziliisha, mnaanzisha tena vurugu??.

Nani asojua Kuna Utakatishaji mkubwa wa Fedha na fedha za kigaidi zilikua katika Akaunti za watu, fedha zisio na maelezo ??.


Watu kufa ,Imeanza Leo ?? Au Leo ndo hawafi hamna Risasi ? Hawaokotwi ?.



Mjinga Mmoja wee!!.

JPM NDIO RAIS PEKEE AMBAYE KWA MIAKA MITANO TU, AMEIFANYIA MAKUBWA NCHI HII KIASI KWAMBA, VIZAZI NA VIZAZI HAVITAKAA KUSAHAU WEMA WA HAYATI JPM.
Unawaza mwisho wa urefu wa pua yako ya kibantu.Unasumbuliwa na mawenge++!Unavunga haujali kuhusu kiingereza huku hutaki kuitwa "Kibiriti-ngoma"?
 
Zaman nilikuaga nadhan, mtu akiandika / kuongea kimombo ana Akili balaa.


Kumbe unakuta Jitu ni mbumbumbu, lilojaa unafiki na uzandiki .

Nani asojua kua Wafanyabiashara walokimbia Nchi ni wale walozoea Magendo, Rushwa na kukwepa Kodi??.

Nani asojua Mikutano mingi ya kisiasa hizi zinazoitwa demokrasia ilitumika katika kukwamisha Maendeleo na kuleta hofu Kwa Rais, isivyo na maana ?.

Mlizoea Kikwete akawa anawaita Ikulu, mna ridhiana, Kisha anawaingizia Mabilion ya Pesa, mnarudi kimyaa, ziliisha, mnaanzisha tena vurugu??.

Nani asojua Kuna Utakatishaji mkubwa wa Fedha na fedha za kigaidi zilikua katika Akaunti za watu, fedha zisio na maelezo ??.


Watu kufa ,Imeanza Leo ?? Au Leo ndo hawafi hamna Risasi ? Hawaokotwi ?.



Mjinga Mmoja wee!!.

JPM NDIO RAIS PEKEE AMBAYE KWA MIAKA MITANO TU, AMEIFANYIA MAKUBWA NCHI HII KIASI KWAMBA, VIZAZI NA VIZAZI HAVITAKAA KUSAHAU WEMA WA HAYATI JPM.
Utter rubbish.
 
Jpm was the worst president ever seen in this universe. How can one be everything. He paralysed the judiciary, parliament and all decisions were vested on him.

He banned all political rallies as if Tanzania was run without any constitution. In fact the rule of law was no longer adhered to.

This dude was ignorant in almost everything economically, politically and morally.

ECONOMICALLY
Almost every thing was jeopardized. Business men were crying because of their bank accounts being hijacked unnoticeably and some investors fleeing away because of horrible business environment.

POLITICALLY
One who has eyes cannot be told to see. It was only ccm which was allowed to exercise politics at the expense of other parties. It was an era where every youth was struggling to be part of chama Cha mambuzi in order to rescue life though in psychologically not in ccm pee see like Mayala.

MORALLY

Lots people were abducted and some found dead alongside the coastlines at Indian ocean and others were shot in the broad day light like Tundu lisu who till now no victim has been investigated a proof that he was the one who sent those bandits.
Your nothing my friend create another agenda
 
Inategemeana.
Kwa baadhi alikuwa worst na kwa baadhi alikuwa best inategemeana na aina ya watu.
Ila kwa ujumla hakuwa bogus, he was smartest ndio maana bado anaendelea kuwatesa hata miaka mitatu sasa baada ya kufa.
 
Inategemeana.
Kwa baadhi alikuwa worst na kwa baadhi alikuwa best inategemeana na aina ya watu.
Ila kwa ujumla hakuwa bogus, he was smartest ndio maana bado anaendelea kuwatesa hata miaka mitatu sasa baada ya kufa.
Killing some people is nowadays a prerequisite to become smartest? The smart people are those who by any means protect the lives of natuons'citizens.
 
Mtu kashafariki lakini bado hamuachi kumuandama utadhani labda atafufuka aje kutawala tena...

Wewe uliye hai pambana na walio hai...

Jpm was the worst president ever seen in this universe. How can one be everything. He paralysed the judiciary, parliament and all decisions were vested on him.

He banned all political rallies as if Tanzania was run without any constitution. In fact the rule of law was no longer adhered to.

This dude was ignorant in almost everything economically, politically and morally.

ECONOMICALLY
Almost every thing was jeopardized. Business men were crying because of their bank accounts being hijacked unnoticeably and some investors fleeing away because of horrible business environment.

POLITICALLY
One who has eyes cannot be told to see. It was only ccm which was allowed to exercise politics at the expense of other parties. It was an era where every youth was struggling to be part of chama Cha mambuzi in order to rescue life though in psychologically not in ccm pee see like Mayala.

MORALLY

Lots people were abducted and some found dead alongside the coastlines at Indian ocean and others were shot in the broad day light like Tundu lisu who till now no victim has been investigated a proof that he was the one who sent those bandits.
 
Back
Top Bottom