That's tata Museven..!

That's tata Museven..!

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,888
Reaction score
831,209
IMG_20171206_032909_827.jpg
 
Ngoja kwanza, kwenye hiyo picha ndio wanagundua au?! Maana mpiga picha amepata na alama za mshangao wa brekingi nyuzi 😕
 
Huu utani tu kama mwingine wowote unaoendelea Uganda, sio vzr kuwaingiza viongoz wetu wa kiroho kwenye utani wetu wa mitandaoni...[HASHTAG]#Mu7MustGo[/HASHTAG].
 
Amesahau yule wa Zimbabwe kilichomkuta?
 
Sawa tu na huku kwetu wameongeza kustaafu miaka 60 watoto wetu wanakosa kazi yenyewe imeng'ang'ania kujisiliba masizi kichwani ili waonekane vijana hovyo sana hii ndio Africa yetu
 
I bet..Museven siku zake zinahesabika yaani b4 2020 waganda watampa habari yake
 
Ngoja na mimi nifuatilie umri wangu then nikaombe kujiunga jeshini lol
 
Back
Top Bottom