The agha khan university salary

Mwana Mnyonge

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
518
448
wadau habar zenu naomba kujua hwa jamaa wanaitwa agha khan univesity mshiko wao umekaaje kwenye post ya assistant accountant,naombeni kujua wadau bt mnisaidie wadau msinshambulie sana aminia jf the great thinkers
 
Dah! Kuna binti mkenya alikuwa anafanya kazi pale nilishapoteza contacts zake too bad! pole
 
Kwa kusema ukweli nawashangaa watu wanaoulizia mshahara wa kazi flani au ofisi flani
Ningependa kuwashauri kwamba kama huna kazi au una kazi unataka kubadili kazi (ila nashauri usiache kazi kabla ya kupata kazi nyingine)na umeona
kuna kazi imetangazwa ambayo unavigezo, wewe omba na ukifanikiwa kuitwa kwenye usaili
nakushauri uende na ukibahatiaka kufaulu na kuajiriwa sasa hapo ndipo kabla ya kuanza kazi hiyoutapewa mkataba
ambao utaonyesha mishahara pamoja na marupurupu mengine kama yapo,
Sasa basi kama wewe unakazi yako nyingine utalinganisha maslai na kama yapo vizuri unaikubali mkataba au kama huna kazi na unaona mkataba huo haulipi unaamua kuendelea kukaa bila kazi ukiendelea kutafuta nyingine itakayokuridhisha.
Kwa uelewa wangu mishahara ya watumishi wa taasisi nyingi ni siri kati ya mtumishi husika na taasisi yenyewe, na
na kwa uzoefu wangu watu wengi hawapendi kuweka wazi mishahra wanayopokea.
Na hata seriklini waraka wa mishahara ya watumishi wake unamsisitozo kwamba waraka huu ni siri na hauruhusiwi kuchapishwa kwenye vyombo vya habari.
Na mwisho kama umeiona kazi ambayo unakidhi vigezo we iombe mambo ya kutaka kujua mshahara wakati hata hujui kama utaipata kazi hiyo
naona kama ni ulimbukeni, we omba tu mshahara utaujua kama ukifanikiwa kupata hiyo kazi.
Unaweza kuambiwa kazi flani mshahara wake ni kiasi flani we ukaidisi ukaona ni mdogo wakati kazi hiyo ina marupurupu mengine ambayo hayapo kwenye mshahara kwa mfano trips hata za nje ya nchi za kumwaga ambazo zinakuwa zinalipa kulipo mshahara wa mwisho wa mwezi.
Enbu acha ushamba wa kutaka kujua mshahara wa kazi ambayo hata unaweza usiipate haitakusaidia kitu!
 
duh!

assistant accountant, usihangaike mkuu endelea kutumwa hapo ulipo laa kama unataka kuruka moto na kukanyaga majivu haya!
 
Kwa kusema ukweli nawashangaa watu wanaoulizia mshahara wa kazi flani au ofisi flani
Ningependa kuwashauri kwamba kama huna kazi au una kazi unataka kubadili kazi (ila nashauri usiache kazi kabla ya kupata kazi nyingine)na umeona
kuna kazi imetangazwa ambayo unavigezo, wewe omba na ukifanikiwa kuitwa kwenye usaili
nakushauri uende na ukibahatiaka kufaulu na kuajiriwa sasa hapo ndipo kabla ya kuanza kazi hiyoutapewa mkataba
ambao utaonyesha mishahara pamoja na marupurupu mengine kama yapo,
Sasa basi kama wewe unakazi yako nyingine utalinganisha maslai na kama yapo vizuri unaikubali mkataba au kama huna kazi na unaona mkataba huo haulipi unaamua kuendelea kukaa bila kazi ukiendelea kutafuta nyingine itakayokuridhisha.
Kwa uelewa wangu mishahara ya watumishi wa taasisi nyingi ni siri kati ya mtumishi husika na taasisi yenyewe, na
na kwa uzoefu wangu watu wengi hawapendi kuweka wazi mishahra wanayopokea.
Na hata seriklini waraka wa mishahara ya watumishi wake unamsisitozo kwamba waraka huu ni siri na hauruhusiwi kuchapishwa kwenye vyombo vya habari.
Na mwisho kama umeiona kazi ambayo unakidhi vigezo we iombe mambo ya kutaka kujua mshahara wakati hata hujui


kama utaipata kazi hiyo
naona kama ni ulimbukeni, we omba tu mshahara utaujua kama ukifanikiwa kupata hiyo kazi.
Unaweza kuambiwa kazi flani mshahara wake ni kiasi flani we ukaidisi ukaona ni mdogo wakati kazi hiyo ina marupurupu mengine ambayo hayapo kwenye mshahara kwa mfano trips hata za nje ya nchi za kumwaga ambazo zinakuwa zinalipa kulipo mshahara wa mwisho wa mwezi.
Enbu acha ushamba wa kutaka kujua mshahara wa kazi ambayo hata unaweza usiipate haitakusaidia kitu!

mstari mmoja tu mshkaji ameuliza wewe umemjibu desa lote hili...?
jf bana
 
Unakuta shirika au kampuni limeingia ubia, mara nyingi hufanya redundancy na kuajiri watu wengine wenye viwango vya juu kielimu ili kuboresha tija ktk utendaji. Mara nyingi wanaajiri kwa mikataba yenye mishahara ya minono kuliko ya wale waliowakuta kazini na pengine wenye sifa kama hawa waliowaajiri matokeo yake wale wa zamani wanaona kama wanaonewa lakini hawana jinsi, hivi hii ni sahihi? watumie njia gani kujikwamua na uonevu huu? ni kweli mshahara wa mtu ni siri lakini siri ina mwisho na ndio maana polisi hukamata wahalifu ingawa huficha mambo yao. Kama hawawataki wafanyakazi waliowakuta basi wangewapa malipo yao ya redundancy halafu waajiri upya kwa mikataba yao. Nawasilisha...
 
Kwa kusema ukweli nawashangaa watu wanaoulizia mshahara wa kazi flani au ofisi flani
Ningependa kuwashauri kwamba kama huna kazi au una kazi unataka kubadili kazi (ila nashauri usiache kazi kabla ya kupata kazi nyingine)na umeona
kuna kazi imetangazwa ambayo unavigezo, wewe omba na ukifanikiwa kuitwa kwenye usaili
nakushauri uende na ukibahatiaka kufaulu na kuajiriwa sasa hapo ndipo kabla ya kuanza kazi hiyoutapewa mkataba
ambao utaonyesha mishahara pamoja na marupurupu mengine kama yapo,
Sasa basi kama wewe unakazi yako nyingine utalinganisha maslai na kama yapo vizuri unaikubali mkataba au kama huna kazi na unaona mkataba huo haulipi unaamua kuendelea kukaa bila kazi ukiendelea kutafuta nyingine itakayokuridhisha.
Kwa uelewa wangu mishahara ya watumishi wa taasisi nyingi ni siri kati ya mtumishi husika na taasisi yenyewe, na
na kwa uzoefu wangu watu wengi hawapendi kuweka wazi mishahra wanayopokea.
Na hata seriklini waraka wa mishahara ya watumishi wake unamsisitozo kwamba waraka huu ni siri na hauruhusiwi kuchapishwa kwenye vyombo vya habari.
Na mwisho kama umeiona kazi ambayo unakidhi vigezo we iombe mambo ya kutaka kujua mshahara wakati hata hujui kama utaipata kazi hiyo
naona kama ni ulimbukeni, we omba tu mshahara utaujua kama ukifanikiwa kupata hiyo kazi.
Unaweza kuambiwa kazi flani mshahara wake ni kiasi flani we ukaidisi ukaona ni mdogo wakati kazi hiyo ina marupurupu mengine ambayo hayapo kwenye mshahara kwa mfano trips hata za nje ya nchi za kumwaga ambazo zinakuwa zinalipa kulipo mshahara wa mwisho wa mwezi.
Enbu acha ushamba wa kutaka kujua mshahara wa kazi ambayo hata unaweza usiipate haitakusaidia kitu!


mzee nimekupata sana kwa maelezo yako but naomba nikuelekeze kitu kitu kimoja even if mshahara ni makubaliano by huwa kuna scale ya mshahara katika hizi taasisi ni mara chache sana ukaenda kupewa mshahara mkubwa katika the same position kucompare na wenzako uliwakuta kwenye the same position wanapata kiasi gan,kitu cha pili muda ni mara na haina haja ya kwenda kwenye interview wakati unajua kabisa mshahara wanaolipa ni mdogo kiasi kwamba hauwez kukubali ,nataka kujua salary yao coz sitaki kupoteza muda wa kusafir kwenda kwenye interview bila kuwa na details za kutosha,kitu kingine inasaidia kufanya maamuzi ya kuenda au kutokuenda ili wengine waweze kupata hiyo nafasi,unaonaje nikienda bila details then nikakuta mshahara n other allowance sio nzur wakti kuna mtu angeweza kwenda na kukubali huo mshahara kama mm nisingeenda?,acha kuwa mbinafsi kaka
 
Nimekupata ndg, basi acha huo ubinafsi wa kuombaomba kazi wakati unayo, waachie ambao hawana kazi,ambao ni wengi sana mtaani ambao wanashida sana na ajira. Kuna wengine tunawasoma huku jf wanatafuta hata kazi za kujitolea bila kulipwa mshahara ili watengeneze uzoefu na kuondokana na kukaa nyumbani. So nakushauri usiende kaka Subiri kazi zitakazotangazwa na OXFAM GB au TANAPA wao wanatangaza kazi na kuweka mshahara atakaokuwa analipwa mtu atakayefanikiwa kuipata kwenye tangazo lao la kazi.

mzee nimekupata sana kwa maelezo yako but naomba nikuelekeze kitu kitu kimoja even if mshahara ni makubaliano by huwa kuna scale ya mshahara katika hizi taasisi ni mara chache sana ukaenda kupewa mshahara mkubwa katika the same position kucompare na wenzako uliwakuta kwenye the same position wanapata kiasi gan,kitu cha pili muda ni mara na haina haja ya kwenda kwenye interview wakati unajua kabisa mshahara wanaolipa ni mdogo kiasi kwamba hauwez kukubali ,nataka kujua salary yao coz sitaki kupoteza muda wa kusafir kwenda kwenye interview bila kuwa na details za kutosha,kitu kingine inasaidia kufanya maamuzi ya kuenda au kutokuenda ili wengine waweze kupata hiyo nafasi,unaonaje nikienda bila details then nikakuta mshahara n other allowance sio nzur wakti kuna mtu angeweza kwenda na kukubali huo mshahara kama mm nisingeenda?,acha kuwa mbinafsi kaka
 
wadau habar zenu naomba kujua hwa jamaa wanaitwa agha khan univesity mshiko wao umekaaje kwenye post ya assistant accountant,naombeni kujua wadau bt mnisaidie wadau msinshambulie sana aminia jf the great thinkers

Agha Khan ya wapi TZ au.....kuwa specific tukusaidie mkuu.
 
Back
Top Bottom