mkuu nadhani lg zote zinakuja na hii application toka kiwandani, sio simu zote zinakuja na hii appl, inabidi kutafuta za kudownload lakini ni za kulipia, labda tusubiri wataalamu watudadafulie zaidi, maana hata mimi nakumbuka sikumoja wakati naipekua pejua simu yangu ndio nikakutana na hii kitu kwenye security. Nikaweka tu bila kujua kama inaumuhimu kihivyo
Mkuu Simu za lg, samsung, vodafone nk zinakuja na hii appl inategemea simu gani unayo mkuu, simu kama nokia utaipata ovi store. symbian s60 kuna mdau hapo juu ka attach appl yenyewemkuu kuna tracker ya bure tuelekeze wanadownload kivipi na je za mchina nazo zinadownload na tukijaribu azina madhara zisije zima kabisa zikahisis tunaingiza virus
<br /><font color="#4b0082"><span style="font-family: century gothic">Mkuu inasaidia sana wakati mwingine.<br />
Lakini kinacho niudhi mimi ni kuwa hivi hawa service provider wetu Voda,Tigo, Airtel nk wanashindwaje kujiorganise na kublock simu zote zitakazo ibiwa kwa<b> imei no?<br />
<br />
</b>Kama handset yenyewe inaweza kuripoti kuwa inatumiwa na no gani je itakuwa kwa hawa provider? inatakiwa ukiibiwa simu unakwenda kuripoti kisha provider wote wanaiblock hiyo imei na simu ina kuwa useless labda akaiuze nje ya nchi hii ingepunguza wizi wa simu.<br />
<br />
Kingine ni mlolongo wa ugumu kutaka hata ku trace namba alizopiga au kujihamishia salio kabla hajatoa simcard yako, yaani yule mdada wa Voda alinipa mlolongo mgumu nikatamani kumnasa vibao, akaishia kunishauri eti bora ninunue nyingine.<br />
<br />
Mimi naona issue ni rahisi kama wakijipanga wenzetu mbele huwezi iba simu ya mtu ukathubutu kuitumia kwa kuweka simcard yako watakupata dakika sifuri, wana deal na watuwako wa karibu unaowasiliana nao mara kwa mara, na hapa swala la usajili ndio umuhimu wake unapokuja</span></font>
ht me nna kasumsung kangu ka bei rahic ambacho kina hii application, sema tuu naona nikiiset huwa inanisumbuaga coz kicm chenyewe nawekega line yeyote tuu so nikiset inakuwa usumbufu kila wkt sms inakuja as if nimejiibia mwenyewemkuu maelezo yako yanamake sense kwani unaset vipi mobile tracker maana mimi nimeibiwa simu yangu hivi karibuni lkn sikuweza kuipata
msaada tafadhali
wakuu sim zote za samsung zina izo program ni nzuri sana.
mkuu mimi nina sumsung lkn haina hii option nitapataje???
Wakuu mbona Samsung nyingi zina hii appl, hebu jaribuni kuchungulia kwenye security vinginevyo inabidi kudownload Getjar au ktk forums zingine, just google itMkuu mimi nimechungulia kwenye samsung yangu D780 mbona sijaipata naomba maelekezo kidogo.
Kesho yake majira ya saa 2 usiku ikaingia sms kwa no yangu nyingine na kwa waifu, ina inasema simu ime no xxxxxx inatumiwa na simu no xxxxx, nikashtuka kuja kukumbuka kumbe niliset mobile tracker siku nyingi nilipo inunua kiasi kwamba nilisahau kabisa hiyo maneno.
Mkuu nimeji quote hapo juu, nili maanisha wakati unaset hiyo mobile tracker unatakiwa kuingiza no mbili tofauti na ile iliyomo ktk simu, nilichofanya ni kuingiza no yangu ya tigo na no ya wife, hizo ndizo zilikuwa zinapoke smsSasa mkuu utapokeaje sms wakati simu ndo hiyo imeibiwa? Naomba unielekeze kidogo
<br />Mkuu Paulss Asante sana kwa sredi yako. Kweli hapa tunajifunza vitu vingi sana ambavyo tulikua hatuvijui kabla. Sasa hivi na mimi naweka kwenye Nokia zangu E61i na E 7 . <br />
Thank you!
<br />nilisha ona jamaa wanauza hiyo software ya kulinda simu, nikapuuza.<br />
Nikiona tena na mimi ntainunua ili kuilinda Siemen yangu C25 Twanga Pepeta