Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
- Thread starter
- #61
Kweli kabisa mke wa mtu sumu, sasa swt mara mbili zote hizo jamani?? ilikuwaje? ni wewe mgomvi au hao wakezo?We Gaga usinifundishe tabia mbaya mke wa mtu hapana tupendane kwenye keyboard sweety lol! Nawavulia kofia we na mumeo mi nimejaribu mara mbili na kuachana na wote niko sokoni lol!