Waache wajazane ujingavwalisema ngassa miloin mia tatu na hamcn kiko wp?????? leo msuva ni kweli yuko kwenye kiwango lkn c cha bei hiyo.
Uwezo wake kufunga mwisho kwenye ligi tena mechi na marefa wa kununuliwa na manji. Amefunga sana timu ya ya diamond platinum.
Mbona kwa Etoile juzikati hakuonekana, hawezi kufikia rekodi ya tommentor Okwi aliyewaduwaza Etoile du sahel tena kwao.
Hahahahaaa hii kitu itawaua mikia kwa presha kiukweli.Na kwa kuwafanyia ubaya game yetu na Azam tuwaachie watufunge ili kuwanyima nafasi kabisa.
Hamna uwezo wa kuifunga Azam kwenye ligi, mngekuwa na tambo hizo kama kwenye first leg mngewashinda. Sasa mnataka kutuaminisha kwamba mkifungwa tujue mmeachia makusudi. Nyinyi mechi zenu za kununua makipa (mbeya city) marefa (mf. Stand U) na mabeki (Coastal U) ila kwa Azam na Simba hamuwezi ndiyo maana hamfurukuti.
Uwezo wake kufunga mwisho kwenye ligi tena mechi na marefa wa kununuliwa na manji. Amefunga sana timu ya ya diamond platinum.
Mbona kwa Etoile juzikati hakuonekana, hawezi kufikia rekodi ya tommentor Okwi aliyewaduwaza Etoile du sahel tena kwao.
Halafu ID yako inanikumbusha ninapopapenda.
Toka Okwi awatie katika zile 5 bila kila mkimuona Mnyama mnalegeza macho na kuingiza kidole mdomoni. Mkiulizwa vipi inakuaje mnajibu poa tu, sisi tunapachika kitu katikati. Hahahaaaaaaaaa
Nimeoa mwanamke mbabe anapiga majirani hata kwa kukodisha majeshi lazima atawapiga tu.
msuva hata hapa majimaji hapati namba.
wasimjaze ujinga.
miaka mitatu Mbele atakuwa hapa hapa Tanganyika
msuva hata hapa majimaji hapati namba.
wasimjaze ujinga.
miaka mitatu Mbele atakuwa hapa hapa Tanganyika
Hivi kwa nini Msuva na kukurukakara zote, hajawahi kuifunga simba na kiwango chake yanga ikicheza na simba huwa cha chini sana????? hata assist nusu hajawahi.
Hahahaha! Yanga Fc haijiandai kwa ajili ya timu moja....!
Tunajiandaa kwa ajili ya Msimu mzima, ndio maana hatujali matokeo mabaya ya aina yeyote. Lengo ni kubeba NDOO tu.....!
Katufunga mtibwa sembuse wewe wa MCHANGANI...!
Ebu jiandaeni kuchangia Klabu yenu kupitia M-pesa (0736-452-959)ili zifike million 700/= za kununua Msuva......!
waposema mchezaji wa huyu wa kimataifa ni lazima aichezee timu yake ya taifa?
valuation nyingine bhana! ivi ubingwa wa ligi kuu ya tz una thamani gani vile?
Mpaka tutakaporudi kuiwakilisha nchi kama inavyotakiwa, Nyie endeleeni kujipapatua na kushiriki kuona maeneo ya utalii Afrika. Hata tusiposhiriki kwa muda wa miaka 100, kiwango chenu hakiwezi KAMWE fikia wapi tulifika sisi, naongelea CAF na Champions league. Endeleeni kutalii.
Kumbe kelele zote hizo unapenda kumuona Msuva katika uzi wa Stars....?
Basi ngoja utamuona... tu!
Kunatofauti gani kati ya mchezaji anaye wakilisha Taifa lake akiwa na national team na yule wa Club.....!
Wote wanaiwakilisha nchi...!
Kama kuiwakilisha nchi ndio kujua basi hilo Galasa yaani Sserenkuma angekuwa na hata magoli matano mpaka sasa.
grafani yafundishe mpira hayo ma vyura ya jangwani...na ubingwa wao wa kuhonga.!
Raha sana, wao wanajiita mabingwa wakati hata wakipita Mitaa ya Msimbazi wakitajiwa Okwi Okwi wanaufyata. Huyo msuva wao ana nini cha kunivunia mbele ya mwanaume wao.
Bingwa wa kweli nchi hii Simba peke yake wengine wote wachina au ubingwa wa Mpesa.
Chapa mtu bao 5 unabeba ndoo mbele yake unaacha watu wanazimia na wengine kufa kabisa.
Unachapa tena 3, mara 2 unalamba Milioni 100 kama haitoshi waliposema mechi za kirafiki tukageuzia sime letu kwenye ligi tukachapa tu mpaka ikalala.
Bingwa bingwa labda bingwa wa hao uliowanunua.
Hata Yanga Fc ikishindwa kupata matokeo huko Tunisia bado wana nafasi hiyo tena mwakani.
Mtabakia kupanda maboti ya BAKHRESAH kwenda kambi Zanzibar ili kumstopisha Yanga Fc.
Maneno tu haya,hapo yanga waseme tu huyo msuva hauzwi kwa sasa ieleweke