Thank god!!

Soma kwa bidii ili uweze kurejesha huo mkopo!
 
Huyo kijana anafikiri kila kitu kianandikwa jamvini hata kama ni utumbo wa kuku.
 
Leo ndo nmeamini watanzania wajinga kweli narudia tena ''wajinga kweli'' hawajui kujudge wanaropoka 2 ndo maana mnaibiwa bila kujijua very poor and low IQ punguzeni kuropoka hivi mnafikiria kabla ya kusema????
 
Leo ndo nmeamini watanzania wajinga kweli narudia tena ''wajinga kweli'' hawajui kujudge wanaropoka 2 ndo maana mnaibiwa bila kujijua very poor and low IQ punguzeni kuropoka hivi mnafikiria kabla ya kusema????
 
Hebu pisha! pisha hapo... PTUUUUU--
Nimetema makohozi. Halafu naomba MODS waweke 'STUDENTS' CORNER' KWANI NAONA KUNA UVAMIZI HUMU. SIRIAZI ATI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…