The dirt paka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 371
- 66
"Bwana Mungu akasema, Si Vema Huyo Mtu Awe Peke Yake, Nitamfanyia Msaidizi Wakufanana nae, KATIKA BIBLIA MWANZO 2 :
21.Bwana akamletea Adam usingizi mzito nae akalala kisha akatwaa ubavu wake mmoja akafunika nyama mahali pake, 22.Na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke akamletea Adam....24. Kwahiyo mwanamume atamwacha baba na mama yake nae ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja.
BASI KUOA AU KUOLEWA NI MPANGO WA MUNGU.
Lakini sisi tunafanya nini tunapotafuta wenzi?
TUTATAZAMe VISA VYA WANAWAKE NA WNAUME WANAPOTAFUTA WENZI HUTAZAMA NINI KWAUFUPI.
Naanza na kisa cha wadada wengi.
Mwanamke anaetaka kuolewa husemasema anataka mwanaume mwenye mwili aliyejazia/baunsa.
SWALI JE HUWA ANATAFUTA
MUME AU SECURITY GUARD?. Itaendelea..........
21.Bwana akamletea Adam usingizi mzito nae akalala kisha akatwaa ubavu wake mmoja akafunika nyama mahali pake, 22.Na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke akamletea Adam....24. Kwahiyo mwanamume atamwacha baba na mama yake nae ataambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja.
BASI KUOA AU KUOLEWA NI MPANGO WA MUNGU.
Lakini sisi tunafanya nini tunapotafuta wenzi?
TUTATAZAMe VISA VYA WANAWAKE NA WNAUME WANAPOTAFUTA WENZI HUTAZAMA NINI KWAUFUPI.
Naanza na kisa cha wadada wengi.
Mwanamke anaetaka kuolewa husemasema anataka mwanaume mwenye mwili aliyejazia/baunsa.
SWALI JE HUWA ANATAFUTA
MUME AU SECURITY GUARD?. Itaendelea..........