The Atheists Paradox

The Atheists Paradox

Kama unashindwa kuwatofautisha watu wawili tofauti wanaoandika hapa JF,hivi utaweza kuyaelewa maandiko yenye pumzi ya Mungu wewe?
Kiongozi salama. Huyo jamaa huwa anashangaza sana. Huwa hata sielewi nini anataka na kusema. Mwingine hapo juu anatuka kweli kweli. Eti ndio anafanya kazi ya Allah. Kaazi kweli kweli.
 
Nimeona mjadala wenu hapa na mi napenda niongeze kitu,japo nashindwa weka link yake hapa ya youtube naomba ISHMAEL usaidie kuweka au yeyote anayeweza.
Inahusu huyu sheikh anaitwa Paul Hussein Mubarak search kwa kuandika"ushuhuda wa sheikh aliokoka YESU ndani ya Quran" ziko nne wamsikilize wajue nini kinaendelea katika mafundisho yao
 
Nimeona mjadala wenu hapa na mi napenda niongeze kitu,japo nashindwa weka link yake hapa ya youtube naomba ISHMAEL usaidie kuweka au yeyote anayeweza.
Inahusu huyu sheikh anaitwa Paul Hussein Mubarak search kwa kuandika"ushuhuda wa sheikh aliokoka YESU ndani ya Quran" ziko nne wamsikilize wajue nini kinaendelea katika mafundisho yao
Nonda, pata somo kutoka Dr. Paul Hussein Mubaraka, sasa ameokoka.

 
Last edited by a moderator:
Nonda, pata somo kutoka Dr. Paul Hussein Mubaraka, sasa ameokoka.



Kama umemsikiliza anataja ayat ya sura 3:45

Msikilize halafu isome ayat hapa Surat 'Ali `Imran [3:45] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

link http://quran.com/3/49
Anadanganya na anawadanganya. Hizo digree 4 na kuwa amepewa ukuu wa kazi ya uislamu na maraisi aliowataja hiyo ni tumbaku kali sana.
Hiko kitu hamna katika uislamu. Marais wa nchi mbali mbali wampe Dr Kamis kazi ya kusimamia uislamu. Duu jamaa hata kudanganya hajui. Alifikiri hiyo video itaishia kanisani.?
 
Last edited by a moderator:
Kama umemsikiliza anataja ayat ya sura 3:45

Msikilize halafu isome ayat hapa Surat 'Ali `Imran [3:45] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

link Surat 'Ali `Imran [3:49] - The Noble Qur'an - ?????? ??????
Anadanganya na anawadanganya. Hizo digree 4 na kuwa amepewa ukuu wa kazi ya uislamu na maraisi aliowataja hiyo ni tumbaku kali sana.
Hiko kitu hamna katika uislamu. Marais wa nchi mbali mbali wampe Dr Kamis kazi ya kusimamia uislamu. Duu jamaa hata kudanganya hajui. Alifikiri hiyo video itaishia kanisani.?

Kumbe Somo limekuingia kisawasawa
 
Kumbe Somo limekuingia kisawasawa
Mimi sio kama wewe unaekejeli huna muda wa kutizama au kusikiliza junk. Nimeiangalia na nimegundua anadaganya sana. Si ajabu wewe hata kumsikiliza hujamsikiliza na hizo ayat alizitaja mwanzoni nimeziweka hapo ili mtu apate kulinganisha asemayo Dr. Paulo (na amejua kujichagulia jina la kudanganyia kondoo) na hizo ayat alizozitaja.

Kwa atakaezipitia hizo ayat atajua kuwa Dr. Paulo amemshinda Paulo mwasisi wa ukristo kwa kukoleza tumbaku ya ngano zake.

Mpeni Challenge Dr. Paulo awaoneshe ayat aliyotumia kujigeuza paka au panya kwenye Quran.

Ni bora nijisomee hekaya za wagagaikoko kulikoni hekaya za Dr. Paulo.
 
Mimi sio kama wewe unaekejeli huna muda wa kutizama au kusikiliza junk. Nimeiangalia na nimegundua anadaganya sana. Si ajabu wewe hata kumsikiliza hujamsikiliza na hizo ayat alizitaja mwanzoni nimeziweka hapo ili mtu apate kulinganisha asemayo Dr. Paulo (na amejua kujichagulia jina la kudanganyia kondoo) na hizo ayat alizozitaja.

Kwa atakaezipitia hizo ayat atajua kuwa Dr. Paulo amemshinda Paulo mwasisi wa ukristo kwa kukoleza tumbaku ya ngano zake.

Mpeni Challenge Dr. Paulo awaoneshe ayat aliyotumia kujigeuza paka au panya kwenye Quran.

Ni bora nijisomee hekaya za wagagaikoko kulikoni hekaya za Dr. Paulo.

KITABU KILICHOJAA UTATA, KISICHO NA MWELEKEO NA MTIRIRIKO WA HOJA

Tunaponukuu aya yenye utata, chuki au ya kuanika uongo wa Waislamu kwenye Qur'an, Waislamu huja juu na kuipinga vikali huku wakisema kuwa aya hiyo haijakamilika hadi tusome aya inayoitangulia juu yake, au inayoifuatia chini yake.

Kwa maana hiyo basi, embu tuzitazame hizi aya zilizoandikwa kwa ‘mtiririko' wa namba 191, 192, 193, 194 na 195 tuone kama kweli zinajenga hoja ya mtiririko na utashangazwa sana vile Kuran inayodaiwa kuwa ni mwongozo mzuri wa Waislamu.

KUMBUKA: Maelezo yangu nimeyaweka kwenye mabano (&#8230😉

QUR'AN: Sura Al Baqara 2:191-195:
******************************************
191. Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.

(…kama fitina ni mbaya kuliko kuuwa ya nini basi muwauwe? Mara msiwapige kwenye Msikiti mtakatifu mara wapigeni, ipi ndio ipi? Anayelipiza ni Waislamu au ni Allah?)
192. Lakini wakiacha basi Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.
(…nani asamehewe hapa, makafiri au Waislamu maana wote wametenda dhambi kwa kupigana)
193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Mwenyezi Mungu tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu.
(…lakini si Mwenyezi Mungu amesema kwenye aya ya 192 kuwa ni mwenye kusamehe, vipi tena awaamuru mpigane nao (makafiri?))
194. Mwezi mtakatifu kwa mwezi mtakatifu. Na vitu vitakatifu vimeekewa kisasi. Anaye kushambulieni nanyi mshambulieni, kwa kadiri alivyo kushambulieni. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Na jueni kwamba Mwenyezi Mungu yu pamoja na wachamngu.
(…hivyo kushambulia anayekushambulia ndio kumcha mungu? SERIOUSLY????)

195. Na toeni katika njia ya Mwenyezi Mungu, wala msijitie kwa mikono yenu katika maangamizo. Na fanyeni wema. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao wema.

(…lakini Mwenyezi Mungu si amesema kwenye aya za 191, 193 na 194 kuwa mpigane nao na kuwauwa. Vipi tena anawaagiza msiwaangamize kwa mikono yenu?)

TATHMINI:
Qur'an ni kitabu kilichojaa utata, fitina, chuki na kibali cha kuuwa wasio Waislamu.

Aya zake hazina mtiririko. Kila aya inajisimamia kivyake na haihusiani na aya inayoitangulia au kuifuatia.

Kwenye aya moja, Allah anaamuru wafuasi wake kuwapiga wasio Waislamu huku nyingine kuwasamehe. Ifuatwe ipi?

Allah ni popo, kinyonga, ndumakuwili na jongoo-dhibitisho ni maandiko yake na tabia ya wafuasi wake.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom