Thanks God..Thanks to all JF friends !!

Hongera na tunaomba baraka tele kwako na familia yako..kumbuka.. Familia yako na upendo wako ni kama bustani ya maua yachanuayo na kupendezesha macho..nyuma yake ni kazi nzito ya kufanya bustani iendelee kuchanua maua.. Basi ongeza Muda, Juhudi, Busara na Mauhusiano bora ili Maua yaeendee kuchanua daima!

Happy 4[SUP]th[/SUP] year anniversary!

ooh my god Thanks nimepata kitu hapa
Tulizo asante sana
 
Hongera sana my dear FL1

Kumbe bado mchanga sana kwen ndoa eeh.....LOL

Keep on walking the good, blessed life....

Baadaye basi tutete kidogo....

Asante sana Kaizer nakumiss ndugu
Endelea kuniombea katika hili..kama maandiko yanavyosema
After 2 hrs frm now ...will keep in T
 
1508994ibjxq254eq.gif


....1stLady, Happy 4th Anniversary..! AM HAPPY FOR YOU!!!
...Mw'Mungu awazidishie uwezo, furaha, amani, upendo, afya, na matumaini!
 
1.HONGERA SANA SANA,UBARIKIWE.
2.SI WOTE WALIOPO KWENYE NDOA HUIKUMBUKA SIKU KAMA HIIII !!!!!!!!!! KWANINI??? KWA SABABU NI SIKU ILIYOWAINGIZA KWENYE MATATIZO MAKUBWA..........UNA BAHATI WEWE KWAKO NI SIKU ILIKUINGIZA KATIKA NEEMA NDIO MAANA UNAIKUMBUKA...HONGERA .
3.KUNA NDOA HATA MWAKA HAZIFIKI,.........NA ZILE ZINAZOFIKIA MWAKA NI DALILI NJEMA KUWA ZITAENDELEA......MILELE
4.UMESEMA VEMA KUWA MUNGU ALIKUWA PAMOJA NA WEWE,NI KWELI, SASA MRUDISHIE MUNGU UTUKUFU...UKIENDA KWENYE NYUMBA YA IBADA USISAHAU KUTOA SHUKRANI. HATAKUACHA KUWA PAMOJA NAWE MWAKA WOTE UNAOFUATA.
5.UKIPITA MWAKA BAADA YA KUFUNGA NDOA UNAANZA KUONA TRUE COLOURS ZA MWENZAKO,UNAANZA KUSHANGAA KUWA HEEE HUYU YUKO HIVI???? MIJADALA MINGI HUWA KWANINI HUKUNIAMBIA????........Ha ha ha ha,najua umeona na kupata rangi ulizozitegemea na kuzipenda kwa mwenzio UMEMPATA MUME MWEMA VINGINEVYO USINGEKUMBUKA LEO,KUNA ANAEPENDA KUKUMBUKA MAUMIVU????? .HONGERA KWA KUFANYA UCHAGUZI SAHIHI.
6. NYIE WENGINE WANA JF VIPI??????? AU WOOOOOOOTE MPO SINGLE??????.(SWALI HALIHITAJI JIBU.....JIJIBU MWENYEWE)
NAKUTAKIA MAISHA MEMA YA AMANI NA RAHA.
 
1508994ibjxq254eq.gif
....1stLady, Happy 4th Anniversary..! AM HAPPY FOR YOU!!!...Mw'Mungu awazidishie uwezo, furaha, amani, upendo, afya, na matumaini!
HAPPY 4th ANNIVERSARY, 4 years ktk ndoa si mchezo. Hongera sana First Lady!
 
1.HONGERA SANA SANA,UBARIKIWE.
2.SI WOTE WALIOPO KWENYE NDOA HUIKUMBUKA SIKU KAMA HIIII !!!!!!!!!! KWANINI??? KWA SABABU NI SIKU ILIYOWAINGIZA KWENYE MATATIZO MAKUBWA..........UNA BAHATI WEWE KWAKO NI SIKU ILIKUINGIZA KATIKA NEEMA NDIO MAANA UNAIKUMBUKA...HONGERA .
3.KUNA NDOA HATA MWAKA HAZIFIKI,.........NA ZILE ZINAZOFIKIA MWAKA NI DALILI NJEMA KUWA ZITAENDELEA......MILELE
4.UMESEMA VEMA KUWA MUNGU ALIKUWA PAMOJA NA WEWE,NI KWELI, SASA MRUDISHIE MUNGU UTUKUFU...UKIENDA KWENYE NYUMBA YA IBADA USISAHAU KUTOA SHUKRANI. HATAKUACHA KUWA PAMOJA NAWE MWAKA WOTE UNAOFUATA.
5.UKIPITA MWAKA BAADA YA KUFUNGA NDOA UNAANZA KUONA TRUE COLOURS ZA MWENZAKO,UNAANZA KUSHANGAA KUWA HEEE HUYU YUKO HIVI???? MIJADALA MINGI HUWA KWANINI HUKUNIAMBIA????........Ha ha ha ha,najua umeona na kupata rangi ulizozitegemea na kuzipenda kwa mwenzio UMEMPATA MUME MWEMA VINGINEVYO USINGEKUMBUKA LEO,KUNA ANAEPENDA KUKUMBUKA MAUMIVU????? .HONGERA KWA KUFANYA UCHAGUZI SAHIHI.
6. NYIE WENGINE WANA JF VIPI??????? AU WOOOOOOOTE MPO SINGLE??????.(SWALI HALIHITAJI JIBU.....JIJIBU MWENYEWE)
NAKUTAKIA MAISHA MEMA YA AMANI NA RAHA.


mmmh Tall ngoja kwanza maneno yako bado narudia na kurudia kuyasoma ..
 
HAPPY 4th ANNIVERSARY, 4 years ktk ndoa si mchezo. Hongera sana First Lady!

umeona eeh wakati wazazi wangu wanacount 31 years mie ndo kwaanza naanza kuhesabu 4 mungu tusaidie ...nifate mfano wa wazazi wangu
 
Hongereni Mungu awajalie baraka na maisha marefu ya fanaka na furaha. Mr Kabuche 1977 nakupongeza kwa kumtake care FL vizuri endelea kuwa mwaminifu katika ndoa yako. Nawatakia mafanikio ya mapacha 3 mwakani Febr.
 
Hongereni Mungu awajalie baraka na maisha marefu ya fanaka na furaha. Mr Kabuche 1977 nakupongeza kwa kumtake care FL vizuri endelea kuwa mwaminifu katika ndoa yako. Nawatakia mafanikio ya mapacha 3 mwakani Febr.

ha ha ha Nguli Mapacha watatu utakuja kunisaidia kulea ,,wajua kabisa tatizo la mabeki tatu ni kilio kwa jamii nzima

Nashukuru sana kwa wishes zako na iwe kama unavyoniombea ..

thanx
 
Sina budi kumshukuru mwenyezi mungu kwa kuniwezesha kufika hapa nilipo .
Leo ni anniversary yangu ya ndoa 4 years ...nina furaha sana juu ya jambo hili jema kwangu
Pia kukaa na mwenza mbali ni ngumu kwa maisha ya kawaida ..
ukweli ni kwamba kwa uwezo wangu pekee nisingeweza lakini mwenyezi ...
Mungu wa haki na rehema ananipigania na kuniwezesha
Kuna wakati kunakuwa na mawimbi na dhoruba kama upepo wa bahari
lakini inafika kipindi hali inakuwa shwari na tulivu maisha yanaendelea...
Namshukuru mungu anaendelea kuipigania na kuiongoza family yangu..
Thanks my beloved husb and my lovely Doughter M...
Nawashukuru sana wanaJF kuwa pamoja nami kwani tumekuwa kama family ambayo..
baadhi yenu huwa mnanihoji maswali wewe mama Rais unatafuta nn JF usiku wote huu prezidaa yuko wapi?
Ukweli ni kuwa anakuwa katika safari zake za kutafuta mkate wa kila siku....
Nikiwa mpweke sana naingia JF kubadilishana mawazo nanyi ndugu na marafiki zangu....nafarijika
nazipenda nasaha zenu wote zipo nazojifunza ,naburudika hata nacheka na kuongeza siku za kuishi.
Pia wapenzi mabinti na kina kaka ambao hamjaoa na kuolewa ..msikate tamaa wala msiwe na haraka ya jambo hili
Mungu mwenyewe aliahidi katika maandiko matakatifu ...atatupatia msaidizi wa kufanana nae ..na anajua kabisa mahitaji yetu ya kimwili na kiroho
Msife katika imani kwani mungu hachelewi wala hawahi..yeye hutoa kwa wakati wake tusipozimia mioyo yetu...
Tuendelee kuombeana ktk safari ya maisha ...msisahau kufanya cheers kwa ajili yangu:happy:

URL]



Maneno yako FL1 ni so motivating and inspiring... kua yote yawezekana
Na maisha kufurahia one is responsible for ones self...

BRAVO!!!
 
omba sana Mungu akusaidie maana safari bado ni ndefu sana ......binadamu tunabadilika sana.......
 
omba sana Mungu akusaidie maana safari bado ni ndefu sana ......binadamu tunabadilika sana.......

Ni kweli Edson kwa sasa nafurahi kipindi chote nilicho nacho lakini pia kwa msaada wa mungu ananiwezesha peke yangu siwezi ..hasa hapo uliposema binadamu tunabadilika..Naendelea kudumu katika maombi ya kuiombea family yangu.
 
Hongera sana, mungu akutie nguvu na azidi kuimarisha familia yako!
 
hongera sana aisee............... ngoja niishie hapa naona leo invisibo yuko zamu,............... ban njenje!!............. god bless ya all..............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom