Thamani ya Yamoto band

Thamani ya Yamoto band

Ya fella mwachie fella tatizo mnafananisha industry ya bongo na YA marekani infact bongo hakuna music industry bali manager anasimama kama label (lebo) so huwezi jua nyuma ya pazia anatumia kiasi gani mpk wale madogo watusue hivi ujajiuliza j-nature yuko wapi tambua said fela ana cha kuwaibia wale madogo maana walikwenda kwake mikono mitupu (from rags) leo hii mpk unawajua yamoto band ni sababu ya mkubwa na wanawe na huwezi jua alipowatoa wale madogo na wamewekeana makubaliano gani ndio maana unaambia fela hawezi kuwaibia wale madogo maana walienda kwake mikono mitupu anachofanya ni mgawanyo wa mapato maana yamoto band sio wale madogo tu kuna watu nyuma yake ebu jiulize ww unacho hata hicho kigari kama unacho mshukuru mungu halafu angalia watu wa kawaida kama aslay maisha yao kitaa... Watu kama nyinyi ndio mnaowajaza upepo watoto kama wale., muulize dogo janja anajua nini wanchofanya watu kama fela nyumba ya chege na temba unaweza kuidharau kumbe hata kibanda huna
 
Hivi ni kweli unajua makubaliano ya hawa vijana na Said Fella? Unafikiri hawalipi? Kwanini usifikiri hata swala la kujenga nyumba nalo lilikuwa wazo lao pia?
Hivi kama kweli unasema hakuna kibaya anacho fanya Fella kwanini unaonesha wasi wasi? Ulitaka awape Tsh ngapi ndio uone ame wathamini? Usinge taka kujua kiasi alicho wapa?

Kwanini tuamini kila mtu ni mwizi ikiwa hatuwezi kuthibitisha ni mwizi?
Kuna kuwa na maneno mengi kwakuwa mnafikiri ni wao pekee ndio wana stahili kupata pongezi lakini mnasahau kuna studio,wapiga vyombo na wanao tunga nyimbo nao wanatakiwa kulipwa!

Hakuna atakalo fanya Fella mshindwe kuongea

Mpaka sasa Asley ameshajenga nyumba kwa pesa anazolipwa nyumba ambayo wazazi wake wanaishi
Nyumba wanazojengewa yamoto ni wazo lao wenyewe kutaka wajengewe nyumba eneo moja
 
Ni heri yao hata wakifulia wana uhakika wa pakulala, big up fella
 
Hiyo nyumba ya Temba mbona nzuri jamani, au kwavile sijakulia ushuani?
 
Naona sasa mnataka kuwagombanisha yamoto band na mkubwa fella
 
Watu wanasahau kama mziki ni biashara kama biashara nyingine na pia wapo wengi tunaowajua wanavipaji ila walipotea kwa kukosa management nzuri. Anachofanya fela hata kama sio kikubwa ila kinafaa kwa hao vijana
 
Pia usisahau kuna wasanii walishapotea na majina yao na nyimbo zao hata kibanda cha vyumba viwili hawana nadhani ndio maana labda fela anaamua kuwajengea nyumba kama zawadi na mishahara yao ipo palepale
 
Pia usisahau kuna wasanii walishapotea na majina yao na nyimbo zao hata kibanda cha vyumba viwili hawana nadhani ndio maana labda fela anaamua kuwajengea nyumba kama zawadi na mishahara yao ipo palepale

Watwambie yuko wapi Mr nice?
 
Hakuna kibaya alichofanya na Ndio maana nasema kama umesoma between lines thread Yangu ungeelewa sababu nimempa credit Kwa anayofanya. Lakini hilo halitoshi sababu vijana wana stahili Zaidi ya anachowapa

Kwanini awajengee nyumba? Kwanini asiwape chao wakajenga wenyewe? Na kama anawapa mgao stahiki iweje vijana wakose Gari Mpaka wasubiri Fela ampe Zawadi tena Kwa mbwembwe kwenye media?

We jamaa inaonyesha ni mgumu kuelewa or unataka tukubali hoja yako! Hivi unajua hao vijana walikotoka mpaka hii leo ww unatakaka kujua thaman yao??? unajua investment aliyoweka Mkubwa Fela kwa hao vijana mpaka leo hii we unawaona??? by the way hiyo gari ni zawadi tu ya birthday si malipo ya kazi wanayofanya...angeweza kutoa hata TV hata kama Aslay anayo...hata hivyo umefuatilia kujua kama Aslay hana gari??:sad::confused2:
 
Mwanzoni walikuwa wanaitwa 'Mkubwa na wanawe'.

Baada ya smash hit single 'ya moto' ndo wakaanza kujulikana kama Ya moto band.

Ule wimbo wa 'Ya moto' ni mzuri sana.

Mwaka jana haukushinda tuzo yoyote ile.

Mwaka huu je?

Mbuzi, mambo?
 
Back
Top Bottom