Kuna quality za rais wa nchi na kuna quality za usanii!
Kuna busara ya kuwa kiongozi wa nchi na kuna busara ya kuwa kiongozi wa vikao vya harusi!
Bahati mbaya kuna namna ya kulazimisha mtu fulani a-fit sehemu fulani, bahati nzuri kuwa kila anapoweza kufit mtu ndipo anapowekwa kidemokrasia kutokana na akili za waliomweka hapo!
Kwa bahati mbaya mimi sina cha kufuata mkondo, sijawa mbwa mimi wala sina anayenipigia mluzi, ni huru kutoa mawazo pasi kujua au kujali mwingine ataumia vipii
Swala la Arusha, swala la lile sakata la umeya na madiwani, si swala la kuchekewa, damu imemwagika kule!
Ni ufisadi sana kufikiri kuwa yale tunayoyawaza sisi tu ndiyo yako sahihi.
Si busara Slaa kuingilia maamuzi ya madiwani ambao kimamlaka ni wawakilishi wa chama kule kwenye maeneo yao. sidhani kama rais anaweza kuingilia maamuzi ya mkuu wa wilaya kama yale maamuzi yalilenga katika kuleta amani na kusaidia wananchi wa eneo husika
Hii si aibu ya chadema tu, ni aibu ya uongozi wa juu, kutowatumaini wala kuwaamini hawa madiwani, ambao kwayo wanaleta na kusambaza sera za chadema; kibaya risk kubwa iko kuwa madiwani wengi zaidi watatumika kuiweka CCM madarakani kwani ni DHALILISHO LA MADIWANI WOTE....they are kids they can not think what a joke!!si busara hata kidogo na ni ufisadi wa kurubuni watu kuwa chadema ilikuwa haijui kinachoendela huko Arusha,
kila kitu kilikuwa wazi vyombo vilitangaza, na LEO ghafla akina slaa wanashtuka kama vile wamefumaniwa na wake za watu kuwa madiwani hawakuwa sahihi!
Miafaka ipo, haikwepeki inaishi, inakua inatafutwa, ili amani iwepo! HIVI ingekuwaje kama chadema wangekuwa chama tawala kwenye issue hii ya Arusha??Slaa umeishaharibu vitu vingi, ila wale vipofu wako wanaojaribu kwa upofu wao hata kukuona uko sawa na Nyerere! (God Forbid!) ili swal la Arusha limekaa kimaslahi zaidi na siyo ki-nchi zaidi! Nilijua ukimya huu umejengeka kibusara kumbe una kula tuition ya kuwa puppet!watu wako mahali fulani ambao wakilala na kuamka wanaota chadema ishike dola, wako watu mahali fulani wanaona credibility ya wabunge wa chadema, wako wanaoona kwa pandembili......Hivi SLAA ANGEKUWA RAIS ingekuwaje?
Slaa angezuia magazeti yasimchore katuni , SLAA ASINGEKUBALI KUTOKA MADARAKANI KWA NGUVU YA DEMOKRASIA.....Thanks God you are not president!
Swala la Arusha kwa namna nyingine limewaharibia tena.....Lema tunamjua, is just another gang in the house, nguvu za maneno na mob saikoloji havitamfikisha popote......certainly we need change but not changes that alerts us differently!!
MBIO ZA CHADEMA HII zinapeleka kuwa si chama cha demokrasia bali cha kibabe, jeuri, chama ambacho kingekuwa na dola wangekuwa madikteta.
Mbowe hana tatizo, yeye ili mradi biashara zake ziende salama in the name of politics!! bila kujua anamwingiza Slaa chooni, slaa bila kujali hatima yake na mtoto wake mchanga analipuka tu!!! TUTAFANYA UCHAGUZI UPYA WA MADIWANI....TUTAUNDA TUME YA MARANDO ......CCM style....shame on you!!!!!
Umeshagundua kuwa uko uchi na sasa unaweweseka.Haondoki mtu hapa,utapewa ukweli.If too hot you know what to do.Mkuu inaonekana unapenda sana uchafu weye! ulishasema post yako ya kwanza na kuutangazia umma wa JF kuwa nilichoandika ni pumba, naona sasa inapitia pumba moja moja!! LOL!
Unapenda uchafu sana mkuu, umezoea sana kukaa kwenye pumba, angalia mwenzio Mag3 alivyo msafi! amesema hawezi kukaa kwenye hii thread, ameandika ameondoka , japo amegusa kidogo!
Kwanini unazipenda pumba mkuu?
Shida ya kutumwa ni utumwa,huwezi kuwa na mawazo huru kwasababu unazungumza vya kutumwa.Anamezeshwa vizima vizima na yeye anavibugia na kuja kuvitapikia humu.Kaazi kweli kweli.Hata mtoto wangu wa miaka miwili hawezi kuandika haya uliyoandika.
Kwnini unajidalilisha kiasi hiki.
Situmii id ya uongo,na wewe una busara kusema mambo ya mtoto mchanga kwenye hoja yako hapo juu?How is it relevant to the matter?Kama matusi wewe ushayaanza,umesha sema kuhusu mama za watu kuwa wako uchi....U took it literarily "Uchi" tumia akili kidogo utajuwa nilimmanisha "Uchi wa kimawazo"Sasa wewe ndo ziro haswa.Shwain.See how pro-chadema are throwing stones, mna umoja sana nyie! hongereni sana!
I am happy kuwa kumbe kuna natinalists wa matusi!
kama wote mna akili moja, mawazo tofauti yanatokea wapi?? aibu hii jamani acheni kujichoresha, mkijibiwa matusi mtakaa kweli?
angalieni Mushi, kaanza vibaya kuita post yangu pumba, nimemshtua kidogo tu! ni mkongwe hapa lakini busara ziro!
anaweka ligi, kama vile humu mna vikombe, watu wenyewe wanatumia ID za uwongo!!! what a joke!
unajua ni wakati gani mama yako huwa anakuwa uchi?
Akifafanua upungufu huo, Dk. Slaa alisema kwanza maridhiano hayo hayakufikiwa na idadi ya wajumbe (madiwani) ambao wanaweza kufanya maamuzi, kwamba maridhiano hayo yalifanywa na wajumbe tisa kati ya 21 ya madiwani wote wa halmashauri hiyo.
Aliutaja upungufu mwingine kuwa mkurugenzi wa halmashauri ya jiji hilo alikubali kufanya muafaka bila ya kupata barua ya CHADEMA ya kukubali maridhiano ambayo ina majina ya walioteuliwa na chama hicho kupewa madaraka.
Aliongeza kuwa madiwani wa CHADEMA, watatu walioshiriki kwenye maamuzi husika walifanya hivyo bila kuwashirikisha viongozi wao wa wilaya, mkoa na makao makuu kwa ajili ya kupata baraka zao za kupendekeza majina ya watakaochaguliwa kuwa viongozi.
Alisema upungufu mwingine ni kuwapo kwa mianya ya rushwa ya kuwashawishi madiwani husika kushiriki kwenye maridhiano hayo pasipo kufuata taratibu zinazotakiwa.
Dk. Slaa alisema kutokana na matatizo hayo, CHADEMA haiyatambui maridhiano hayo na kudai kuwa yamefanywa kwa kupindisha kanuni na taratibu za kuwapata viongozi hao.
Hoja kuu ya huyu mtu si issue ya tume. Ni kwamba he is happy kuwa Slaa did not become a president na kwamba he never will be. Ameshindwa kujificha... Alitaka ajifiche nyume ya hayo mambo ya tume.anachosema huyo jamaa ni hicho ambacho na mimi kimenichanganya. naona kama Dr ameshaweka conclusion sasa anaweka tume ya nini? maana tunarudia madudu ya CCM yaleyale kitu kidogo tu ambacho kinajulikana inawekwa tume. hivi hiyo tume ikisema walifuata taratibu vizuri kuna mtu hapa JF ataipokea vizuri hiyo taarifa? THINK!
na hiyo kujitapa kuwa tutawafukuza na tutarudia uchaguzi sikuipenda nafikiri CDM muangalie namna nyingine za mazungumzo siyo kila wakati kutishiana kufukuzana, unless kama walikula mrungula
Mkuu nakuunga mkono kwa mengi uliyoyasema. Hata mimi nilishangazwa sana na kauli hii ya Slaa na Lema. Ni ulimbukeni wakati mwingine ninafikiri. Na ninafikiri kunahitajika retreat; ni lazima Slaa na uongozi wa chadema wakubali kwamba wamekurupuka na wafute kauli zao dhidi ya wale madiwani.Kuna quality za rais wa nchi na kuna quality za usanii!
Kuna busara ya kuwa kiongozi wa nchi na kuna busara ya kuwa kiongozi wa vikao vya harusi!
Bahati mbaya kuna namna ya kulazimisha mtu fulani a-fit sehemu fulani, bahati nzuri kuwa kila anapoweza kufit mtu ndipo anapowekwa kidemokrasia kutokana na akili za waliomweka hapo!
Kwa bahati mbaya mimi sina cha kufuata mkondo, sijawa mbwa mimi wala sina anayenipigia mluzi, ni huru kutoa mawazo pasi kujua au kujali mwingine ataumia vipii
Swala la Arusha, swala la lile sakata la umeya na madiwani, si swala la kuchekewa, damu imemwagika kule!
Ni ufisadi sana kufikiri kuwa yale tunayoyawaza sisi tu ndiyo yako sahihi.
Si busara Slaa kuingilia maamuzi ya madiwani ambao kimamlaka ni wawakilishi wa chama kule kwenye maeneo yao. sidhani kama rais anaweza kuingilia maamuzi ya mkuu wa wilaya kama yale maamuzi yalilenga katika kuleta amani na kusaidia wananchi wa eneo husika
Hii si aibu ya chadema tu, ni aibu ya uongozi wa juu, kutowatumaini wala kuwaamini hawa madiwani, ambao kwayo wanaleta na kusambaza sera za chadema; kibaya risk kubwa iko kuwa madiwani wengi zaidi watatumika kuiweka CCM madarakani kwani ni DHALILISHO LA MADIWANI WOTE....they are kids they can not think what a joke!!si busara hata kidogo na ni ufisadi wa kurubuni watu kuwa chadema ilikuwa haijui kinachoendela huko Arusha,
kila kitu kilikuwa wazi vyombo vilitangaza, na LEO ghafla akina slaa wanashtuka kama vile wamefumaniwa na wake za watu kuwa madiwani hawakuwa sahihi!
Miafaka ipo, haikwepeki inaishi, inakua inatafutwa, ili amani iwepo! HIVI ingekuwaje kama chadema wangekuwa chama tawala kwenye issue hii ya Arusha??Slaa umeishaharibu vitu vingi, ila wale vipofu wako wanaojaribu kwa upofu wao hata kukuona uko sawa na Nyerere! (God Forbid!) ili swal la Arusha limekaa kimaslahi zaidi na siyo ki-nchi zaidi! Nilijua ukimya huu umejengeka kibusara kumbe una kula tuition ya kuwa puppet!watu wako mahali fulani ambao wakilala na kuamka wanaota chadema ishike dola, wako watu mahali fulani wanaona credibility ya wabunge wa chadema, wako wanaoona kwa pandembili......Hivi SLAA ANGEKUWA RAIS ingekuwaje?
Slaa angezuia magazeti yasimchore katuni , SLAA ASINGEKUBALI KUTOKA MADARAKANI KWA NGUVU YA DEMOKRASIA.....Thanks God you are not president!
Swala la Arusha kwa namna nyingine limewaharibia tena.....Lema tunamjua, is just another gang in the house, nguvu za maneno na mob saikoloji havitamfikisha popote......certainly we need change but not changes that alerts us differently!!
MBIO ZA CHADEMA HII zinapeleka kuwa si chama cha demokrasia bali cha kibabe, jeuri, chama ambacho kingekuwa na dola wangekuwa madikteta.
Mbowe hana tatizo, yeye ili mradi biashara zake ziende salama in the name of politics!! bila kujua anamwingiza Slaa chooni, slaa bila kujali hatima yake na mtoto wake mchanga analipuka tu!!! TUTAFANYA UCHAGUZI UPYA WA MADIWANI....TUTAUNDA TUME YA MARANDO
Shida si hoja,kwani ni ngapi mmeanzisha threads za aina hii na mimi huwa najipitia zangu tu.Nimeipitia kwa makini sana hii thread nimekuta Eng.Burton, kaelezea vitu vya ukweli mtupu, tatizo Pro-CDM-JF, wengi wao huwa wapo kama makinda ya bata yanamfata mama yao popote anapokwenda ata kama anavuka barabara, akili zao zimefunikwa na blankent jeusi na hawataki kulifunua ili wawe Breadth, wamekwenda mbali zaidi wanamuona a loser Dr Slaa kama Prophet, wao ni marufuku kumkosoa.
Thank God a loser Slaa is not President! And that will never be
Naona umekurupuka kutoka kwenye mbege, hizo data zako umezipata wapi! Lete Source JF, sio sehemu ya porojoDR SLAA kuwa mgombea wa urais alipendekezwa na CHADEMA kisha akathibitishwa na tume ya uchaguzi iliyo undwa na RAIS JK, kuwa DR anasifa zote muhimu kuwa RAIS wa nchi hii akapigiwa kura na WTZ 64% ya walio piga kura ( not you) Hadi hapa unasemaje ? Hata hivyo mbona unachoandika hakina correlation alipata taabu mwl. wako