MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,057
- 1,371
DR. Augostino Lyatonga Mrema na Edward Ngoyai Lowasa, ni miongoni mwa viongozi ambao, wamefanya mambo makubwa yanayo waletea watanzania manufaa mpaka sasa.
1. DR. (PHD) Mrema ndie alieneza vituo vya polisi nchi nzima kwa siku saba tu, bila bajeti wala tume au blaa blaa za wataalamu wowote. The best qoute of Lyatonga " C C M SIO MAMA YANGU, C C M SIO BABA YANGU............"
2. Leo hii watoto wote wa walala hoi, angalau wanapata fursa ya kufika sekondari, washindwe wenyewe. Mnyonge Mnyongeni Haki yaki mpeni. Nadhani mpaka sasa watanzania mmesha jua ukweli kuhusu RICHMOND. The Best quote of Ngoyai " Nimedhalilika sana,.........................................."
1. DR. (PHD) Mrema ndie alieneza vituo vya polisi nchi nzima kwa siku saba tu, bila bajeti wala tume au blaa blaa za wataalamu wowote. The best qoute of Lyatonga " C C M SIO MAMA YANGU, C C M SIO BABA YANGU............"
2. Leo hii watoto wote wa walala hoi, angalau wanapata fursa ya kufika sekondari, washindwe wenyewe. Mnyonge Mnyongeni Haki yaki mpeni. Nadhani mpaka sasa watanzania mmesha jua ukweli kuhusu RICHMOND. The Best quote of Ngoyai " Nimedhalilika sana,.........................................."